Rais Samia afanya uteuzi: Masauni aondolewa Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais

Mm huyu jamaa sijawahi kumuelewa kabisa.
 
Nilikuwa naiona ile orodha ya Madaktari 6 kwenye luninga wanaopendekezwa kugombea nafasi iliyoachwa Wazi kufuatia Kifo Cha Dr Ndugulile pale WHO Africa

Ni kama Janabi ameshawaacha wenzake nyuma

Baadae Mlale unono πŸ˜€
Huko WHO hakuna kura feki wala uchafuzi wa uchaguzi.
 
Atanenepa Tu Taka Asitake,,Aache Kutuletea Wenge Kuhusu Kitimoto
 
Mbona tayari Mkanganyiko
Kabudi kateuliwa kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni , Michezo na Sanaa
Wakati huo Wizara inaitwa Wizara ya Utamaduni, Michezo na Sanaa..Au typing error
Mbona huyu mama yetu atakufa anateua na kutengua
Habari imechanganywa sana
 
HΓ kuna Cha ajabu hapo, hakuanza leo kumshauri, labda sasa imeandikwa rasmi.
 
Damas ndumbaro amewahi kuwa waziri wa sheria na katiba akaondolewa then amerudisha kule kule kweli mama anaupiga mwingi
 
Mkuu unataka kusema hali itabadilika?
 
Ningekuwa kabudi ninge kataa uteuzi. Yani mimi nifanye kazi na mwijaku na steve mengele?
Kwani kuna Wizara haikuli Bata ??!!
Kazi na Bata bandugu !
After all Kazi ni Kazi tu !
Acha kazi uone kazi kupata Kazi !
Pata kazi uone kazi kufanya Kazi !
Binadamu huwa haturidhiki mpaka tani saba ya mchanga iwadie πŸ˜³πŸ™„πŸ™
 
HUYO JANABI SI MUISIHARAMU? KAMWE MUISLAMU HANA AKILI YA KUTOA USHAURI WA MAANA WENYE MANUFAA KWA NCHI NA KAMA YUPO MUISLAMU YOYOTE ALIYE WAI KUTOA USHAURI WA MAANA AKIWA NDANI YA UTENDAJI SERIKALI NITAJIWE MMOJA TU...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…