Mdomo wa Lisu hauna break, diplomasia bado ni muhimu kwenye siasa.Ikitokea hivyo msemaji mkubwa awe Lissu Mbowe awe msikilizaji tu
Usichanganye watu maksudi. Watu hawajawahi kulalamikia mbowe kuongea na rais, wanacholalamikia ni mbowe kuwahujumu kwa kukubali kuhongwa.Swali ili limetokana na lawama ambazo watu wamekuwa wakizitoa kwa Freeman Mbowe kuwa kwanini alikwenda kwenye maridhiano na kwanini alipotoka jela alikubali kwenda Ikulu kwa Rais Samia. Kila mmoja ametoa mawazo yake na walio wengi bila sababu (reason).
Sasa kwa hili la kuwaweka jela/mahabusu, bila kosa, wakiitwa na Rais Samia kuwa njoo tuongee kuhusu haya masaibu yaliyowapata, Je aende au asiende?
Soma Pia:
Toa sababu
- Je maridhiano ya Mbowe na Ikulu ndo yanaitesa CHADEMA na upinzani kwa ujumla?
- Mbowe asikitishwa na wanaobeza maridhiano ya CCM, CHADEMA
Kwangu mimi, muungwana hakatai wito hukataa analoitiwa!
Mbona watu wanasema ulipokea wewe? Halafu unakuja kutuuliza hapa?Usichanganye watu maksudi. Watu hawajawahi kulalamikia mbowe kuongea na rais, wanacholalamikia ni mbowe kuwahujumu kwa kukubali kuhongwa.
Hayo mapesa yaliyomwagwa chadema na anayeitwa mama Abdul, kama Lissu alivyosema Iringa yalipokelewa na nani?.
stupid as you are! we ni mtu wa ku block and I block you after 30 minutes from now!Usichanganye watu maksudi. Watu hawajawahi kulalamikia mbowe kuongea na rais, wanacholalamikia ni mbowe kuwahujumu kwa kukubali kuhongwa.
Hayo mapesa yaliyomwagwa chadema na anayeitwa mama Abdul, kama Lissu alivyosema Iringa yalipokelewa na nani?.
Kwa hapa tulipofikia diplomasia haina nafasi kinachotakiwa ni ukweli usemwe kama ulivyo bila kupaka rangi.Mdomo wa Lisu hauna break, diplomasia bado ni muhimu kwenye siasa.
Kama diplomasia haina nafasi ingia mtaani basi.Kwa hapa tulipofikia diplomasia haina nafasi kinachotakiwa ni ukweli usemwe kama ulivyo bila kupaka rangi.
tatizo lile lile , hujajibu hoja iliyo mezani. Just skip the thread and forge ahead kwa chawa wenzakoMbowe apumzike inatosha amefanya mengi makubwa kwenye siasa za Nchi hii amelea na kukuza wanasiasa wengi....aandae mtu amwachie madaraka
why?Ikitokea hivyo msemaji mkubwa awe Lissu Mbowe awe msikilizaji tu
Siyo lazima kuanzia kitaa kabla ya kuelezana ukweli bila kupepesa machoKama diplomasia haina nafasi ingia mtaani basi.
Bila kosa ndio nn ?hao walitaka kuanzisha fujo tuh sasa mpk vijana wengine wametoka mikoani mpk uko mbeya afu waandamane kwa amani ?kauli zao pia wanataka kufanya kma Kenya hpo ndio tukajua chadema hawataki nchi iwe na amaniSwali ili limetokana na lawama ambazo watu wamekuwa wakizitoa kwa Freeman Mbowe kuwa kwanini alikwenda kwenye maridhiano na kwanini alipotoka jela alikubali kwenda Ikulu kwa Rais Samia. Kila mmoja ametoa mawazo yake na walio wengi bila sababu (reason).
Sasa kwa hili la kuwaweka jela/mahabusu, bila kosa, wakiitwa na Rais Samia kuwa njoo tuongee kuhusu haya masaibu yaliyowapata, Je aende au asiende?
Soma Pia:
Toa sababu
- Je, maridhiano ya Mbowe na Ikulu ndo yanaitesa CHADEMA na upinzani kwa ujumla?
- Mbowe asikitishwa na wanaobeza maridhiano ya CCM, CHADEMA
Kwangu mimi, muungwana hakatai wito hukataa analoitiwa!
Mbowe anatumia soft languagewhy?
Blocking me isn't gonna help your stinking ass. The simple question is who received mama Abdul's money?stupid as you are! we ni mtu wa ku block and I block you after 30 minutes from now!
Kwa ile dharau na matusi ya mbowe?Swali ili limetokana na lawama ambazo watu wamekuwa wakizitoa kwa Freeman Mbowe kuwa kwanini alikwenda kwenye maridhiano na kwanini alipotoka jela alikubali kwenda Ikulu kwa Rais Samia. Kila mmoja ametoa mawazo yake na walio wengi bila sababu (reason).
Sasa kwa hili la kuwaweka jela/mahabusu, bila kosa, wakiitwa na Rais Samia kuwa njoo tuongee kuhusu haya masaibu yaliyowapata, Je, aende au asiende?
Soma Pia:
Toa sababu
- Je, maridhiano ya Mbowe na Ikulu ndo yanaitesa CHADEMA na upinzani kwa ujumla?
- Mbowe asikitishwa na wanaobeza maridhiano ya CCM, CHADEMA
Kwangu mimi, muungwana hakatai wito hukataa analoitiwa!
Hakuna kitu kama hicho hizo ni speculation za hawa majambazi wanaovaa uniformBila kosa ndio nn ?hao walitaka kuanzisha fujo tuh sasa mpk vijana wengine wametoka mikoani mpk uko mbeya afu waandamane kwa amani ?kauli zao pia wanataka kufanya kma Kenya hpo ndio tukajua chadema hawataki nchi iwe na amani