Unalinganisha billion 800 ya mwaka 2012 ?Ila mbona makusanyo yameongezeka? Mwezi uliopita makusanyo yalikuwa trillion 1.6.
Kipindi Cha kikwete ambapo machinga hao unaowasema hawakuwepo lakini makusanyo kwa mwezi ilikuwa bil 800
Na wewe hujaelewa, maana yake machinga wabaki lakini wasizibe maduka lakini pia watoe mwanya basi waenda kwa miguu nao weweze kupita yaani wapangwe vizuri sio kufunga njia kabisa kabisa., machinga hawezi ondoka mjini pigauaHujamuelewa Mh Rais.
Kasema waondolewe kwa utaratibu bila kelele na vurugu.
Hiyo ni Go ahead ya Wamachinha kuondolewa. Hiyo kinga hakuna tena ya kutoguswa.
Ni kweli kabisa hiyo bilioni 800ya miaka hiyo ingeweza fanya makubwa kuliko trilion 1.3 ya 2021 kwa kuzingatia exchange rate ya miaka hiyoUnalinganisha billion 800 ya mwaka 2012 ?
Na kuilinganisha na uchumi wa Sasa
Angalia Kwanza exchange ya dollar kipindi kile na sasa
Na wewe hujaelewa, maana yake machinga wabaki lakini wasizibe maduka lakini pia watoe mwanya basi waenda kwa miguu nao weweze kupita yaani wapangwe vizuri sio kufunga njia kabisa kabisa., machinga hawezi ondoka mjini pigaua
Jamaa wanapenda mchekea wafanye biashara sehemu zinazolipa lakini hawataki kutozwa gharama zinazoendana na eneo husika wakiguswa wanasema wanaonewa.Walipewa masoko yaliyojengwa na mradi wa kuboresha manispaa DMP na wameyatelekeza. Mbagala waliambiwa wawapishe wajenzi wa barabara, wamegoma kuondoka na kusababisha usumbufu kwa wajenzi kwa kutupa taka wanamojenga na kukanyaga lami mbichi. Mmachina ni sawa na wale ndege wanaokaa migongoni mwa wanyama mbugani.
Acha hizo aisee, hizi tozo zimeanza mwezi wa 8, Ila mwezi wa 6 makusanyo yalikuwa trillion 1.8, hapo vipi?Hakukua na matozo ya ajabu ajabu kama sahivi
Hayaaa ambieree....Ila machinga twethivukaa mpaka kimanyikeee atheeeeWapare wanasema
Angu meso!
Hapa umesema kweli
Watu hawana ajira wala kipato cha ziada. Waache wafunge barabara ndio tuelewane.Wanaondolewa wanapelekwa wapi?
Hapa kasema Waondolewe, PeriodNiliandika tarehe 13/09/2021 nayo itapita wamachinga watakuwapo, Leo tarehe 13/09/2021 Rais akiongelea kuhusu wamachinga alisema hataki kuona nguvu yoyote ikitumika kuwaondoa wamachinga, kauri hii ya Rais ni muendelezo wa kuwajengea kiburi wamachinga.
Nilisema jukumu la kuwaondoa ni la Rais tu mkuu wa mkoa hana ubavu wa kuwaondoa wanyonge wapigakura wa Rais.
Je, viongozi wengine wanasababu ya kuwapa muda wa kuondoka sehemu wasizositahili?
Hapa, wawaache tu.
----Zaidi soma--
Rais Samia Suluhu amesema haya...
Najua kwamba Serikali tumetoa fursa kubwa kwa machinga kufanya biashara zao ili kujiingizia vipato vyao. Wakuu wa Mikoa na Wilaya wanawapanga lakini imefika wakati wameenea kila mahali, mpaka kwenye maduka wao wanaziba na wenye maduka hawauzi wanauza wao mbele.
Sasa baadhi ya wenye maduka wamepata mtindo wa kutoa bidhaa ndani na kuwapa wamachinga kuuza, tendo hili linatukosesha kodi kwa sababu machinga halipi kodi. Nitoe wito kwa wakuu wa mikoa, muwapange vyema machinga bila kuleta vurugu, fujo na uonevu
Niwaombe ndugu zangu machinga nanyi mkafuate sheria. Ndugu zangu mlioapa leo na wengine mliopo na kwingine, mwende mkachape kazi, nami nikitoka hapa nakwenda kuchapa kazi, naenda kuchapa kazi ya marekebisho.
Tuwekee thamani ya dola 2014 na ya sasaUnalinganisha billion 800 ya mwaka 2012 ?
Na kuilinganisha na uchumi wa Sasa
Angalia Kwanza exchange ya dollar kipindi kile na sasa
Yaani unategemea "waondoke bila kelele", wakati ndio ofisi na maisha yao yapo hapo. Ngoja tuone muujiza wa machinga kuondoka "bila kelele na vurugu"Hujamuelewa Mh Rais.
Kasema waondolewe kwa utaratibu bila kelele na vurugu
Weka hapa tuioneNi kweli kabisa hiyo bilioni 800ya miaka hiyo ingeweza fanya makubwa kuliko trilion 1.3 ya 2021 kwa kuzingatia exchange rate ya miaka hiyo
Hata mimi kauli ya Mh Rais nimeitafsiri hivi mkuu, binafsi nimeona katoa green light waondolowe.Hujamuelewa Mh Rais.
Kasema waondolewe kwa utaratibu bila kelele na vurugu.
Hiyo ni Go ahead ya Wamachinha kuondolewa. Hiyo kinga hakuna tena ya kutoguswa.
Kuondolewa baadhi yao ni lazima maana kama hilo unalosema lingewezekana hata sasa ingekuwa hivyo lakini kwa wingi wao wa sasa haiwezekani jamaa kupangwa na wakatosha hivyo lazima wengine wapungue.Na wewe hujaelewa, maana yake machinga wabaki lakini wasizibe maduka lakini pia watoe mwanya basi waenda kwa miguu nao weweze kupita yaani wapangwe vizuri sio kufunga njia kabisa kabisa., machinga hawezi ondoka mjini pigaua
Shida ya hawa ndugu zetu bila kutumia nguvu hawatoki, rais hapo anampa wakati mgumu Sana mtekelezajiHujamuelewa Mh Rais.
Kasema waondolewe kwa utaratibu bila kelele na vurugu.
Hiyo ni Go ahead ya Wamachinha kuondolewa. Hiyo kinga hakuna tena ya kutoguswa.