Rais Samia afanya uteuzi: Masauni aondolewa Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais

Nilikuwa naiona ile orodha ya Madaktari 6 kwenye luninga wanaopendekezwa kugombea nafasi iliyoachwa Wazi kufuatia Kifo Cha Dr Ndugulile pale WHO Africa

Ni kama Janabi ameshawaacha wenzake nyuma

Baadae Mlale unono 😀
Mpo obssessed sana na hiyo nafasi. Halafu haipatikani hivo mnavyofikiri

Fau alishindanishwa na watu ma prof with experience and papers zaidi ya 100, While Fau with his 10 paper only na ka master kake ka Mmed ka hapo MUHAS akaweza kupiku hao wasomi na mambo mengi

The post is about connecton, WHO wakukubali na uwe chawa pia, uwe kuna vitu umefanya to boost YOUR confidence . Ule uchawq wa fau kulikisha info za covid hadi JPM akamchomoa pale wizarani zilimpa mileage na jamaa wakamwambia tutakupa sapoti gombea ukurugenzi. Kama yule mtoto wa malecela angekuwepo …… yule nae angepata


Janabi hana wow factors na ni underdog sana kwenye highest political positons na leadership skilss…. Fau alikuwa na experience na expert kwenye Health Policy za nchi mbalimbali kulingana na
Position alizoshika. Janabi ni yupo kwenye operational zaidi na sio SERA, he would not make a suitable candidate hawezi kupata wala kupewa ….Maisha sio rahisi hivo kuwa akifa huyu tutamuweka huyu….. hizo sio post za CCM na teuzi zenu….. ever wondered why huko nyuma hatukuwahi KUWA na DG WHO … au mnadhan watu hawakuwa wanaomba hizo post?

Weil , kama mnataka kuweka karata tena next phase kwa mtu ambae ni a good politcian, strong leadership skills na health Policy experience mumuandae Mpoki….. huyo anaweza kuleta mantiki in the future ……. Arudishwe wizarani kwenye managerial level as in katibu au naibu waziri…….. kumuweka MPOKI CEO wa MOI ni kumuwekambali na hizo post maana hizo sehemu za MOI ni za ki operational zaidi sio leadership experience na sera za afya. All in all ni lazima pia awe kupe wa WHO kama alivyokuwa Mwera Malecela na faustine

Janabi aendelee kutoa ushauri watu wasinywe soda na chips, na pia waangalie kama wanakojoa mkojo wa povu na kiuno cha suruali zaidi ya 40 size
 

Attachments

  • IMG_3641.jpeg
    152.5 KB · Views: 4
NAFASI YA WHO NI NZURI SANA LAKINI SITATAMANI KABISA JANABI AONDOKE MUHIMBILI MUDA HUU

MPOKI ULISUBISYA ANAFAA SANA KUGOMBEA NAFASI HIYO.

TAFADHALI SANA JANABI ASIONDOKE MUHIMBILI WAKATI HUU
Kwa nini asiondoke mzee akipata sehemu nyingine ujue hatokaa milele muhimbili muhimu watakuja wengine na maisha yataendelea magufuli aliondoka akiwa rais maisha yamesonga halafu nipe sababu 2 tu kwa nini hutaki janabi kuondoka muhimbili
 
Hata angekuwa Nani yule hawezi kupata kwanza sio SMART NA hana confidence wala experience pia hana influence….

Fau alianza kujiandaa 4 years back …… wengi wanadhani promo za Samia ndio zimempa Cheo Fau…… honestly mnajidanganya

JK na Ngosha walishawahi ku endorse watu kwa hizo post….. wote walitoka kwenye preliminary stage….. guys hizo sio post za CCM mnapeana bila uwezo

molel hata akiandaliwa HAFAI

KIGANGWALA hata akiandaliwaHAFAI …. Yule
Ni muhuni kama wahuni mwîngine , not Even smart yaani hana intelligence

Anae fit ni mpoki aanze kuandaliwa now for 2029 , tena with pre conditions

Atolewe hapo MOI aende kwenye policy na sio kubaki kwenye operation

Awe chawa na kipenyo wa WHO kama alivyokuwa FAU na mwera

Apewe hata ubunge wa viti maalum

Afanye publish za kutosha kwenye scientifique journal

Those are the things would build his candidacy strong in the future
 
Mfumo wa kijima bado tunahitaji katiba mpya

Unamteua polisi kuwa balozi kweli??
 
Janabi ni uteuzi wa pensheni.
 
Jana trh 09/12/ 2024 Mhe. Rais Dkt Samia kafanya tena mabadiliko madogo ya baraza ni jambo jema, ila kinacho shangaza kuna mawaziri wamechezeshwa hapohapo kila mabadiliko, mfano Waziri Ndumbaro kacheza sana drafting hapo, kwa niaba ya wananchi tunashauri, kama waziri hatoshi apumzishwe, kuna watanzania wasomi na weledi wwngi sana, wapewe nafasi kuitumikia Nchi yao badala ya majina hayo hayo.....Ndumbarooo ndumbarooo!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…