Rais Samia afanya uteuzi: Masauni aondolewa Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais

Nilikuwa naiona ile orodha ya Madaktari 6 kwenye luninga wanaopendekezwa kugombea nafasi iliyoachwa Wazi kufuatia Kifo Cha Dr Ndugulile pale WHO Africa

Ni kama Janabi ameshawaacha wenzake nyuma

Baadae Mlale unono πŸ˜€
Acha kuli- abuse jukwaa na wanajf ati! Huyo Mollel wako na mzee wa nje ya box hebu wapeleke katika vituo vya afya huko kata za pembezoni wakajifunze! Nashangaa watu wanawaita madaktari.
 
Mama jiandae kushindia kijiko 1 cha wali kwa janaba sema jamaa yuko vizuri kwenye kushauri ila wabongo hatupendi ila angemupumzisha apewe kiti 1 muhimbili au mshauri
 
Hivi tangu Machi 2021, teuzi zimefanyika mara ngapi? Ni sawa na teuzi mara ngapi kwa mwezi?
 
kulikoni suzan kaganda, hakyamungu wanaume haki zetu zinaenda potea, si ndo alisema tukinyimwa twende kwake au?
 
Sasa hivi ni zamu ya Polis na watendaji kata kutumbua tu. Hao kwa sasa ni miungu watu
 
Yule aliyemuoa mtangazaji clouds fm yuko wapi?? Mbona kama mkeka umechanika tayar ?
 
Kuhusu kabudi hiyo wizara anaiweza, anajua mengi yanayorandana na wizara hiyo licha ya taaluma yake ya uanasheria, usanii na habari anaweza
 
Tutegemee kuona Rais akikonda au hata kufa Kwa njaa,
Kamteua Janabi awe mshauri wa mambo ya Afya, soon atazuiliwa kula na kupata juu maana kutasababisha moyo utanuke
 
Kila nikimuangalia Bashungwa namuona kafanana na watu wa nchi jirani wale wachokozi wachokozi.😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…