Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi kwenye Mkutano wa Hadhara - Ruangwa Mini leo tarehe 18 Septemba, 2023.
Rais Samia amesema kuwepo Ruangwa ni mwendelezo wa ziara yake ya siku nne mkoani Lindi. Lengo la Serikali kutoa pembejeo na ruzuku ya mazao ni kuwajengea uwezo wa kutosha wakulima wa kujijenga, ili baadae waweze kununua wenyewe.
Nia ya Serikali ni kuifanya Ruangwa ifunguke kimaendeleo. Pia Serikali itajikita katika kufanya utafiti wa madini pamoja na kuwawezesha wachimbaji wadogo ili wachimbe vizuri.
Mradi mkubwa wa gesi wa LNG utakuwa manispaa ya Lindi, lakini faida zake zitakwenda Lindi nzima. Serikali ipo hatua za mwisho kujadiliana na wawekezaji na pindi makubaliano yatakafokiwa mradi huu utaanza rasmi.
Rais Samia amesema kuwepo Ruangwa ni mwendelezo wa ziara yake ya siku nne mkoani Lindi. Lengo la Serikali kutoa pembejeo na ruzuku ya mazao ni kuwajengea uwezo wa kutosha wakulima wa kujijenga, ili baadae waweze kununua wenyewe.
Nia ya Serikali ni kuifanya Ruangwa ifunguke kimaendeleo. Pia Serikali itajikita katika kufanya utafiti wa madini pamoja na kuwawezesha wachimbaji wadogo ili wachimbe vizuri.
Mradi mkubwa wa gesi wa LNG utakuwa manispaa ya Lindi, lakini faida zake zitakwenda Lindi nzima. Serikali ipo hatua za mwisho kujadiliana na wawekezaji na pindi makubaliano yatakafokiwa mradi huu utaanza rasmi.