Rais Samia aikemea tabia ya wamasai kuhamahama ambayo inaweza kuwa changamoto kwa sensa

Rais Samia aikemea tabia ya wamasai kuhamahama ambayo inaweza kuwa changamoto kwa sensa

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kabila la wamasai wanakawaida ya kuhamahama hali inayoweza kuleta changamoto katika zoezi la sensa mwaka 2022.

Amesema watu wasipojitokeza itakuwa ngumu kupanga mipango ya maendeleo katika maeneo husika kwa kupeleka miradi isiyotosheleza.

Sensa ya uhesabuji watu na makazi inatarajiwa kufanyika mwaka 2022.
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kabila la wamasai wanakawaida ya kuhamahama hali inayoweza kuleta changamoto katika zoezi la sensa mwaka 2022.

Amesema watu wasipojitokeza itakuwa ngumu kupanga mipango ya maendeleo katika maeneo husika kwa kupeleka miradi isiyotosheleza.

Sensa ya uhesabuji watu na makazi inatarajiwa kufanyika mwaka 2022.
Hivi kumbe kuhamahama kunafifisha maendeleo?
 
Back
Top Bottom