Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninazijua faida za ndege rafiki kwa wanyama, mfano wangu ni jinsi wamachinga wanavyopishana na vijiko vya ujenzi wa barabara bila kujali hatari iliyopo, wajenzi wanalazimika kuepusha ajali na kuzikwepa bidhaa zilizopangwa eneo la ujenzi.Mhhh hawa ndege unawaonea....wale ndege wala sio wasumbufuy kwa wale wanyama...ki ukweli wote pale wanafaidika mmnyama anawapa hidhafi na ndege wanamsaidia mnyama kuondoa wadudu wasumbufu...sasa sijajua muktadha wako wa kufananisha "machinga" na hao ndege
Sio kama hawakwenda vile vizimba walipeana wakubwa watupu ambao sio machinga! Then machinga halisi walikosa karibu wote!Unaahisi wamachinga wataondoka bila kelele na vurugu? Ukisema uwapange vizuri, kwa jiji Kama la dar utawapeleka wapi?
Kikwete alijenga machinga complex Ila bado hawakwenda
Niliandika tarehe 13/09/2021 nayo itapita wamachinga watakuwapo, Leo tarehe 13/09/2021 Rais akiongelea kuhusu wamachinga alisema hataki kuona nguvu yoyote ikitumika kuwaondoa wamachinga, kauli hii ya Rais ni muendelezo wa kuwajengea kiburi wamachinga.
Nilisema jukumu la kuwaondoa ni la Rais tu mkuu wa mkoa hana ubavu wa kuwaondoa wanyonge wapigakura wa Rais.
Je, viongozi wengine wanasababu ya kuwapa muda wa kuondoka sehemu wasizositahili?
Hapa, wawaache tu.
----Zaidi soma--
Rais Samia Suluhu amesema haya...
Najua kwamba Serikali tumetoa fursa kubwa kwa machinga kufanya biashara zao ili kujiingizia vipato vyao. Wakuu wa Mikoa na Wilaya wanawapanga lakini imefika wakati wameenea kila mahali, mpaka kwenye maduka wao wanaziba na wenye maduka hawauzi wanauza wao mbele.
Sasa baadhi ya wenye maduka wamepata mtindo wa kutoa bidhaa ndani na kuwapa wamachinga kuuza, tendo hili linatukosesha kodi kwa sababu machinga halipi kodi. Nitoe wito kwa wakuu wa mikoa, muwapange vyema machinga bila kuleta vurugu, fujo na uonevu
Niwaombe ndugu zangu machinga nanyi mkafuate sheria. Ndugu zangu mlioapa leo na wengine mliopo na kwingine, mwende mkachape kazi, nami nikitoka hapa nakwenda kuchapa kazi, naenda kuchapa kazi ya marekebisho.
ni mwendo wa virungu vya ugoko tu.Kusema ukweli machinga bila nguvu hawaondoki kamwe.
Mbona hivi karibuni walipewa na wakaondoka, tatizo lao kila mmoja anataka awe mbele ya mwenzake na ukiwapa ghorofa wote wanataka wakae chini na hapo chini kila mmoja anataka awe mbele!Sio kama hawakwenda vile vizimba walipeana wakubwa watupu ambao sio machinga! Then machinga halisi walikosa karibu wote!
Niliandika tarehe 13/09/2021 nayo itapita wamachinga watakuwapo, Leo tarehe 13/09/2021 Rais akiongelea kuhusu wamachinga alisema hataki kuona nguvu yoyote ikitumika kuwaondoa wamachinga, kauli hii ya Rais ni muendelezo wa kuwajengea kiburi wamachinga.
Nilisema jukumu la kuwaondoa ni la Rais tu mkuu wa mkoa hana ubavu wa kuwaondoa wanyonge wapigakura wa Rais.
Je, viongozi wengine wanasababu ya kuwapa muda wa kuondoka sehemu wasizositahili?
Hapa, wawaache tu.
----Zaidi soma--
Rais Samia Suluhu amesema haya...
Najua kwamba Serikali tumetoa fursa kubwa kwa machinga kufanya biashara zao ili kujiingizia vipato vyao. Wakuu wa Mikoa na Wilaya wanawapanga lakini imefika wakati wameenea kila mahali, mpaka kwenye maduka wao wanaziba na wenye maduka hawauzi wanauza wao mbele.
Sasa baadhi ya wenye maduka wamepata mtindo wa kutoa bidhaa ndani na kuwapa wamachinga kuuza, tendo hili linatukosesha kodi kwa sababu machinga halipi kodi. Nitoe wito kwa wakuu wa mikoa, muwapange vyema machinga bila kuleta vurugu, fujo na uonevu
Niwaombe ndugu zangu machinga nanyi mkafuate sheria. Ndugu zangu mlioapa leo na wengine mliopo na kwingine, mwende mkachape kazi, nami nikitoka hapa nakwenda kuchapa kazi, naenda kuchapa kazi ya marekebisho.
Kauli za mtu dhaifu, wapangwe vizuri ndio nini wakae mstari kama shule au? Kiongozi asiyekuwa dhaifu atasema sheria zipo na lazima zifuatwe bila kutumia nguvu ila inapokuja watu wanapinga sheria nguvu itatumika japo hatutaki kufika huko. Lakini unawapa kazi wakuu wa mikoa wafanya halafu huwapi tools au backup ili wakiharibu useme sikusema ni dalili za udhaifu. Kiongozi wakati mwingine unafanya maamuzi magumu ila yenye tija. Unasema hawalipi kodi, inafanya uchochoro wa wenye maduka kuwatumia, unasema tukusanye kodi halafu unasema wapangeni vizuri. Hivi wapangwe au wasifanye biashara sehemu zisizoruhusiwa? kazi tunayo.Kupangwa vizuri ndio kuwapanga vipi.
Ni kweri avae, etu ni metho...Wapare wanasema
Angu meso!
Walichofanya kupora na zile kodi za halmashauri zamani na zote kulipwa serikali kuu baade ndio wanagaiwa ndio maana mfuko kama umetuna kidogo lakini kama ulivyosema 800 ya wakati ule sio ya leo.Unalinganisha billion 800 ya mwaka 2012 ?
Na kuilinganisha na uchumi wa Sasa
Angalia Kwanza exchange ya dollar kipindi kile na sasa
Kama anaongea na kalamu aache hii kauli kila siku msidhani mimi dhaifu, huko ni kujishuku mwenyewe nani huyo aliyesema yeye dhaifu.Unataka afokefoke?? Mama anaongea kwa matendo na kalamu zaidi
Kama tumefikia kusema wamachinga ndio kimbilio la wasiokuwa na kazi basi huko mbeleni ni majanga makubwa sababu number ita double miaka inayokuja. Wamachinga hawachangii pato la taifa sanasana wanaharibu mazingira na kichaka cha kukwepa kodi wenye maduka. Huwezi kusema dukani lazima risiti hapo nje kakaa na vitu hivyohivyo kapewa na mwenye duka anauza bila risiti huu ni ujinga uliopitiliza. Mwenye duka utakuta hana wasiwasi kakaa tu utasema hauzi lakini mbele kaweka wamachinga wake hana shida. Hakuna nchi duniani ikaendelea kwa wamachinga lazima maamuzi magumu yafanyike.Kikubwa serikali ifungue milango ya ajira hao Machinga wengi ni wasomi wa Diploma + Degree kutokana na changamoto ya ajira ndio wamekimbilia huko
Kampigie kura mwendazake!
Wakti wenu kutumika kisiasa umekwisha
Anaongea kwa kalamuKauli za mama huwa sio dhabiti
Inawezekana akili ikitumika. Kwa maeneo yenye mzunguko mkubwa Kila kituo cha machinga anapoweka bidhaa kirasimishwe na alipe post tax kulingana na mauzo bila kujali mzigo ametoa wapi, kodi iwe attached na tin na tin iwe attached na post, post ziwe na camera review, one camera 10 post kulingana na angle, wapewe bure efd's na kufundishwa kutoa risiti. Hapa wengi wataogopa kuchukua mzigo wa wenye maduka maana wakichukua watalipa kodi kwa niaba na wakikaa na mizigo yao watalipa kodi kuwepo kwenye post. Akitaka kukwepa aende eneo la machinga lisilo na mfumo rasmi wa post tax.Raisi anaongea vitu visivotekelezeka..machinga huwezi kumtoa bila nguvu coz huwa hawakubali kutoka wenyewe kwa amani pili machinga huwa hawako interested na maeneo wanayopangiwa maana pale alipo kwake ndio sehemu sahihi kwake na sio pengine.Hao Ni nguvu mwanzo mwisho..wafanye Kama walivofanya ubungo mataa ,waliwapa deadline..usiku wa manene jiji ikaondoa vibanda vyote..Asubuhi wanakuta peupe
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app