Rais Samia aagiza migogoro ya ardhi wilaya Kilindi utatuliwe haraka

Rais Samia aagiza migogoro ya ardhi wilaya Kilindi utatuliwe haraka

GEBA2013

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2014
Posts
4,880
Reaction score
6,047
Rais Samia ameagiza waziri ya ardhi na tume yake ya clinic ya ardhi wapige kambi kilindi wahakikishe migogoro yote ya ardhi itatuliwe.

Wilaya ya kilindi ndyo inayongoza kuwa na migogoro ya ardhi tanzania.kuna migogora ya ardhi 267.wasababhshi wakuu ni viongozi.Kwa hili tunamshukuru rais samia
 
Back
Top Bottom