Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Habari hii hapa kutoka kwa Msemaji mkuu wa serikali, ukibisha nakuletea na videoAcha uongo hizo habari umepata wapi, kama mapato yangekua makubwa hakukua na haja ya kuongeza Kodi ili kumnyonya mnyonge
Pabaya wapi weweeee?10 tenaaa.
Magu alikuwa anaipeleka pabaya hii nchi.
Una mawazo kama yangu hakika upo sahihi ni muda wa machinga kutolewa barabarani kimya kimya bila kelele.Hujamuelewa Mh Rais.
Kasema waondolewe kwa utaratibu bila kelele na vurugu.
Hiyo ni Go ahead ya Wamachinga kuondolewa. Hiyo kinga hakuna tena ya kutoguswa.
Mtanzania umuondoe kwa utaratibu? ...kesho yake tu atarud na anajua la kumfanya hunaHujamuelewa Mh Rais.
Kasema waondolewe kwa utaratibu bila kelele na vurugu.
Hiyo ni Go ahead ya Wamachinga kuondolewa. Hiyo kinga hakuna tena ya kutoguswa.
Anajua hawezi.Mtanzania umuondoe kwa utaratibu? ...kesho yake tu atarud na anajua la kumfanya huna
Iko hivyo hata huku Arusha.Maajabu niliyakuta stendi ya sabasaba Dodoma, bidhaa wanaweka chini mabasi yanafanya kukwepa mmchinga aliyeweka bidhaa chini
Hakuna chochote hapo majinga hawezi kupanga kwa njia hiyoNiliandika tarehe 13/09/2021 nayo itapita wamachinga watakuwapo, Leo tarehe 13/09/2021 Rais akiongelea kuhusu wamachinga alisema hataki kuona nguvu yoyote ikitumika kuwaondoa wamachinga, kauli hii ya Rais ni muendelezo wa kuwajengea kiburi wamachinga.
Nilisema jukumu la kuwaondoa ni la Rais tu mkuu wa mkoa hana ubavu wa kuwaondoa wanyonge wapigakura wa Rais.
Je, viongozi wengine wanasababu ya kuwapa muda wa kuondoka sehemu wasizositahili?
Hapa, wawaache tu.
----Zaidi soma--
Rais Samia Suluhu amesema haya...
Najua kwamba Serikali tumetoa fursa kubwa kwa machinga kufanya biashara zao ili kujiingizia vipato vyao. Wakuu wa Mikoa na Wilaya wanawapanga lakini imefika wakati wameenea kila mahali, mpaka kwenye maduka wao wanaziba na wenye maduka hawauzi wanauza wao mbele.
Sasa baadhi ya wenye maduka wamepata mtindo wa kutoa bidhaa ndani na kuwapa wamachinga kuuza, tendo hili linatukosesha kodi kwa sababu machinga halipi kodi. Nitoe wito kwa wakuu wa mikoa, muwapange vyema machinga bila kuleta vurugu, fujo na uonevu
Niwaombe ndugu zangu machinga nanyi mkafuate sheria. Ndugu zangu mlioapa leo na wengine mliopo na kwingine, mwende mkachape kazi, nami nikitoka hapa nakwenda kuchapa kazi, naenda kuchapa kazi ya marekebisho.
Aah hakuna kitu kama hicho.machinga hata kwa kutumia tu nguvu ni ngumu kuwaondoa.Samia anawaonfoa wamachinga kwa staha na ustaarabu,na ujue anaposema wakuu wa mikia na wilaya wawapange ujue tayari kila kitu kimepangwa na kinafuata ni utekelezaji tu
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Amewapa mwezi mmoja wawe wameondoka! Ndani ya huu mwezi mmoja anajua tutakuwa tumesahau.Aah hakuna kitu kama hicho.machinga hata kwa kutumia tu nguvu ni ngumu kuwaondoa.
Wiki iliyopita Amos Makalla alienda pale kariakoo akawaambia mwisho kukaa barabarani ni wiki hii jumatatu
Ila leo ni ijumaa hakuna hata mmoja aliyeondoka
Ndiyo madhara ya wanasiasa kutunga Sera mbovu ili wafanye siasa tena Sera za majukwaani 'uncertainty policies'Niliandika tarehe 13/09/2021 nayo itapita wamachinga watakuwapo, Leo tarehe 13/09/2021 Rais akiongelea kuhusu wamachinga alisema hataki kuona nguvu yoyote ikitumika kuwaondoa wamachinga, kauli hii ya Rais ni muendelezo wa kuwajengea kiburi wamachinga.
Nilisema jukumu la kuwaondoa ni la Rais tu mkuu wa mkoa hana ubavu wa kuwaondoa wanyonge wapigakura wa Rais.
Je, viongozi wengine wanasababu ya kuwapa muda wa kuondoka sehemu wasizositahili?
Hapa, wawaache tu.
----Zaidi soma--
Rais Samia Suluhu amesema haya...
Najua kwamba Serikali tumetoa fursa kubwa kwa machinga kufanya biashara zao ili kujiingizia vipato vyao. Wakuu wa Mikoa na Wilaya wanawapanga lakini imefika wakati wameenea kila mahali, mpaka kwenye maduka wao wanaziba na wenye maduka hawauzi wanauza wao mbele.
Sasa baadhi ya wenye maduka wamepata mtindo wa kutoa bidhaa ndani na kuwapa wamachinga kuuza, tendo hili linatukosesha kodi kwa sababu machinga halipi kodi. Nitoe wito kwa wakuu wa mikoa, muwapange vyema machinga bila kuleta vurugu, fujo na uonevu
Niwaombe ndugu zangu machinga nanyi mkafuate sheria. Ndugu zangu mlioapa leo na wengine mliopo na kwingine, mwende mkachape kazi, nami nikitoka hapa nakwenda kuchapa kazi, naenda kuchapa kazi ya marekebisho.
Tuna Sera mbovu sana pita kuanzia saa 12 jioni nje ya maduka tunauza chips barabarani ,kwenye maduka yetu mchana kweupe tunapanga bidhaa hadi barabarani na kuziba maduka mengine serikali iko kimya ,watawala wanapokaribia na uchguzi mkuu wanaruhusu haya yote hakuna utaratibuAah hakuna kitu kama hicho.machinga hata kwa kutumia tu nguvu ni ngumu kuwaondoa.
Wiki iliyopita Amos Makalla alienda pale kariakoo akawaambia mwisho kukaa barabarani ni wiki hii jumatatu
Ila leo ni ijumaa hakuna hata mmoja aliyeondoka
Mamlaka ya kukomba kura zote wanayo lakini bado hawajiamini kutokana na chama kuwa dhaifu siyo kama walichoachiwa na Nyerere.Tuna Sera mbovu sana pita kuanzia saa 12 jioni nje ya maduka tunauza chips barabarani ,kwenye maduka yetu mchana kweupe tunapanga bidhaa hadi barabarani na kuziba maduka mengine serikali iko kimya ,watawala wanapokaribia na uchguzi mkuu wanaruhusu haya yote hakuna utaratibu
Hauwezi kujenga nchi kwa kununua ndege na kuzifuga, ndege hizo huwa hazifugiki kwakua hazitagi. Mambo mengi ambayo yangefanyika baada ya uhuru mpaka leo bado hayajafanyika, Dar bado nyumba nyingi hazina maji kwa sababu huduma ya maji bado duni! Tumejikita zaidi kusubiri uchaguzi ili tuporane kura kuliko kuijenga nchi. Vijana kukimbilia mijini kunatokana na serikali kutokuwa na mipango yoyote ya maendeleo vijijini zaidi ya kufanya mikutano ya propaganda, miaka kumina tano iliyopita tuliambiwa vijijini kuna maji lakini kila siku wananchi wanalalamika hakuna maji. Mkoloni aliweka vyuo vya maendeleo vijijini sisi tunaweka Veta mijini! Manerumango kuna miundombinu ya kukiendeleza chuo cha maendeleo lakini badala yake CCM inaendeleza matawi ya chama! Matokeo yake vijana wanakimbilia mijini.Habari hii hapa kutoka kwa Msemaji mkuu wa serikali, ukibisha nakuletea na video
View attachment 1936895