Rais Samia achana na hawa Mawaziri, usitishwe kwamba ndio wanaijua CCM, CCM ilikuwepo na itaendelea kuwepo

Rais Samia achana na hawa Mawaziri, usitishwe kwamba ndio wanaijua CCM, CCM ilikuwepo na itaendelea kuwepo

Katika hao wote uliowataja, wanaongozwa na huyu mama kilaza Jenista Muhagama, yaan huyu sijui kwann anakua waziri, na Elimu yake ya diploma ya UPE.

huyu hafaii kuwa hata Naibu.
 
Hii listi ni batili kama hayupo jenista mhagama
 
Kwa bahati mbaya kabisa, Mwigulu na Makamba hawawezi kuguswa na mama.

Wakati mwingine ni mambo ya ajabu kweli kweli. Amir Jeshi Mkuu unawaogopa watu wengine tu ambao hawana hata Jeshi? Ni aibu kweli kweli.
 
Mheshimwa sana wetu kwanza ujue tunakupenda sana na tunakuombea maisha marefu na utumishi uliotukuka mpaka 2030.

Hawa mawaziri hawakufai mh. Rais. Angalizo, tunaomba uelewe azimio la Arusha ni mwongozo sahihi kwa watumishi wa umma, lifanyiwe tu maboresho kulingana na wakati tulio nao.

Mawaziri hawa wameshapotoka hawakusaidii zaidi ya kujenga taswira mbaya kwa nchi. Mama usiangalie wala kujali jina la mtu jali watanzania.

Baba wa Taifa letu alituasa unaweza kumpenda mtu, unachoweza ni kula naye, kunywa naye siyo kumpatia uongozi wa nchi. Hustahili kuwa na hawa, JK apumzike asijifanye anajua, km vp agombee 2025.
  • Mwigulu, huu ni mla rushwa wa kutisha tuna ushahidi wa kutosha hasa vikao vyake vinakuwa Dar na Arusha, tutarusha ushahidi km ww rais wetu ni sawa na Yuda Iskariote
  • January Makamba, mama huyu mtu ni mla rushwa wa kutisha na anakuhujumu anataka urais
  • Selemani Jafo, huyu hajawahi hata kukutambua km we rais, hakuna anachofanya zaidi ya kukuhujumu.
  • Angela Kairuki, km unampenda sana mbadilishe wizara, alipo hajui hata anafanya nini
  • Inno Bashungwa, mbadilishe wizara huyu bwanamdogo, wizara ya ujenzi inahitaji mtu km Wiliam Lukuvi, sijajua shida ya huyo mhehe, ni kiburi?
  • Ashatu Kijaji, kinachomweka pale ni dini yake au nini, huyo mtafutie kazi nyingine au arudi Mzumbe kufundisha.
  • Nape Nnauye, huyu mpumzishe ameshajisahau amebaki kushindana na watu
  • Damas Ndumbaro, huyu mtafutie kazi nyingine kwanza hana hata interest na mambo ya michezo
  • Pindi Chana, tafuta mwingine rais wetu, huyu ana changamoto yake, mrudishe mbunge wa Kilosa prof. Kabudi.
Usiwaogope watu wazuri ndio watakusaidia. Mhe. Rais tumia watu wenye uwezo na waadilifu.

Ingewezekana peleka marekebisho ya katiba bungeni, Rais wa Zanzibar Dr. Hussein Mwinyi awe waziri wa Fedha wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Zanzibar ni sehemu ya jamhuri ya muungano hakuna cha ajabu. Hussein ni muadilifu na ana akili sana tumtumie kutusaidia, Mwigulu ni janga
Zero kabisa
 
Raisi wa nchi ni mateka. Raisi hana mamlaka, tunaongozwa na raisi kivuli.
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] mama ameziba masikio hao unaowataja kuanzia January makamba nape na mwigulu anawaogopa sababu kubwa NI vijana wa mzee wa msoga anaamini hao akiwatengua watamuundia Zengwe wazee wao kwenye uraisi wake ndiyo maana yupo karibu nao na wala hata wasemwe Vipi Hana cha kuwafanya
Bado mpaka leo mna maneno yenu haya haya ya kihanithi haya?!!! Kueni basi
 
Mheshimwa sana wetu kwanza ujue tunakupenda sana na tunakuombea maisha marefu na utumishi uliotukuka mpaka 2030.

Hawa mawaziri hawakufai mh. Rais. Angalizo, tunaomba uelewe azimio la Arusha ni mwongozo sahihi kwa watumishi wa umma, lifanyiwe tu maboresho kulingana na wakati tulio nao.

Mawaziri hawa wameshapotoka hawakusaidii zaidi ya kujenga taswira mbaya kwa nchi. Mama usiangalie wala kujali jina la mtu jali watanzania.

Baba wa Taifa letu alituasa unaweza kumpenda mtu, unachoweza ni kula naye, kunywa naye siyo kumpatia uongozi wa nchi. Hustahili kuwa na hawa, JK apumzike asijifanye anajua, km vp agombee 2025.
  • Mwigulu, huu ni mla rushwa wa kutisha tuna ushahidi wa kutosha hasa vikao vyake vinakuwa Dar na Arusha, tutarusha ushahidi km ww rais wetu ni sawa na Yuda Iskariote
  • January Makamba, mama huyu mtu ni mla rushwa wa kutisha na anakuhujumu anataka urais
  • Selemani Jafo, huyu hajawahi hata kukutambua km we rais, hakuna anachofanya zaidi ya kukuhujumu.
  • Angela Kairuki, km unampenda sana mbadilishe wizara, alipo hajui hata anafanya nini
  • Inno Bashungwa, mbadilishe wizara huyu bwanamdogo, wizara ya ujenzi inahitaji mtu km Wiliam Lukuvi, sijajua shida ya huyo mhehe, ni kiburi?
  • Ashatu Kijaji, kinachomweka pale ni dini yake au nini, huyo mtafutie kazi nyingine au arudi Mzumbe kufundisha.
  • Nape Nnauye, huyu mpumzishe ameshajisahau amebaki kushindana na watu
  • Damas Ndumbaro, huyu mtafutie kazi nyingine kwanza hana hata interest na mambo ya michezo
  • Pindi Chana, tafuta mwingine rais wetu, huyu ana changamoto yake, mrudishe mbunge wa Kilosa prof. Kabudi.
Usiwaogope watu wazuri ndio watakusaidia. Mhe. Rais tumia watu wenye uwezo na waadilifu.

Ingewezekana peleka marekebisho ya katiba bungeni, Rais wa Zanzibar Dr. Hussein Mwinyi awe waziri wa Fedha wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Zanzibar ni sehemu ya jamhuri ya muungano hakuna cha ajabu. Hussein ni muadilifu na ana akili sana tumtumie kutusaidia, Mwigulu ni janga
Unapoteza muda wako bure kushauri wapumbavu
 
Mimi jamaa wa Tozo sikumuelewa alipomshauri Mama kuhusu kuweka ruzuku kwenye mafuta wakati kwenye kikao Mama alidhamilia kufuta baadhi ya kodi kero kwenye mafuta Mzee wa Tozo alipewa ushauri na wafanyabiashara wa Mafuta wazo likapita Watanzania bado wanaendelea kuumia huyo jamaa ana laana zangu aisee sioni kitu cha maana akitoa juu ya Watanzania zaidi ya kuwaumiza tu kila kukicha...
 
Baraza zima la mawaziri hakuna anayefaa.
Kama alivyoandika johnthebaptist kwenye uzi wake wa kufanya mawaziri wasiwe wabunge, ukipata wabunge wa hovyo kama hawa waliopo wa mwendazake, wigo wa kupata mawaziri wazuri ndani yao unakuwa finyu sana.

Kwa sasa ndani ya bunge hili la futuhi, wanaoweza na kufaa kuwa mawaziri na kufanya vyema, hawazidi hata wabunge 10.
Sahihi kabisa lile ni kusanyiko la matapeli tupu
 
Mimi jamaa wa Tozo sikumuelewa alipomshauri Mama kuhusu kuweka ruzuku kwenye mafuta wakati kwenye kikao Mama alidhamilia kufuta baadhi ya kodi kero kwenye mafuta Mzee wa Tozo alipewa ushauri na wafanyabiashara wa Mafuta wazo likapita Watanzania bado wanaendelea kuumia huyo jamaa ana laana zangu aisee sioni kitu cha maana akitoa juu ya Watanzania zaidi ya kuwaumiza tu kila kukicha...
Baraza zima la mawaziri ni laana tupu
 
Back
Top Bottom