Rais Samia afanya uteuzi: Masauni aondolewa Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais

Wacha tukokotane kumaliza mwaka!
 
Hili la masauni ndio lilikuwa linaangaliwa sana, yanayoendelea chini ya wizara yake hayakuwa mazuri
 
Nilikuwa naiona ile orodha ya Madaktari 6 kwenye luninga wanaopendekezwa kugombea nafasi iliyoachwa Wazi kufuatia Kifo Cha Dr Ndugulile pale WHO Africa

Ni kama Janabi ameshawaacha wenzake nyuma

Baadae Mlale unono 😀
Hivi serious una akili timamu unawapeleka Mollel na Kingwalagwala WHO? acheni utani wa kijinga kwenye mambo ya msingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…