Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
Tumeinvest hela nyingi sana kwenye SGR, jana nimeona kuna watu wamekamatwa wanaiba nyaya, wahujumu uchumi wa wazi, kwa namna tulivyoingia garama, nilitegemea SAMIA atoe tamko moja tu la uhakika ili watanzania wote wasikie na walinde reli hii.
Lakini kwa sababu ya mazoea Watanzania, ukishagharimia mradi kuulinda huwa hawalindi, rais hapo anaweza kuona ameshamaliza kazi, anategemewa kama kiongozi wa nchi atoe tamko juu ya uhujumu huu. Tunamsubiria.
Lakini kwa sababu ya mazoea Watanzania, ukishagharimia mradi kuulinda huwa hawalindi, rais hapo anaweza kuona ameshamaliza kazi, anategemewa kama kiongozi wa nchi atoe tamko juu ya uhujumu huu. Tunamsubiria.