Rais Samia akimuita Mbowe na uongozi wake kufanya mazungumzo ya masaibu yaliyowapata utamshauri vipi Mbowe?

Rais Samia akimuita Mbowe na uongozi wake kufanya mazungumzo ya masaibu yaliyowapata utamshauri vipi Mbowe?

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Swali ili limetokana na lawama ambazo watu wamekuwa wakizitoa kwa Freeman Mbowe kuwa kwanini alikwenda kwenye maridhiano na kwanini alipotoka jela alikubali kwenda Ikulu kwa Rais Samia. Kila mmoja ametoa mawazo yake na walio wengi bila sababu (reason).

Sasa kwa hili la kuwaweka jela/mahabusu, bila kosa, wakiitwa na Rais Samia kuwa njoo tuongee kuhusu haya masaibu yaliyowapata, Je, aende au asiende?

Soma Pia:
Toa sababu

Kwangu mimi, muungwana hakatai wito hukataa analoitiwa!
 
Hapo Ile picha ya jogoo mwenye RANGI za bluu na nyekundu aliyekatwa KICHWA ya kipanya inahusika.
 
Mbowe apumzike inatosha amefanya mengi makubwa kwenye siasa za Nchi hii amelea na kukuza wanasiasa wengi....aandae mtu amwachie madaraka
 
Swali ili limetokana na lawama ambazo watu wamekuwa wakizitoa kwa Freeman Mbowe kuwa kwanini alikwenda kwenye maridhiano na kwanini alipotoka jela alikubali kwenda Ikulu kwa Rais Samia. Kila mmoja ametoa mawazo yake na walio wengi bila sababu (reason).

Sasa kwa hili la kuwaweka jela/mahabusu, bila kosa, wakiitwa na Rais Samia kuwa njoo tuongee kuhusu haya masaibu yaliyowapata, Je aende au asiende?

Soma Pia:
Toa sababu

Kwangu mimi, muungwana hakatai wito hukataa analoitiwa!
Usichanganye watu maksudi. Watu hawajawahi kulalamikia mbowe kuongea na rais, wanacholalamikia ni mbowe kuwahujumu kwa kukubali kuhongwa.

Hayo mapesa yaliyomwagwa chadema na anayeitwa mama Abdul, kama Lissu alivyosema Iringa yalipokelewa na nani?
 
Usichanganye watu maksudi. Watu hawajawahi kulalamikia mbowe kuongea na rais, wanacholalamikia ni mbowe kuwahujumu kwa kukubali kuhongwa.

Hayo mapesa yaliyomwagwa chadema na anayeitwa mama Abdul, kama Lissu alivyosema Iringa yalipokelewa na nani?.
Mbona watu wanasema ulipokea wewe? Halafu unakuja kutuuliza hapa?
 
Usichanganye watu maksudi. Watu hawajawahi kulalamikia mbowe kuongea na rais, wanacholalamikia ni mbowe kuwahujumu kwa kukubali kuhongwa.

Hayo mapesa yaliyomwagwa chadema na anayeitwa mama Abdul, kama Lissu alivyosema Iringa yalipokelewa na nani?.
stupid as you are! we ni mtu wa ku block and I block you after 30 minutes from now!
 
Mbowe apumzike inatosha amefanya mengi makubwa kwenye siasa za Nchi hii amelea na kukuza wanasiasa wengi....aandae mtu amwachie madaraka
tatizo lile lile , hujajibu hoja iliyo mezani. Just skip the thread and forge ahead kwa chawa wenzako
 
Swali ili limetokana na lawama ambazo watu wamekuwa wakizitoa kwa Freeman Mbowe kuwa kwanini alikwenda kwenye maridhiano na kwanini alipotoka jela alikubali kwenda Ikulu kwa Rais Samia. Kila mmoja ametoa mawazo yake na walio wengi bila sababu (reason).

Sasa kwa hili la kuwaweka jela/mahabusu, bila kosa, wakiitwa na Rais Samia kuwa njoo tuongee kuhusu haya masaibu yaliyowapata, Je aende au asiende?

Soma Pia:
Toa sababu

Kwangu mimi, muungwana hakatai wito hukataa analoitiwa!
Bila kosa ndio nn ?hao walitaka kuanzisha fujo tuh sasa mpk vijana wengine wametoka mikoani mpk uko mbeya afu waandamane kwa amani ?kauli zao pia wanataka kufanya kma Kenya hpo ndio tukajua chadema hawataki nchi iwe na amani
 
stupid as you are! we ni mtu wa ku block and I block you after 30 minutes from now!
Blocking me isn't gonna help your stinking ass. The simple question is who received mama Abdul's money?
 
Swali ili limetokana na lawama ambazo watu wamekuwa wakizitoa kwa Freeman Mbowe kuwa kwanini alikwenda kwenye maridhiano na kwanini alipotoka jela alikubali kwenda Ikulu kwa Rais Samia. Kila mmoja ametoa mawazo yake na walio wengi bila sababu (reason).

Sasa kwa hili la kuwaweka jela/mahabusu, bila kosa, wakiitwa na Rais Samia kuwa njoo tuongee kuhusu haya masaibu yaliyowapata, Je, aende au asiende?

Soma Pia:
Toa sababu

Kwangu mimi, muungwana hakatai wito hukataa analoitiwa!
Kwa ile dharau na matusi ya mbowe?

Nadhani hakuna haja ya kumuita kabisa
 
Aanze kulalamika serikali aijamtengenezea gari akati wanachadema walimchangia
 
Bila kosa ndio nn ?hao walitaka kuanzisha fujo tuh sasa mpk vijana wengine wametoka mikoani mpk uko mbeya afu waandamane kwa amani ?kauli zao pia wanataka kufanya kma Kenya hpo ndio tukajua chadema hawataki nchi iwe na amani
Hakuna kitu kama hicho hizo ni speculation za hawa majambazi wanaovaa uniform
 
Mods asante mmefanya editing ya heading ya thread. Mimi ni mwalimu, you frame your question to obtain a focused answer, ie you narrow down the issue in question to get the answer to the question posed and to avoid a question with multiple answers not related to the asked question!

All in all asante.
 
Back
Top Bottom