Rais Samia aambiwe Makamu wa Rais ni Mkubwa kwa Rais wa Zanzibar, au anafanya makusudi!?

Rais Samia aambiwe Makamu wa Rais ni Mkubwa kwa Rais wa Zanzibar, au anafanya makusudi!?

Hawa ndio wanadai katiba wakati iliyopo hawaielewi
Umenena vzur sana ,muungano huu hauna faida Kwa Wazanzibar kabsa ,,uvunjike hata kesho na pawe na sherehe kubwa ya kuagana ,na wakati tunaagana mafundi wetu wa umeme wawe pale wanakata umeme unafuliwa tz bara na kupelekwa Zanzibar,pia bara darsalam ,pwani na Dodoma tunajua jinsi Wazanzibar walivyonunua viwanja na kujenga siku ya kuvunja muungano pia Wazanzibar hao wawe wameondoa vyombo vyao kweny nyumba tajwa na kuwaachia watanganyika,viongoz ambao wapo bara wakifanya kazi wengine ni wakuu wa mikoa na wilaya huku Tanzania bara nao wawe tayar siku iyo ya sherehe ya kuagana ,chakula kinachotoka bara Mchele,mihogo ,mahindi navyo vitozwe Kodi kwenda Zanzibar kuanzia sku ya kuagana , na kakisiwa kenyewe hakana hata miaka 30 ijayo katamezwa na maji ili mfie huko shambash,,muungano hauna faida Kwa Wazanzibar,,,vunjeni kama kwel hauna faida
 
Umenena vzur sana ,muungano huu hauna faida Kwa Wazanzibar kabsa ,,uvunjike hata kesho na pawe na sherehe kubwa ya kuagana ,na wakati tunaagana mafundi wetu wa umeme wawe pale wanakata umeme unafuliwa tz bara na kupelekwa Zanzibar,pia bara darsalam ,pwani na Dodoma tunajua jinsi Wazanzibar walivyonunua viwanja na kujenga siku ya kuvunja muungano pia Wazanzibar hao wawe wameondoa vyombo vyao kweny nyumba tajwa na kuwaachia watanganyika,viongoz ambao wapo bara wakifanya kazi wengine ni wakuu wa mikoa na wilaya huku Tanzania bara nao wawe tayar siku iyo ya sherehe ya kuagana ,chakula kinachotoka bara Mchele,mihogo ,mahindi navyo vitozwe Kodi kwenda Zanzibar kuanzia sku ya kuagana , na kakisiwa kenyewe hakana hata miaka 30 ijayo katamezwa na maji ili mfie huko shambash,,muungano hauna faida Kwa Wazanzibar,,,vunjeni kama kwel hauna faida
Ha ha haaaaa 🤣🤣🤣
 
Watanganyika tuwe makini na mwendo wa Mama.
Mkuu LOKASA chika, huyu ndie mkuu wa nchi, mkuu wa serikali na amiri jeshi mkuu, (head of nation, head of the government and CinC), the president is everything tuwe makini kivipi?. Civic education inahitajika sana kuwafundisha Watanzania, Rais wa JMT is an executive president. Je, wajua kuwa Rais wa JMT ndie Serikali, Bunge na Mahakama? Yuko juu ya Mihimili yote 3. Je, kuna uwezekano Rais wa JMT pia yuko juu Katiba?
Wazanzibar kibao wapo serikalini kwenye ofisi hata zisizo za Muungano na free wao kununua ardhi.
Hapa pia elimu ya uraia inahitajika kuwajilisha Watanzania kuwa Tanzania ni nchi moja ya JMT yenye uraia mmoja tuu wa Tanzania na Watanzania wote wana haki sawa za Utanzania ikiwemo kumiliki mali, ardhi na ajira ndani ya JMT, ila Zanzibar ina utawala wake wa ndani, unaowahusu Wazanzibari pekee.
P
 
Umenena vzur sana ,muungano huu hauna faida Kwa Wazanzibar kabsa ,,uvunjike hata kesho na pawe na sherehe kubwa ya kuagana ,na wakati tunaagana mafundi wetu wa umeme wawe pale wanakata umeme unafuliwa tz bara na kupelekwa Zanzibar,pia bara darsalam ,pwani na Dodoma tunajua jinsi Wazanzibar walivyonunua viwanja na kujenga siku ya kuvunja muungano pia Wazanzibar hao wawe wameondoa vyombo vyao kweny nyumba tajwa na kuwaachia watanganyika,viongoz ambao wapo bara wakifanya kazi wengine ni wakuu wa mikoa na wilaya huku Tanzania bara nao wawe tayar siku iyo ya sherehe ya kuagana ,chakula kinachotoka bara Mchele,mihogo ,mahindi navyo vitozwe Kodi kwenda Zanzibar kuanzia sku ya kuagana , na kakisiwa kenyewe hakana hata miaka 30 ijayo katamezwa na maji ili mfie huko shambash,,muungano hauna faida Kwa Wazanzibar,,,vunjeni kama kwel hauna faida
Na mama aachie Kasri lake la Mbweni
 
Nimesikiliza hotuba zake nyingi sana! Kubwa ile ya bungeni juzi.

Mama nadhani kwa makusudi anataka kulazimisha Rais wa Zanzibar ni mkubwa kiutawala kwa Makamu wa Rais.

Kwenye hotuba zake nyingi.

Anaanza kumuaddress Rais Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Hii siyo sawa hata kidogo. Huwezi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Ni dharau na fedhea kwa Muungano.

Rais wa Zanzibar ni mjumbe tu Baraza la Mawaziri hana nguvu yeyote.

Leo unataka pesa za Sherehe za Muungano ziende kwa usawa Zanzibar na Tanganyika.
Hivi hizo pesa zimetoka Bara leo ziende Zanzibar.
Zanzibar yenye watu million 1 ipate sawa na Tanganyika yenye watu million 60.

Watanganyika tuwe makini na mwendo wa Mama.
Yupo kwa ajili ya Zanzibar zaidi kuliko Tanzania.
Sisi Tanganyika hatuna agenda ya pamoja tupo tu hatujui tunataka nini.
Leo mimi mbara siruhusiwi kwenda Zanzibar kununua kiwanja wala kufanya kazi kwenye serikali yao.
Wazanzibar kibao wapo serikalini kwenye ofisi hata zisizo za Muungano na free wao kununua ardhi.

Watanganyika mmelala ngojeni mambo ndio yanaanza.

Kiprotoko hutakiwi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Tanganyika hatuna agenda kila siku Zanzibar wanalalamika kuhusu mambo kadhaa kwenye Muungano Bara kimya.

Mimi nilitaka kununua kiwanja Zanzibar nikaambiwa nioneshe kitambulisho cha Zanzibar mkazi.
Mama ana asili ya wapemba alizaliwa huko baba ake alihamia Unguja.

Watanganyika tupo na akili chache sana.. Agenda zetu wabunge wa covid 19..utopolo tu

Tunadhani Mwinyi ni mwenzetu.. Mwinyi siyo mwenzetu.

Mama umekua Rais kwa muujibu wa katiba bila katiba usingepata Urais wa dezo Tafadhali heshimu katiba.

Rais wa Zanzibar kiprotoko ni mdogo kuliko hata Waziri Mkuu.

Siku ya mashindano ya kusoma Quran eti Rais wa Zanzibar anaondoka uwanjani kabla ya Waziri Mkuu. Ndani ya eneo la Tanganyika Rais wa Zanzibar hana nguvu ni km mm tu.

Mama acha uzanzibar tunajua nyie wapemba wabaguzi sana.

Kipindi flani walikuzushia unataka Rais unataka kugombea Urais Zanzibar ulikataa ukasema Urais Zanzibar ni mdogo kuliko cheo chako cha Makamu Rais naona leo umesahau..! Maliza miaka 4 iloyobaki tuachie Nchi yetu.

Its Zanzibar time BARA IMELALA FOFO... LINI MBUNGE WA BARA ALIWAHI KUHOJI WHY WABARA HAWARUHUSIWI KUNUNUA ARDHI ZANZIBAR.

Tumepigwa Bara huyu Mama Mzanzbar zaidi kuhusu mtanzania.

Akiwa na Safari za nje ataenda yeye asipoenda ataenda Mwinyi.
Unatakiwa ujue kwamba Makamu wa Rais si mjumbe wa baraza la Mawaziri! La pili ni kwamba ukubwa unapatokana kwa mamlaka na siyo jina la cheo ulichonacho, siyo kwa sababu mfano mtu anaitwa Rais wa chama cha wafuga nyuki eti ndo awe mkubwa kuliko mwenyekiti wa Halmashauri.
Rais wa Zanzibar ana mamlaka ya nchi ambayo ni mdau sawa kwa sawa wa Muungano! Tatu, Rus wa Zanzibar ana weza kubadilisha mipaka ya majimbo yote ya upande wa Znz, anateua ma RC wote wa upande ule,
Nne, Makamu wa Rais hana mamlaka ya kuteua hata mtendaji wa kata, anapataje ukubwa?
Makamu wa Rais anapanda hadhi pale tu anapotoka nje ya nchi ambapo Zanzibar inatambulika kama sehemu ya Tanzania.
 
Nimesikiliza hotuba zake nyingi sana! Kubwa ile ya bungeni juzi.

Mama nadhani kwa makusudi anataka kulazimisha Rais wa Zanzibar ni mkubwa kiutawala kwa Makamu wa Rais.

Kwenye hotuba zake nyingi.

Anaanza kumuaddress Rais Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Hii siyo sawa hata kidogo. Huwezi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Ni dharau na fedhea kwa Muungano.

Rais wa Zanzibar ni mjumbe tu Baraza la Mawaziri hana nguvu yeyote.

Leo unataka pesa za Sherehe za Muungano ziende kwa usawa Zanzibar na Tanganyika.
Hivi hizo pesa zimetoka Bara leo ziende Zanzibar.
Zanzibar yenye watu million 1 ipate sawa na Tanganyika yenye watu million 60.

Watanganyika tuwe makini na mwendo wa Mama.
Yupo kwa ajili ya Zanzibar zaidi kuliko Tanzania.
Sisi Tanganyika hatuna agenda ya pamoja tupo tu hatujui tunataka nini.
Leo mimi mbara siruhusiwi kwenda Zanzibar kununua kiwanja wala kufanya kazi kwenye serikali yao.
Wazanzibar kibao wapo serikalini kwenye ofisi hata zisizo za Muungano na free wao kununua ardhi.

Watanganyika mmelala ngojeni mambo ndio yanaanza.

Kiprotoko hutakiwi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Tanganyika hatuna agenda kila siku Zanzibar wanalalamika kuhusu mambo kadhaa kwenye Muungano Bara kimya.

Mimi nilitaka kununua kiwanja Zanzibar nikaambiwa nioneshe kitambulisho cha Zanzibar mkazi.
Mama ana asili ya wapemba alizaliwa huko baba ake alihamia Unguja.

Watanganyika tupo na akili chache sana.. Agenda zetu wabunge wa covid 19..utopolo tu

Tunadhani Mwinyi ni mwenzetu.. Mwinyi siyo mwenzetu.

Mama umekua Rais kwa muujibu wa katiba bila katiba usingepata Urais wa dezo Tafadhali heshimu katiba.

Rais wa Zanzibar kiprotoko ni mdogo kuliko hata Waziri Mkuu.

Siku ya mashindano ya kusoma Quran eti Rais wa Zanzibar anaondoka uwanjani kabla ya Waziri Mkuu. Ndani ya eneo la Tanganyika Rais wa Zanzibar hana nguvu ni km mm tu.

Mama acha uzanzibar tunajua nyie wapemba wabaguzi sana.

Kipindi flani walikuzushia unataka Rais unataka kugombea Urais Zanzibar ulikataa ukasema Urais Zanzibar ni mdogo kuliko cheo chako cha Makamu Rais naona leo umesahau..! Maliza miaka 4 iloyobaki tuachie Nchi yetu.

Its Zanzibar time BARA IMELALA FOFO... LINI MBUNGE WA BARA ALIWAHI KUHOJI WHY WABARA HAWARUHUSIWI KUNUNUA ARDHI ZANZIBAR.

Tumepigwa Bara huyu Mama Mzanzbar zaidi kuhusu mtanzania.

Akiwa na Safari za nje ataenda yeye asipoenda ataenda Mwinyi.
Tatizo nani atamuuliza, yeye ni kiziwi
 
Back
Top Bottom