Hizi povu mbona hamkuzimwaga nyakati za jiwe au kwa vile ulihakikishiwa uchawaHakuna! Chama kina mipaka yake na Rais anakazi zake! Hakuna mbilinge Bali chama kitakuwa kinauwezo wa kumshauri vyrma
Hii hofu kubwa hivi kwa Rais kuwa mwenyekiti inasababishwa na nini?
Rais makini, wasaidizi bora na taifa imaraimara
Kazi iendelee
Muajijua wenyeweHii hofu kubwa hivi kwa Rais kuwa mwenyekiti inasababishwa na nini?
Rais makini, wasaidizi bora na taifa imaraimara
Kazi iendelee
Kanda ya ziwa mna nongwa sana!
Hata kwenye mechi kocha huona umhimu wa mabadiliko baada ya kuona makosa!Hizi povu mbona hamkuzimwaga nyakati za jiwe au kwa vile ulihakikishiwa uchawa
Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
Bwashee utamaduni wa CCM uko wazi kabisa Rais ndiye mwenyekiti wa chama!Umefikaje huku bwashee?
Bwashee utamaduni wa CCM uko wazi kabisa Rais ndiye mwenyekiti wa chama!
Kwani mwenyewe mama Samia anasemaje ?Pamoja na kwamba ukiona mwana CCM yoyote anashupalia jambo basi ujue anamaslahi yake binafsi!
Lakini kwa hili la kutenganisha Mamlaka ya kichama na Urais!
Niseme wazi kabisa pamoja na maslahi yao kichama, pia kama taifa tutasonga pamoja!
Ifahamike kwamba Ili mwana CCM apitishwe kugombea Ubunge lazima kuwepo baraka za mwenyekiti!
Hilo pekee yake linachangia sana kudumaza Bunge lijae wapambe wanaosifu na kuabudu!
Naomba tujifunze kuona Hekima kwenye kundi la vichaa!
Kuliko kuwa na kofia mbili tumuombe mama kwa hekima kabisa akubali kubaki na Ushungi!
Moja ya ujinga wa wazee wengi hufanya nikuwaaminisha watoto vitu vizuri ni Mwiko!
View attachment 1766130
View attachment 1766131
View attachment 1766132
Samia inabidi awe dikteta tu hana option...
Suala la kutenganisha kofia ni las muhimu kwaustawi wa ccm na nchiPamoja na kwamba ukiona mwana CCM yoyote anashupalia jambo basi ujue anamaslahi yake binafsi!
Lakini kwa hili la kutenganisha Mamlaka ya kichama na Urais!
Niseme wazi kabisa pamoja na maslahi yao kichama, pia kama taifa tutasonga pamoja!
Ifahamike kwamba Ili mwana CCM apitishwe kugombea Ubunge lazima kuwepo baraka za mwenyekiti!
Hilo pekee yake linachangia sana kudumaza Bunge lijae wapambe wanaosifu na kuabudu!
Naomba tujifunze kuona Hekima kwenye kundi la vichaa!
Kuliko kuwa na kofia mbili tumuombe mama kwa hekima kabisa akubali kubaki na Ushungi!
Moja ya ujinga wa wazee wengi hufanya nikuwaaminisha watoto vitu vizuri ni Mwiko!
View attachment 1766130
View attachment 1766131
View attachment 1766132
Heee....mbatizaji umepiga u turn au?? Ww nae ni kama jobKanda ya ziwa mna nongwa sana!
Kwasababu aliyetangulia kaonyesha umhimu wa kutenganishwaKwanini iwe Kwa SAMIA?.
Ndio wenye chama kwa sasa bwashee!Swali langu ni kwenye ukanda, umefikaje?
Kwasababu aliyetangulia kaonyesha umhimu wa kutenganishwa