Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
hii ichi imeamza kupata viongozi wa ovyo sana, mmoja alikuwa mkabila na mdini, huyu mwingine amekuwa mdini sababu huku Hana kabila au.Ofisi Nzima Pale Ikulu Wamejaa Waislamu Tu
Rais _ Muislam
CS - Muislam
Km Ofsi Ya Rais Ikulu ni Muslam
Chief of Protocol ni Muislam
Wasaidizi wa Rais 8 pale Ikulu 6 ni waislam na 2 ndio Wakristo
alikuwa mkabilaKwamba walioondolewa hapo wote ni wasukuma ama jiwe aliteua wasukuma kila idara?
Huu ni uongo wa wazi na unatumiwa na watu wasio na akili pekee.
Dah hajamkuta jiwe, jiwe kila mahali ilikuwa vitisho tu na watu kupotea hovyoMimi napiga story free hata kipindi cha Magu,huyu bibi anacheka huku mnafiki ndo shetani kabisa
Ahahaha,walikuwa wanapotezwa na timu ya JK ili kumfitinisha tu,yule Machinga wa vingunguti aliyefariki juzi kauliwa awamu ya Magu si ndioDah hajamkuta jiwe, jiwe kila mahali ilikuwa vitisho tu na watu kupotea hovyo
Nimekueleza hapo juu unategemea zanzibar upate rais au makamu wa rais wa Tanzania asiye muislam? Tumia akiliKumbe wewe futuhiii[emoji33][emoji33][emoji33]ni wakati gani dr shein alikuwa makamo wa rais,bilal, wakati wa mwinyi pia
kama Mramba na wajukuu zakeBado hiyo siyo 'solution'. Kama watahitaji Tanesco iwe vizuri ni kufumua kila mtu kuanza upya. Simaanishi wafutwe kazi ila ile dhana ya 'kujuana' sana iondolowe. 'Imagine' unafika Tanesco unamkuta mama, baba, mtoto na mjomba wote wameajiriwa Tanesco sasa kazi zitaenda kweli hapo?
Huyo chinga alipata ajali mkuuAhahaha,walikuwa wanapotezwa na timu ya JK ili kumfitinisha tu,yule Machinga wa vingunguti aliyefariki juzi kauliwa awamu ya Magu si ndio
Alimpa mtoto wa aliyekuwa house girl wake uDED rombo alikuwa kilaza alafu mbishi sana! Amefanya mambo ya hovyo pale chama na kamati ya bunge walilalamikia uwezo wake muda mrefu jiwe akamuacha tu hadi miaka minne ndiyo akamtoa. Yaani kabinti kana mambo ya bongo muvi balaa! Jiwe!Nilikuwa nina kujibu uliposema teuzi za Magufuli watu walikuwa hawalalamiki. Sio kweli..watu walilalamika hapa sana. Mpaka kuwapakazi watu ni wasukuma au mtoto wa dada yake!!
Usinikumbushe wakati Lowassa alipokuwa Waziri mkuu, kipindi hicho Tamisemi ipo chini yake alivyojaza wakina Mollel huko kwenye Halmashauri.Wao wako busy na biashara na kujiajiri ndio maana hata nafasi za uongozi hawajawahi kuzipata kwa wingi ka wa kanda ya ziwa
Wengi wangapi ?Siro kawafanyaje hao upinzani maana wengi waliachiwa huru
Kama kuvunjwa mkono unaona bora basi una shida mahaliBora yeye alivunjwa mkono vipi waliouliwa na makaburi Yao hayajaonekana mpaka leo Tundu lisu alifyatuliwa marisasi mengi kama gaidi
Hapo sasa umekuwa muwazi kwamba awamu ya bibi ushungi imewakumbuka wabinafsi wa taifa.[emoji23][emoji23][emoji23]kufa kufaana mzee baba
Kwani hao wa DINI nyingine hawana haki ya kupata NAFASI katika JAMHURI YA TANZANIA tukifanya COMPARISON ya mgawanyo wa MADARKA ukweli kwamaba hao waislam hawana nafsi ya kutosha kabisa na wala hawana shida ..M/kiti wa bodi Ya Tanesco Ni Muislam
DG Wa Tanesco pia ni Muislam
DG Wa Rea Ni Muislam Pia
Ts Islamic State
Bakwata Wanaupiga Mwingi Sana
[emoji23][emoji23]uongo wachagga huwa hawahitaji hisani ya mtu kuishi ka nyakati ngumu za jiwe wali survive licha ya kupigwa vita na waja waka survive sembuse zamu ya mama mpenda haki aiseeHapo sasa umekuwa muwazi kwamba awamu ya bibi ushungi imewakumbuka wabinafsi wa taifa.
Hata kuvunjwa kiuno ukizingua sioni shida sembuse mkono[emoji23][emoji23][emoji23]Kama kuvunjwa mkono unaona bora basi una shida mahali
Asilimia 95%Wengi wangapi ?
Nchi hii ukirushiwa nofu la nyama share tu na watu wako utafanyaje Sasa maana ngoyai mwenyewe kwa asili ni mumeru kabisa, so favoratism Iko tu bongo hii Bora hata waswahili sio hatari kwa kubebana ka wabaraUsinikumbushe wakati Lowassa alipokuwa Waziri mkuu, kipindi hicho Tamisemi ipo chini yake alivyojaza wakina Mollel huko kwenye Halmashauri.
Wakati wa kampeni za 2015, Lowahasa akaropoka kanisani. Eti awamu hii ni zamu yetu Walutheri. Sijui nani alimwambia kuna zamu za kidini.
Baada ya kuruka ruka , hatimaye umeingia kwenye nyavu.Nchi hii ukirushiwa nofu la nyama share tu na watu wako utafanyaje Sasa maana ngoyai mwenyewe kwa asili ni mumeru kabisa, so favoratism Iko tu bongo hii Bora hata waswahili sio hatari kwa kubebana ka wabara
Upo sahihiHata kuvunjwa kiuno ukizingua sioni shida sembuse mkono[emoji23][emoji23][emoji23]
Samia anapenda haki zipi ?[emoji23][emoji23]uongo wachagga huwa hawahitaji hisani ya mtu kuishi ka nyakati ngumu za jiwe wali survive licha ya kupigwa vita na waja waka survive sembuse zamu ya mama mpenda haki aisee