Wewe ni mjinga sana unataka wasukuma waziajiriwe? Je wanaosoma vyuoni waache maana wakiteuliwa wanaziba nafasi zenu!Yote haya hayaondoi ukweli kuwa magufuli aliweka mbele ukabila ,udini na ukanda kuanzia kwenye nafasi za uongozi mpaka mgawanyo wa rasilimali za nchi.
Acha ujinga zanzibar wakristo wapo wa kutosha na wamesoma sana tu! Ila mmehodhi kwa udini wenu!Sasa unategemea kwa idadi ya waislam zanzibar chance ya kumpata vice president mkristo unaitoa wapi? Tumia akili kufikiri
Kabisa mkuu. Niliwahi kufanya kazi Tanesco nilishtuka pale ukoo mzima unaukuta pale wanapiga kazi. Sasa kazi zitaenda kweli?kama Mramba na wajukuu zake
Kwanini unawaza kupitia udiniM/kiti wa bodi Ya Tanesco Ni Muislam
DG Wa Tanesco pia ni Muislam
DG Wa Rea Ni Muislam Pia
Ts Islamic State
Bakwata Wanaupiga Mwingi Sana
PoppoooooooHuyu si alikuwa BRN tujiandae kununua standby Generator lakini tuko vizuri tuna Solar
Wakutosha ndio kitu gani?Acha ujinga zanzibar wakristo wapo wa kutosha na wamesoma sana tu! Ila mmehodhi kwa udini wenu!
With great sadness Mama Samia haiwezi Tanzania.Hii panga pangua kumbe ni mkakati maalum wa kuleta mgao. Yaani hawataki wa zamani wabaki kusije kukatokea mgawanyiko.
Bad enough anawaza 2025. Aisee tuna shida sana.With great sadness Mama Samia haiwezi Tanzania.
Anasikitisha sana....kupata viongozi kama tulivyompata yeye by default ni mzigo mkubwa sana.
This is total failure.
Iraq kwenyewe kuna wakristu, Tariq Aziz unamkumbuka? Sembuse Znz! Ingawa dini sio factor as long as kuna ufanisi kwa wenye dhamanaWakutosha ndio kitu gani?
bado wanaula au saivi wanaliwa?U yo jamaa alietoka Multichoice yuko vizur sana.
Tanesco wameula[emoji106]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Duh maharagebado wanaula au saivi wanaliwa?