Rais Samia afanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri. Angellah Kairuki aenda TAMISEMI, Balozi Mulamula atemwa, Bashungwa ahamishwa

Kila la heri
 
Inamaana Wabunge wote ndani ya CCM hakuna mwenye Uwezo wa kushika Wizara mpaka Raisi kaamua kuongeza mtu kutoka nje.
Kila kitu konekshen ndugu Ngoja naye akaendelee kula mema ya nchi maana alikuwa bench mpka ktambooo
 
Aaah anyway pesa ya chai kesho sina ila mama anaupiga mwing nilale mie
 
Bashungwa anahamishwa sana ajiangalie soon atatupwa nje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…