Umenena vzur sana ,muungano huu hauna faida Kwa Wazanzibar kabsa ,,uvunjike hata kesho na pawe na sherehe kubwa ya kuagana ,na wakati tunaagana mafundi wetu wa umeme wawe pale wanakata umeme unafuliwa tz bara na kupelekwa Zanzibar,pia bara darsalam ,pwani na Dodoma tunajua jinsi Wazanzibar walivyonunua viwanja na kujenga siku ya kuvunja muungano pia Wazanzibar hao wawe wameondoa vyombo vyao kweny nyumba tajwa na kuwaachia watanganyika,viongoz ambao wapo bara wakifanya kazi wengine ni wakuu wa mikoa na wilaya huku Tanzania bara nao wawe tayar siku iyo ya sherehe ya kuagana ,chakula kinachotoka bara Mchele,mihogo ,mahindi navyo vitozwe Kodi kwenda Zanzibar kuanzia sku ya kuagana , na kakisiwa kenyewe hakana hata miaka 30 ijayo katamezwa na maji ili mfie huko shambash,,muungano hauna faida Kwa Wazanzibar,,,vunjeni kama kwel hauna faida