Rais Samia aambiwe Makamu wa Rais ni Mkubwa kwa Rais wa Zanzibar, au anafanya makusudi!?

Rais Samia aambiwe Makamu wa Rais ni Mkubwa kwa Rais wa Zanzibar, au anafanya makusudi!?

Ndo maana wengine tuliuliza ilikuwaje Mwinyi akawakilishe kwenye mkutano wa SADCC wakati makamu wa rais yupo.......itabidi akanyage step zake vizuri.
 
1. Na wewe unakosea, hakuna nchi inaitwa Tanzania...

Tuna nchi inatwa JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA ama kwa kiingereza THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA..

2. Kwa muktadha huu, Makamu wa Rais wa JMT is truly bigger than The president of Zanzibar. Kwa hiyo kiprotokali hilo linapaswa kuzingatiwa...

3. Nakubaliana na wewe kuwa Rais hukosea kiprotokali anapompa nafasi ya kwanza Rais wa Zanzibar kabla ya VP wa JMT...
Kwani mpango mwenyewwe anasemaje
 
Mtoa mada sijakuelewa, mwanzo umesema Rais Samia aambiwe....., yaani ni Kama vile hajui, arafu kwenye maelezo yako umehukum moja kwa moja kwamba tuwe makini huyu mama ana uzanzibar.

Binafsi mm nakuona una chuki zako binafs kwsbb unaonesha hisia zako direct.

Nakushauri uende ikulu umwambie mwenyewe. Hujui neno Raisi linalinganishwa Raisi, na makam inaenda na makum,

Hiki ni kipindi Cha kuangalia mambo makubwa ya nchi yetu kuliko kufuatilia vitu vidogo vidogo.

Bora ata ungesema Raisi Samia aambiwe au akumbushwe mei mosi inakaribia aongeze mishara.....
Kama hukumwelewa mtoa mada basi wewe una tatizo
 
Nimesikiliza hotuba zake nyingi sana! Kubwa ile ya bungeni juzi.
Mama nadhani kwa makusudi anataka kulazimisha Rais wa Zanzibar ni mkubwa kiutawala kwa Makamu wa Rais.
Kwenye hotuba zake nyingi
Anaanza kumuaddress Rais Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Hii siyo sawa hata kidogo. Huwezi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Ni dharau na fedhea kwa Muungano.

Rais wa Zanzibar ni mjumbe tu Baraza la Mawaziri hana nguvu yeyote!

Leo unataka pesa za Sherehe za Muungano ziende kwa usawa Zanzibar na Tanganyika.
Hivi hizo pesa zimetoka Bara leo ziende Zanzibar.
Zanzibar yenye watu million 1 ipate sawa na Tanganyika yenye watu million 60.

Watanganyika tuwe makini na mwendo wa Mama.
Yupo kwa ajili ya Zanzibar zaidi kuliko Tanzania.
Sisi Tanganyika hatuna agenda ya pamoja tupo tu hatujui tunataka nini.
Leo mimi mbara siruhusiwi kwenda Zanzibar kununua kiwanja wala kufanya kazi kwenye serikali yao.
Wazanzibar kibao wapo serikalini kwenye ofisi hata zisizo za Muungano na free wao kununua ardhi.

Watanganyika mmelala ngojeni mambo ndio yanaanza.

Kiprotoko hutakiwi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Tanganyika hatuna agenda kila siku Zanzibar wanalalamika kuhusu mambo kadhaa kwenye Muungano Bara kimya.

Mimi nilitaka kununua kiwanja Zanzibar nikaambiwa nioneshe kitambulisho cha Zanzibar mkazi.
Mama ana asili ya wapemba alizaliwa huko baba ake alihamia Unguja.

Watanganyika tupo na akili chache sana.. Agenda zetu wabunge wa covid 19..utopolo tu

Tunadhani Mwinyi ni mwenzetu.. Mwinyi siyo mwenzetu.

Mama umekua Rais kwa muujibu wa katiba bila katiba usingepata Urais wa dezo Tafadhali heshimu katiba.

Rais wa Zanzibar kiprotoko ni mdogo kuliko hata Waziri Mkuu.
Siku ya mashindano ya kusoma Quran eti Rais wa Zanzibar anaondoka uwanjani kabla ya Waziri Mkuu. Ndani ya eneo la Tanganyika Rais wa Zanzibar hana nguvu ni km mm tu.
Mama acha uzanzibar tunajua nyie wapemba wabaguzi sana.

Kipindi flani walikuzushia unataka Rais unataka kugombea Urais Zanzibar ulikataa ukasema Urais Zanzibar ni mdogo kuliko cheo chako cha Makamu Rais naona leo umesahau..! Maliza miaka 4 iloyobaki tuachie Nchi yetu.

Its Zanzibar time BARA IMELALA FOFO... LINI MBUNGE WA BARA ALIWAHI KUHOJI WHY WABARA HAWARUHUSIWI KUNUNUA ARDHI ZANZIBAR.
Asante sana kwa jitihada yako ya kueleza. Haya matatizo yanazungumzwa, sasa hivi miaka 57. Na kwa bahati mbaya wenzetu wa bara huwa munajifanya hamufahamu. Lakini ikiwa tutakubali kuwa tuna nchi mbili huru zilizokubali kushirikiana na kuungana basi kuna mambo mengi ambayo yalihitaji tukae chini tuyaongelee. Mfano, muungano hauna ridhaa ya wananchi wala bunge la zanzibar. Wakati wa kubadilisha jina la tanganyika kuitwa Tanzania, hilo lilifanyika upande mmoja na ndio maana sisi wazanzibari hadi leo ni wazanzibari kwanza. Munajifanya hamuoni. Masuala ya fiscal policy ya zanzibar yakachukuliwa bara, sisi tukakosa benki kuu yetu na uchumi endelevu sababu ya BOT ambayo tulichangiya kuanzisha halafu mukatupiga chini. Ikabidi zanzibar wafunguwe PBZ ambayo haina maana yoyote. Turudi kimataifa. Zanzibar bado ina kiti UN na tatizo ni kuwa serikali ndio hiyo hiyo haiwezi kuitetea zanzibar kimataifa. . Hamna muungano @UN. Muungano upo hapa kwenye vikao vya CCM. Mama Samiha ni kada mwenzenu na anajuwa anafanya nini kwa maslahi ya muungano. Iwapo mutakereka na mipango yake itabidi mutende HAKI na haki haipo bila ya UADILIFU. Mukirukia haki bila UADILIFU ndio matatizo yanapo jitokeza. Wewe mwenzetu umeruka unakimbilia HAKI lakini hukuona kama UADILIFU haupo?. Kwanini umefanya hivo. Umesema mama Samiha ni mpemba na hiyo sio kweli. Mama ni mtu wa UNGUJA na ni mwenzenu kabisa wala musiwe na shaka ni katika kuboresha muungano. Na wanao faidika zanzibar ni hao hao makada wenzenu. Sisi hatuna chetu maana tunaitwa wapinzani. Hatuna kadi ya CCM , hatupewi kazi serikalini wala kwenye vikosi. Tunategemea misaada. HONGERENI CCM MUUNGANO OYEEEE.
 
Nyerere was a fraud alotia nchi yetu umaskini na alipoona mambo yamemshinda akaachia madaraka na kumpisha mwinyi, wakati huo mwinyi alikuwa rais znz. Nyerere alitufelisha kwenye ujamaa wake mpaka taifa likawa linagawa chakula na mahitaji mengine kwa ration. Ila kuna wabongo wengi hawajui kuwa miaka ya 80 watu walipanga foleni kuchukua ration na unga, sukari no na ukikutwa na zaidi ya kiasi unachotakiwa kuwa nacho ni kesi na unashtakiwa. Tusome historia ya nchi na tunatakiwa tukaperuzi kwelikweli mana hizo taarifa hazipatikani kirahisi. Yani ata mkataba wa muungano unafichwa sababu muda wa muungano umeisha mda, insert huu muungano ni haramu kwa sasa na hauko kihalali na ndomana wazanzibari hawautaki mana sio halali na kuna mambo yameongezwa ambayo hayakuwepo kweneye mtakaba ulosainiwa na karume na nyerere,.
Alfu mkataba nyerere aliuletaa bungeni mwaka 1964 kipind kile na kuomba wabunge wapitie na kuomba kuridhia mktaba ule ..hvyo aliwasilisha mktaba bungeni kwa kuwa April 22 ndio walitia sain na kufikia april 26 ukaanza kutumikiaa kwa kuwaomba wajumbe wa bunge la tanganyika kuridhi mkataba huo leo nimemsikiliza hotuba yake ...Kaz ipo saan kwa kuwa Hakuna anayejuwa mkataba huo unasemaje
 
Nadhani ata mwinyi aliupata urasi JMT kwakutumia kanuni hiyo mana hawasemi ukweli kw nyerere aliachiaje madaraka. Alijiuzulu au vp mpaka protocol iyo kutumika. So rais samia sio wa kwanza kuwa raisi jwa namna hiyo. Mwinyi alikw raisi znz ndipo sijui nini kilitokea akapewa urais JMT. TUSOME HISTORIA!!! Nawaaga kwa jina la is JMT.
Kwahiyo naye aliokota dodo kwenye mwarobaini?
 
Nimesikiliza hotuba zake nyingi sana! Kubwa ile ya bungeni juzi.
Mama nadhani kwa makusudi anataka kulazimisha Rais wa Zanzibar ni mkubwa kiutawala kwa Makamu wa Rais.
Kwenye hotuba zake nyingi
Anaanza kumuaddress Rais Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Hii siyo sawa hata kidogo. Huwezi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Ni dharau na fedhea kwa Muungano.

Rais wa Zanzibar ni mjumbe tu Baraza la Mawaziri hana nguvu yeyote!

Leo unataka pesa za Sherehe za Muungano ziende kwa usawa Zanzibar na Tanganyika.
Hivi hizo pesa zimetoka Bara leo ziende Zanzibar.
Zanzibar yenye watu million 1 ipate sawa na Tanganyika yenye watu million 60.

Watanganyika tuwe makini na mwendo wa Mama.
Yupo kwa ajili ya Zanzibar zaidi kuliko Tanzania.
Sisi Tanganyika hatuna agenda ya pamoja tupo tu hatujui tunataka nini.
Leo mimi mbara siruhusiwi kwenda Zanzibar kununua kiwanja wala kufanya kazi kwenye serikali yao.
Wazanzibar kibao wapo serikalini kwenye ofisi hata zisizo za Muungano na free wao kununua ardhi.

Watanganyika mmelala ngojeni mambo ndio yanaanza.

Kiprotoko hutakiwi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Tanganyika hatuna agenda kila siku Zanzibar wanalalamika kuhusu mambo kadhaa kwenye Muungano Bara kimya.

Mimi nilitaka kununua kiwanja Zanzibar nikaambiwa nioneshe kitambulisho cha Zanzibar mkazi.
Mama ana asili ya wapemba alizaliwa huko baba ake alihamia Unguja.

Watanganyika tupo na akili chache sana.. Agenda zetu wabunge wa covid 19..utopolo tu

Tunadhani Mwinyi ni mwenzetu.. Mwinyi siyo mwenzetu.

Mama umekua Rais kwa muujibu wa katiba bila katiba usingepata Urais wa dezo Tafadhali heshimu katiba.

Rais wa Zanzibar kiprotoko ni mdogo kuliko hata Waziri Mkuu.
Siku ya mashindano ya kusoma Quran eti Rais wa Zanzibar anaondoka uwanjani kabla ya Waziri Mkuu. Ndani ya eneo la Tanganyika Rais wa Zanzibar hana nguvu ni km mm tu.
Mama acha uzanzibar tunajua nyie wapemba wabaguzi sana.

Kipindi flani walikuzushia unataka Rais unataka kugombea Urais Zanzibar ulikataa ukasema Urais Zanzibar ni mdogo kuliko cheo chako cha Makamu Rais naona leo umesahau..! Maliza miaka 4 iloyobaki tuachie Nchi yetu.

Its Zanzibar time BARA IMELALA FOFO... LINI MBUNGE WA BARA ALIWAHI KUHOJI WHY WABARA HAWARUHUSIWI KUNUNUA ARDHI ZANZIBAR.
Waha mmeanza tena
 
Nimesikiliza hotuba zake nyingi sana! Kubwa ile ya bungeni juzi.
Mama nadhani kwa makusudi anataka kulazimisha Rais wa Zanzibar ni mkubwa kiutawala kwa Makamu wa Rais.
Kwenye hotuba zake nyingi
Anaanza kumuaddress Rais Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Hii siyo sawa hata kidogo. Huwezi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Ni dharau na fedhea kwa Muungano.

Rais wa Zanzibar ni mjumbe tu Baraza la Mawaziri hana nguvu yeyote!

Leo unataka pesa za Sherehe za Muungano ziende kwa usawa Zanzibar na Tanganyika.
Hivi hizo pesa zimetoka Bara leo ziende Zanzibar.
Zanzibar yenye watu million 1 ipate sawa na Tanganyika yenye watu million 60.

Watanganyika tuwe makini na mwendo wa Mama.
Yupo kwa ajili ya Zanzibar zaidi kuliko Tanzania.
Sisi Tanganyika hatuna agenda ya pamoja tupo tu hatujui tunataka nini.
Leo mimi mbara siruhusiwi kwenda Zanzibar kununua kiwanja wala kufanya kazi kwenye serikali yao.
Wazanzibar kibao wapo serikalini kwenye ofisi hata zisizo za Muungano na free wao kununua ardhi.

Watanganyika mmelala ngojeni mambo ndio yanaanza.

Kiprotoko hutakiwi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Tanganyika hatuna agenda kila siku Zanzibar wanalalamika kuhusu mambo kadhaa kwenye Muungano Bara kimya.

Mimi nilitaka kununua kiwanja Zanzibar nikaambiwa nioneshe kitambulisho cha Zanzibar mkazi.
Mama ana asili ya wapemba alizaliwa huko baba ake alihamia Unguja.

Watanganyika tupo na akili chache sana.. Agenda zetu wabunge wa covid 19..utopolo tu

Tunadhani Mwinyi ni mwenzetu.. Mwinyi siyo mwenzetu.

Mama umekua Rais kwa muujibu wa katiba bila katiba usingepata Urais wa dezo Tafadhali heshimu katiba.

Rais wa Zanzibar kiprotoko ni mdogo kuliko hata Waziri Mkuu.
Siku ya mashindano ya kusoma Quran eti Rais wa Zanzibar anaondoka uwanjani kabla ya Waziri Mkuu. Ndani ya eneo la Tanganyika Rais wa Zanzibar hana nguvu ni km mm tu.
Mama acha uzanzibar tunajua nyie wapemba wabaguzi sana.

Kipindi flani walikuzushia unataka Rais unataka kugombea Urais Zanzibar ulikataa ukasema Urais Zanzibar ni mdogo kuliko cheo chako cha Makamu Rais naona leo umesahau..! Maliza miaka 4 iloyobaki tuachie Nchi yetu.

Its Zanzibar time BARA IMELALA FOFO... LINI MBUNGE WA BARA ALIWAHI KUHOJI WHY WABARA HAWARUHUSIWI KUNUNUA ARDHI ZANZIBAR.
hivi ww una akili kweli? we ulijua zenji ndogo kwa nini uungane nayo? si ungeungana na Kenya kama unataka nchi zinazofanana ukubwa,muungano uwe sawa,japo Mimi ni mwera toka likandilo
 
Nimesikiliza hotuba zake nyingi sana! Kubwa ile ya bungeni juzi.
Mama nadhani kwa makusudi anataka kulazimisha Rais wa Zanzibar ni mkubwa kiutawala kwa Makamu wa Rais.
Kwenye hotuba zake nyingi
Anaanza kumuaddress Rais Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Hii siyo sawa hata kidogo. Huwezi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Ni dharau na fedhea kwa Muungano.

Rais wa Zanzibar ni mjumbe tu Baraza la Mawaziri hana nguvu yeyote!

Leo unataka pesa za Sherehe za Muungano ziende kwa usawa Zanzibar na Tanganyika.
Hivi hizo pesa zimetoka Bara leo ziende Zanzibar.
Zanzibar yenye watu million 1 ipate sawa na Tanganyika yenye watu million 60.

Watanganyika tuwe makini na mwendo wa Mama.
Yupo kwa ajili ya Zanzibar zaidi kuliko Tanzania.
Sisi Tanganyika hatuna agenda ya pamoja tupo tu hatujui tunataka nini.
Leo mimi mbara siruhusiwi kwenda Zanzibar kununua kiwanja wala kufanya kazi kwenye serikali yao.
Wazanzibar kibao wapo serikalini kwenye ofisi hata zisizo za Muungano na free wao kununua ardhi.

Watanganyika mmelala ngojeni mambo ndio yanaanza.

Kiprotoko hutakiwi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Tanganyika hatuna agenda kila siku Zanzibar wanalalamika kuhusu mambo kadhaa kwenye Muungano Bara kimya.

Mimi nilitaka kununua kiwanja Zanzibar nikaambiwa nioneshe kitambulisho cha Zanzibar mkazi.
Mama ana asili ya wapemba alizaliwa huko baba ake alihamia Unguja.

Watanganyika tupo na akili chache sana.. Agenda zetu wabunge wa covid 19..utopolo tu

Tunadhani Mwinyi ni mwenzetu.. Mwinyi siyo mwenzetu.

Mama umekua Rais kwa muujibu wa katiba bila katiba usingepata Urais wa dezo Tafadhali heshimu katiba.

Rais wa Zanzibar kiprotoko ni mdogo kuliko hata Waziri Mkuu.
Siku ya mashindano ya kusoma Quran eti Rais wa Zanzibar anaondoka uwanjani kabla ya Waziri Mkuu. Ndani ya eneo la Tanganyika Rais wa Zanzibar hana nguvu ni km mm tu.
Mama acha uzanzibar tunajua nyie wapemba wabaguzi sana.

Kipindi flani walikuzushia unataka Rais unataka kugombea Urais Zanzibar ulikataa ukasema Urais Zanzibar ni mdogo kuliko cheo chako cha Makamu Rais naona leo umesahau..! Maliza miaka 4 iloyobaki tuachie Nchi yetu.

Its Zanzibar time BARA IMELALA FOFO... LINI MBUNGE WA BARA ALIWAHI KUHOJI WHY WABARA HAWARUHUSIWI KUNUNUA ARDHI ZANZIBAR.
Mkuu maneno meengiiii hem jikite kwenye hoja yako yaani title ya mada yako. Maana wazi kabisa unaonesha una issues na Zanzibar
 
Nimesikiliza hotuba zake nyingi sana! Kubwa ile ya bungeni juzi.
Mama nadhani kwa makusudi anataka kulazimisha Rais wa Zanzibar ni mkubwa kiutawala kwa Makamu wa Rais.
Kwenye hotuba zake nyingi
Anaanza kumuaddress Rais Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Hii siyo sawa hata kidogo. Huwezi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Ni dharau na fedhea kwa Muungano.

Rais wa Zanzibar ni mjumbe tu Baraza la Mawaziri hana nguvu yeyote!

Leo unataka pesa za Sherehe za Muungano ziende kwa usawa Zanzibar na Tanganyika.
Hivi hizo pesa zimetoka Bara leo ziende Zanzibar.
Zanzibar yenye watu million 1 ipate sawa na Tanganyika yenye watu million 60.

Watanganyika tuwe makini na mwendo wa Mama.
Yupo kwa ajili ya Zanzibar zaidi kuliko Tanzania.
Sisi Tanganyika hatuna agenda ya pamoja tupo tu hatujui tunataka nini.
Leo mimi mbara siruhusiwi kwenda Zanzibar kununua kiwanja wala kufanya kazi kwenye serikali yao.
Wazanzibar kibao wapo serikalini kwenye ofisi hata zisizo za Muungano na free wao kununua ardhi.

Watanganyika mmelala ngojeni mambo ndio yanaanza.

Kiprotoko hutakiwi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Tanganyika hatuna agenda kila siku Zanzibar wanalalamika kuhusu mambo kadhaa kwenye Muungano Bara kimya.

Mimi nilitaka kununua kiwanja Zanzibar nikaambiwa nioneshe kitambulisho cha Zanzibar mkazi.
Mama ana asili ya wapemba alizaliwa huko baba ake alihamia Unguja.

Watanganyika tupo na akili chache sana.. Agenda zetu wabunge wa covid 19..utopolo tu

Tunadhani Mwinyi ni mwenzetu.. Mwinyi siyo mwenzetu.

Mama umekua Rais kwa muujibu wa katiba bila katiba usingepata Urais wa dezo Tafadhali heshimu katiba.

Rais wa Zanzibar kiprotoko ni mdogo kuliko hata Waziri Mkuu.
Siku ya mashindano ya kusoma Quran eti Rais wa Zanzibar anaondoka uwanjani kabla ya Waziri Mkuu. Ndani ya eneo la Tanganyika Rais wa Zanzibar hana nguvu ni km mm tu.
Mama acha uzanzibar tunajua nyie wapemba wabaguzi sana.

Kipindi flani walikuzushia unataka Rais unataka kugombea Urais Zanzibar ulikataa ukasema Urais Zanzibar ni mdogo kuliko cheo chako cha Makamu Rais naona leo umesahau..! Maliza miaka 4 iloyobaki tuachie Nchi yetu.

Its Zanzibar time BARA IMELALA FOFO... LINI MBUNGE WA BARA ALIWAHI KUHOJI WHY WABARA HAWARUHUSIWI KUNUNUA ARDHI ZANZIBAR.
Kama bado uko interested niambie nikupelke kwa Mzee Faki pale Jangombe atakupeleka kwa Sheha Kombo akuuzie.
 
Hakufanya sawa

Ki protocal, Hussein hana title yoyote kwa sasa kwny Jamhuri zaid ya kuwa Mjumbe tu wa Baraza la Mawaziri

Title ya Rais wa Znz kuwa Makamu wa Rais ilishaondolewa tangu 1994 kwa Ushauri wa Nyerere

Watu wa Protocal na hasa Waandishi wa Hotuba waiondoe hii sintofahamu!
 
Sasa huko Zanzibar utanunua ardhi gani kama unaweza "zunguka nchi nzima kwa baiskeli" "ukipiga filimbi Zanzibar nzima wanasikia" kwa mujibu wa Ally Kessy mbunge wa Nkasi.
Ivi utaratibu wa kununua ardhi kenya ukoje? Kama zanzibar ni nchi huru na ina watu wake kisheria, kwanini ww mbongo iwe rahisi kwenu kupata ardhi wakati ww sio raia wa zanzibar? Wazanzibari ni raia wa jamhuri ya muungano ya Tanzania? Jibu hayo maswali utamaliza utata mana huwezi mlinganisha VP wa JMT ambayo kwa mujibu wa katiba mbovu ya JMP inayomfanya awe puppet wa rais na rais wa nchi huru. Ukweli wabongo ni waroho wa madaraka that's why kukaa Meza moja na nyinyi unakuwa ngumu kuongea na kuelewana. Ma PHD mengi lkn hamna maana ata na hamjui kuyatumia kuwaletea maendeleo. Ata maana ya nchi hamujui Ola mna question uhalali wa zanzibar kuitwa nchi. For the record zanzibar ni nchi huru na sio kama mafia kuwa ww sio mzanzibar uingie na kumilik ardhi bila kufata taratibu. Semeni mnataka beach plot mnaekewa ngumu basi hamna jengine, kuwa raia zenji rahisi tia mimba wife aya hawara alaf mlete zenji kujifungua!huo ndo ujanja wazenji walitumia kuingia UK na US na sio kulazimisha zenji sio nchi wakati lesotho ni nchi ndani ya nchi na eneo lake, population ni ndogo zaidi ya unguja, let alone zanzibar. Unaofanyika ni ukoloni na tanganyika kutaka kuitawala zanzibar wakati ata tanganyika mnashindwa kuiendeleza mnataka eneo jengine kwasababu lina oil and gas potential ambayoiligundulika tokea wengine hatujazaliwa. Walokuwa hawaelewi waelewe hiyo ni baadhi ya sababukubwa ya tanganyika kulazimisha muungano haramu uloosha mda wake kwa mujibu wa mkataba. Yani mnaleta propanganda za meko na nyerere kujifanya wao wanajua kila kitu, yani mtu anaponda mradi wa bandariqa babagamoyo, Ola hawapi undani watz na kuleta mkataba hadharani au walau ata bungeni alaf anafelisha mradi na nyinyi mko kidedea kumsapoti wakati ata kilichoandikwa hamkijui. Anakufa apa chawa ndugai anaanza kudemka kuhus bagamoyo na kusema hrais kashauriwa vibaya. Swali kashauriwa na nani wakati yeye ndo mshauri na msimamizi wa serekali mkuu? Huu no upumbavu na uroho wa madaraka. Question your own issues kwanza ,yank mnakaq bungeni kudiscuss na kutetea legacy ya mpuuzi mekoalienunua ndege sio kihalali bila kufata taratibu za nchi,bila kuweka bayana kiasi haswa kilichotumika kununulia hiyo midege, akafanya ulaghai wa kupokea gawio for 5 consecutive years wakati shirika linakula hasara alaf mnakuwa kimyaa mnafurahia ujinga. Baasa ya kuongelea hizo ishu mnamquestion mama samia, who by the way mbobezi wa diplomacia na amesoma historia ya nchi yetu na anajua haswa manununguniko ya muungano how to navigate tena anaweka vitu bayana kwakiasi na kuficha na kujitwisha aibu za meko, mnaquestion intentions zake kweli kisa amemtanguliza rais wa nchi over a puppet VP ambae kupatikana Kwame kutokana na uroho wa madaraka ambayo alivuliwa wadhfa rasi wa zanzibar akapewa VP huyu puppet ambaye ata hajui kazi yake ni nini haswa kwenye serekali, yani kweli? Em ongeleeni kuhusu magu mana legacy lake ni changu na hakufa kama ilivotangazwa alaf mkalieni kooni mama samia asifiche report ya CAG ya BOT kwa mda wa miezi 3 na kipindi cha mtafaruku wa magu yukowapi tuone kama kuna panya hawatajiuzulu fasta ila bado mnaquestion vitu havina mana? Mwambieni ripoti isomwe mana tumechoka kiibiwa na sio kulinganisha rais wa nchi anaelindwa na mjeda nyuma na kakarogosi ambae hana kazi wala mamlaka kisheria na kikatiba? Au ndo katiba nayo hamjui inaongeleaje juu ya kazi za makam wa rais wa tz?
Haya jisomeeni majukumu ya VP kwa mujibu wa katiba yetu mbovu hii..

Screenshot_20210427-013205_Drive.jpg


Screenshot_20210427-013212_Drive.jpg


Screenshot_20210427-013219_Drive.jpg
 
Kwahiyo naye aliokota dodo kwenye mwarobaini?
Ndio,tena sio kwakutaka. Kuna kitu kilitokea kioelekea yeye kushika kijiti cha urais JMT baada ya nyerer maji kufika shingoni akaona aache mapema ila na sisi yangetukuta ya zimbabwe mbona. Au km Mu7 uganda?
 
Wabongo ni waroho wa madara!!! Ndugu zetu tunawapenda alaf basi wazanzibari ni ndugu zenu wa damu pia mana wengi wao wanaasili ya kibongo ila semeni ukweli udini ndo unawasumbua!!! Yani kuongozwa na mzenjimuislamu ni ishu kwenu tena mwanamke ndo kabisaaa ila nyinyi mpelekwe kama punda na midicteta yenu iyo ya kisukuma na ya ki-mara kule mana yote yanatoka kanda ya ziwa tu mnaona raha na bustarehe. Atamaliza mzenji mi5 muendelee kustarehe tena na midikteta yenu iyo inayotumia mianya mizuri ya katiba yenu mbovu inayotengeza miungu watu mutuache na zenji yetu ndogo kisiwa (mkoa wetu au kijiji, nyie kiiteni mnavyotaka)cha marasshi tule ulojooo kwetu tunauita UROJO sio ulojo jamani!!! Ila ndo tunawatala kwa sasa na lazima heshima irudi mguu upande mguu sawa. Alaf uchaguzi unaofata jeshi haliji zanzibar kuvuruga tunalitumia ukouko bara ili na nyie muone raha ya kutumia jeshi let vibaya kutesa watu kipindi cha uchaguzi man sio kwa mbwembwe za mwinyi zanzibar naona ndo seif wetu sasa inabidi wazenji wachukue kadi za ccm wote.
 
Nimesikiliza hotuba zake nyingi sana! Kubwa ile ya bungeni juzi.
Mama nadhani kwa makusudi anataka kulazimisha Rais wa Zanzibar ni mkubwa kiutawala kwa Makamu wa Rais.
Kwenye hotuba zake nyingi
Anaanza kumuaddress Rais Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Hii siyo sawa hata kidogo. Huwezi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Ni dharau na fedhea kwa Muungano.

Rais wa Zanzibar ni mjumbe tu Baraza la Mawaziri hana nguvu yeyote!

Leo unataka pesa za Sherehe za Muungano ziende kwa usawa Zanzibar na Tanganyika.
Hivi hizo pesa zimetoka Bara leo ziende Zanzibar.
Zanzibar yenye watu million 1 ipate sawa na Tanganyika yenye watu million 60.

Watanganyika tuwe makini na mwendo wa Mama.
Yupo kwa ajili ya Zanzibar zaidi kuliko Tanzania.
Sisi Tanganyika hatuna agenda ya pamoja tupo tu hatujui tunataka nini.
Leo mimi mbara siruhusiwi kwenda Zanzibar kununua kiwanja wala kufanya kazi kwenye serikali yao.
Wazanzibar kibao wapo serikalini kwenye ofisi hata zisizo za Muungano na free wao kununua ardhi.

Watanganyika mmelala ngojeni mambo ndio yanaanza.

Kiprotoko hutakiwi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Tanganyika hatuna agenda kila siku Zanzibar wanalalamika kuhusu mambo kadhaa kwenye Muungano Bara kimya.

Mimi nilitaka kununua kiwanja Zanzibar nikaambiwa nioneshe kitambulisho cha Zanzibar mkazi.
Mama ana asili ya wapemba alizaliwa huko baba ake alihamia Unguja.

Watanganyika tupo na akili chache sana.. Agenda zetu wabunge wa covid 19..utopolo tu

Tunadhani Mwinyi ni mwenzetu.. Mwinyi siyo mwenzetu.

Mama umekua Rais kwa muujibu wa katiba bila katiba usingepata Urais wa dezo Tafadhali heshimu katiba.

Rais wa Zanzibar kiprotoko ni mdogo kuliko hata Waziri Mkuu.
Siku ya mashindano ya kusoma Quran eti Rais wa Zanzibar anaondoka uwanjani kabla ya Waziri Mkuu. Ndani ya eneo la Tanganyika Rais wa Zanzibar hana nguvu ni km mm tu.
Mama acha uzanzibar tunajua nyie wapemba wabaguzi sana.

Kipindi flani walikuzushia unataka Rais unataka kugombea Urais Zanzibar ulikataa ukasema Urais Zanzibar ni mdogo kuliko cheo chako cha Makamu Rais naona leo umesahau..! Maliza miaka 4 iloyobaki tuachie Nchi yetu.

Its Zanzibar time BARA IMELALA FOFO... LINI MBUNGE WA BARA ALIWAHI KUHOJI WHY WABARA HAWARUHUSIWI KUNUNUA ARDHI ZANZIBAR.
In fact hata Waziri mkuu yuko juu ya rais wa Zanzibar kwenye protocol za serikali ya Muungano isipokuwa wakati wa sherehe za Muungano na zile za mapinduzi tu; ila mama naona ameamua kuwa sasa ni Zamu ya Zanzibar kutamba. Kwa mfano kukiwa na dhifa ya Taifa na mgeni wa kutoka nje, hawezi kumtambulisha Rais wa Zanzibar kabla ya kumtambulisha Makamu wa rais na waziri mkuu.
 
... nilishangaa sana kilichowapeleka rais na makamu wa rais Znz Bungeni Dodoma wakati wa hotuba ya Madam President!
Mheshimiwa Rais yupo sahihi, inaonekana mleta mada ni ngumbaru wa mambo 5 protocol au ana wivu au chuki binafsi kwa madam President. Mbona wakati wa Mzee baba mlikuwa hamkohoi? hii nguvu ya ukosoaji kutoka kila kona mmeipata wapi?
 
In fact hata Waziri mkuu yuko juu ya rais wa Zanzibar kwenye protocol za serikali ya Muungano isipokuwa wakati wa sherehe za Muungano na zile za mapinduzi tu; ila mama naona ameamua kuwa sasa ni Zamu ya Zanzibar kutamba. Kwa mfano kukiwa na dhifa ya Taifa na mgeni wa kutoka nje, hawezi kumtambulisha Rais wa Zanzibar kabla ya kumtambulisha Makamu wa rais na waziri mkuu.
Uyu mwengine bado yupo na protocol yeye ata kama ina makosa? Haya kwahiyo kama kitu sio sawa twende nacho hivohivo mpaka umaiti utukute? Nyie vp ndugu zetu mbona waroho ivo mnatustaajabisha yani!!! Vunjeni huu muungano sisi wazanzibari hatuutaki ili muweke rasi msukukuma, makam mpare, waziri mkuu mhaya mawaziri wote mueke mandereko, wanyaturu, wala panya kule, wamasai, wamangati na wenginewo alaf muone kama zanzibar tutashindwa endelea au tutakufa na njaa kisa muungano umeivunjika. Let's us set the records clear muungano muda wake ulishaisha mda sana na ulitakiwa kuwa renewed na wazenji waligoma kufanya hivyo na ndo mana mkataba wa muungano hauwekwi bayana mana kaa sasa muungano huu sio halali. Na sisi wazenji we are ready kukaa chini na kuvunja kabisaaaaaaaaa huu muungano ili mkija kwetu mje na passport na sisi vile vile tuje na passport. Mana kikubwa tunachofaidika nacho kutoka kwenye huu muungano ni uwepo na wamachinga tu mijini kwetu na kutupigia kelele kwa kurandisha mavyombo na bidhaa mitaani basi na tumewachoka kila siku kushuka boti mnaacha kulima kwenu na mieka yenu mingimingi mnakuja znz kupiga debe na kutuchafuliwa miji yetu. Si mkae kwenu mlime sie tukae kwetu tule urojo tu huku na kuchanana marinda kwa bustarehe mana ndo mnavyo tutusi hivo mkikosa cha kuongea. Miili yetu sasa ndo starehe zetu izo mtuache kwa amani na marinda yetu , urojowetu, mafuta na gesi yetu, utalii wetu ,karafuu zetu, spices zetu na kanda ya bahari yetumnayo ing'ang'ania.

We are very contents without you wabongo, and we really dont need you and we can sustain life with out you na infact mnatubebesha zigo kubwa ilo la tanganyika amablo tumechoka kulibeba mana halina manufaa yoyote yale kazikutuekea vikwazo vya maendeleotuna kutunyanyasana kutaka kututawala. Mana nyie ndo mnakataa uwepo wa serekali 3. Kila mmoja awe na yake iyo ya muungano ikiwepo sawa isipokuwepo sawa mana haina faida yoyote kwetu na tumeichoka kwakweli na ndomana mmeeka mashekhe wetu, freedom fighter wetu rumande kwa kesi za uhaini ila evidence hamna kwasababu you are very selfish and very short & narrow minded people ambao mnahindwa kuendeleza sehemu zenu na kuleta tija kwa wananchi wenu. Eneo kubwa la kulima ila tija mbovu, yield mbovu uchumi mbovu na watu wenu maskini wa kutupwa mnabakia wote mnakimbilia dar es salaam badala ya kuendeleza mikoa yenu yote mnaona dar haitoshi na zenji mnaitaka kwa tamaa zenu wakati mna eneo hata kulimwa halija limwa. Yani you people are so selfish ata matajiri wenu wote ni wahindi na waarabu, farming estates ni zao, ranches ni zao, biashara ni zao mnabaki kulipwa 5000tsh per day km dayworker. Na huu ndo uhalisia wa mambo nyinyi wabongo madegree mingi, maPHD na maprofe. Wengi na mnajaza vitabu ila hamna kitu kichwani mnakuja kutawalwa na mtu mmoja annawapelekesha weeee mpaka anakufa hampewi taarifa sasaivi Maprof. Wenu wanapayuka na kudemka bungeni as if miaka 5 ilopita walikw wamelala. We dont need you guys naomba icho kitu kiwe clear na mleta mada ajue kuwa WE DONT FUCKING NEED YOU PEASANTS!!!

ila tukihitajiana na kuheshimiana tukashirkiana tuko pamoaj nanyi nduguzetu regardless ya tofauti za kidini.
 
Back
Top Bottom