Mkuu unaskiza xnaa wanasiasa kuliko serikali yako ...kumbuka hao nia yao ni kuingia ikulu no matter what kwa hio hutakaa kuona wanasuport juhudiHakuna kitu kama hicho hizo ni speculation za hawa majambazi wanaovaa uniform
Mmoja 2015 baada ya kumchukua Lowasa alisema wako tayari kumtumia shetani ili mradi waingie Ikulu. They are worse than ccm.kumbuka hao nia yao ni kuingia ikulu no matter what kwa hio hutakaa kuona wanasuport juhudi
Zozote za serikali
Na cc wananchi ndio mtaji wa wanasiasa .
Nyumbu wa Mbowe uwe na wakati mwematatizo lile lile , hujajibu hoja iliyo mezani. Just skip the thread and forge ahead kwa chawa wenzako
Uzuri nina uwezo wa kutambua kweli ni ipi. Hata hao walioko serikalini ni wanasiasa pia.Mkuu unaskiza xnaa wanasiasa kuliko serikali yako ...kumbuka hao nia yao ni kuingia ikulu no matter what kwa hio hutakaa kuona wanasuport juhudi
Zozote za serikali
Na cc wananchi ndio mtaji wa wanasiasa .
Kutoa na kupokea rushwa ni makosa ya jinai na kimaadili pia.Usichanganye watu maksudi. Watu hawajawahi kulalamikia mbowe kuongea na rais, wanacholalamikia ni mbowe kuwahujumu kwa kukubali kuhongwa.
Hayo mapesa yaliyomwagwa chadema na anayeitwa mama Abdul, kama Lissu alivyosema Iringa yalipokelewa na nani?
Aende kwenye wito huo, hiyo ndio busara na ukomavu wa kisiasa kama alivyofanya hapo awali. Ila awe makini na ccm kwani hawamaanishi wanachosema. Hili ni genge la walaji wa nchi hii na wananchi wote tuwakatae kwa nguvu zote.Swali ili limetokana na lawama ambazo watu wamekuwa wakizitoa kwa Freeman Mbowe kuwa kwanini alikwenda kwenye maridhiano na kwanini alipotoka jela alikubali kwenda Ikulu kwa Rais Samia. Kila mmoja ametoa mawazo yake na walio wengi bila sababu (reason).
Sasa kwa hili la kuwaweka jela/mahabusu, bila kosa, wakiitwa na Rais Samia kuwa njoo tuongee kuhusu haya masaibu yaliyowapata, Je, aende au asiende?
Soma Pia:
Toa sababu
- Je, maridhiano ya Mbowe na Ikulu ndo yanaitesa CHADEMA na upinzani kwa ujumla?
- Mbowe asikitishwa na wanaobeza maridhiano ya CCM, CHADEMA
Kwangu mimi, muungwana hakatai wito hukataa analoitiwa!
Aliyesema kuna pesa chafu imemwagwa chadema ni Lissu, unaifahamu hiyo jinai kuliko Lissu anavyoifahamu?Kutoa na kupokea rushwa ni makosa ya jinai na kimaadili pia.
Tusijadili kama ushabiki wa Simba na Yanga.
Muulize mama yako kama mimi ni nyumbu , ananifahamu RetiredNyumbu wa Mbowe uwe na wakati mwema
Mama anahusika nn we nyumbu wa Mbowe uliejaaa mihemkoMuulize mama yako kama mimi ni nyumbu , ananifahamu Retired
Nami kesho nikionewa na polisi ataniita?........Jeshi la polisi linahitaji reform kubwa.Swali ili limetokana na lawama ambazo watu wamekuwa wakizitoa kwa Freeman Mbowe kuwa kwanini alikwenda kwenye maridhiano na kwanini alipotoka jela alikubali kwenda Ikulu kwa Rais Samia. Kila mmoja ametoa mawazo yake na walio wengi bila sababu (reason).
Sasa kwa hili la kuwaweka jela/mahabusu, bila kosa, wakiitwa na Rais Samia kuwa njoo tuongee kuhusu haya masaibu yaliyowapata, Je, aende au asiende?
Soma Pia:
Toa sababu
- Je, maridhiano ya Mbowe na Ikulu ndo yanaitesa CHADEMA na upinzani kwa ujumla?
- Mbowe asikitishwa na wanaobeza maridhiano ya CCM, CHADEMA
Kwangu mimi, muungwana hakatai wito hukataa analoitiwa!
Mbowe anazingua sana na siasa zake za maridhiano!Swali ili limetokana na lawama ambazo watu wamekuwa wakizitoa kwa Freeman Mbowe kuwa kwanini alikwenda kwenye maridhiano na kwanini alipotoka jela alikubali kwenda Ikulu kwa Rais Samia. Kila mmoja ametoa mawazo yake na walio wengi bila sababu (reason).
Sasa kwa hili la kuwaweka jela/mahabusu, bila kosa, wakiitwa na Rais Samia kuwa njoo tuongee kuhusu haya masaibu yaliyowapata, Je, aende au asiende?
Soma Pia:
Toa sababu
- Je, maridhiano ya Mbowe na Ikulu ndo yanaitesa CHADEMA na upinzani kwa ujumla?
- Mbowe asikitishwa na wanaobeza maridhiano ya CCM, CHADEMA
Kwangu mimi, muungwana hakatai wito hukataa analoitiwa!
Aliyetoa mapesa kama mna ushahidi katoa mbona hamumsakami mnamuogopa? Mnamtaja Mbowe tu?Usichanganye watu maksudi. Watu hawajawahi kulalamikia mbowe kuongea na rais, wanacholalamikia ni mbowe kuwahujumu kwa kukubali kuhongwa.
Hayo mapesa yaliyomwagwa chadema na anayeitwa mama Abdul, kama Lissu alivyosema Iringa yalipokelewa na nani?