Pre GE2025 Rais Samia aligoma alipoambiwa atoke ili wajumbe wapige kura na kumpitisha. Hii ina maanisha CCM wengi hawamtaki?

Pre GE2025 Rais Samia aligoma alipoambiwa atoke ili wajumbe wapige kura na kumpitisha. Hii ina maanisha CCM wengi hawamtaki?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
We na we hopeles, hujui kama inategemea na agenda???? Ambigwiliti....

We huoni agenda ni ya kumsema yeye mwenyewe sasa hapo anaongozaje kikao??

Ambrigutini wee!!
Uko sahihi kabisa. Hata CHADEMA wakati wanachagua mwenyekiti ilibidi waweke mwenyekiti wa muda. Ni utaratibu wa kawaida sana. Hapa hata ukimwangalia Samia unajua kabisa kuwa ana wasiwasi. Na ana wasiwasi kwa sababu kina Kikwete walikuwa wamepanga kutumia mwanya muda ambao mwenyekiti wa muda atakapoongoza kikao watose jina lake na kuchagua mtu mwingine. Kumbe hawakujua kuwa Magufuli anadukuwa mazungumzo yao.
 
Rais Samia alipopendekezwa kuwa mgombea wa urais 2025, kuna mjumbe alisimama na kuwambia yeye na mwinyi inabidi watoke nje ili wapigiwe kura, ambako Rais Samia alijibu hawezi kutoka nje, kama ni kumchana basi wamchane hapo hapo, jambo ambalo linakiuka katiba yao.

View attachment 3211139
Mbunge wa Mtera Livingstone Lusinde maarufu, Kibajaji akiwasilisha hoja ya kumtaka Samia na Mwinyi watoke ili wajumbe waamue

Yeye kuwa pale wakati anapigiwa kura ina maana ataona wote wanaomkubali na kumkataa ili baadaye alipize kisasi. Kwa mazingira hayo watu wakapiga unafki tu kukubali wote isipokuwa wachache kama Mpina walishindwa kabisa kujizuia hisia zao!

Pia, Soma: Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025

Kwa hicho kilichotokea ina maana Samia anatumia ushawishi wa watu fulani kufosi kuwa mgombea urais wakati wengi hawamtaki?

Kama mnakumbuka kulikuwa na kusita sita kumpitisha kutoka kwa Jakaya akiwataka wajumbe kufikiria kuhusu sheria na katiba yao inavyosema, lakini ikabrashiwa shwa shwaa kama haijasikika watu wakapishwa!

View attachment 3211140
Video Jakaya akigusia kuhusu kuzingatia sheria na kuuliza wanasheria kama wanachokifanya kipo sawa

Kuna uwezekano akatokea mwamba akachallenge maamuzi hayo kama ilivyokuwa kwa Lowassa 2015?

===

Maoni ya mdau

Humu asilimia 99 ni wale wanaoyatetea matumbo yao. no else

hamna akili humu
 
Rais Samia alipopendekezwa kuwa mgombea wa urais 2025, kuna mjumbe alisimama na kuwambia yeye na mwinyi inabidi watoke nje ili wapigiwe kura, ambako Rais Samia alijibu hawezi kutoka nje, kama ni kumchana basi wamchane hapo hapo, jambo ambalo linakiuka katiba yao.

View attachment 3211139
Mbunge wa Mtera Livingstone Lusinde maarufu, Kibajaji akiwasilisha hoja ya kumtaka Samia na Mwinyi watoke ili wajumbe waamue

Yeye kuwa pale wakati anapigiwa kura ina maana ataona wote wanaomkubali na kumkataa ili baadaye alipize kisasi. Kwa mazingira hayo watu wakapiga unafki tu kukubali wote isipokuwa wachache kama Mpina walishindwa kabisa kujizuia hisia zao!

Pia, Soma: Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025

Kwa hicho kilichotokea ina maana Samia anatumia ushawishi wa watu fulani kufosi kuwa mgombea urais wakati wengi hawamtaki?

Kama mnakumbuka kulikuwa na kusita sita kumpitisha kutoka kwa Jakaya akiwataka wajumbe kufikiria kuhusu sheria na katiba yao inavyosema, lakini ikabrashiwa shwa shwaa kama haijasikika watu wakapishwa!

View attachment 3211140
Video Jakaya akigusia kuhusu kuzingatia sheria na kuuliza wanasheria kama wanachokifanya kipo sawa

Kuna uwezekano akatokea mwamba akachallenge maamuzi hayo kama ilivyokuwa kwa Lowassa 2015?

===

Maoni ya mdau
Mimi ni mwana CCM kiukweli walichofanya kwenye huo mkutano ni kubaka Demokrasia. Kulazimisha jambo hilo ni ishara kuwa Samia hakubaliki ila wanalazimisha tu. Sijajua yatakayojiri lakini huko mbele kuna tabu.
 

Magufuli mgombea urais CCM 2015​

12 Julai, 2015
Dr. John Magufuli mgombea kiti cha rais wa CCM akingia ukumbi wa mkutano wa CCM

Dr. John Magufuli mgombea kiti cha rais wa CCM akingia ukumbi wa mkutano wa CCM
Chama tawala nchini Tanzania - CCM

- kimemteua aliyekuwa Waziri wa Ujenzi nchini humo Dr. John Pombe Magufuli kuwa mgombea urais wa chama hicho katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25, 2020.


Mkutano mkuu wa chama hicho uliokutana mjini Dodoma ulimteua Magufuli kutoka miongoni mwa wagombea watatu kwa kura 2104 au asilimia 87.1 ya kura zote, Balozi Amina Salum Ali alitokea wa pili kwa kura 253 au asilimia 10.5 wakati Waziri wa Katiba katika serikali inayoondoka madarakani Asha Rose-Migiro alipata kura 59 au asilimia 2.4 ya kura zote.


John Magufuli sasa atapambana katika uchaguzi mkuu na wagombea wa upinzani au muungano wa upinzani - UKAWA - ambao wanatazamiwa kutangaza mgombea wao baadaye wiki hii.
Dk. Ayub Riyoba azungumzia matokeo ya mkutano wa CCM
Utaratibu wa kupata mgombea kwa chama cha CCM ulikuwa mrefu baada ya kuanza na wagombea zaidi ya 40 lakini katika siku tatu za mikutano mjini Dodoma chama hicho haraka kilipunguza wagombea hao kuwa watano - Magufuli, Amina Salum Ali, Asha Rose Migiro, Bernard Membe na January Makamba.
Katika ngazi iliyofuata Membe na Makamba waliangushwa na kubakia wagombea watatu walioingizwa katika mkutano mkuu wa wajumbe wa chama na kupigiwa kura
 
TOKA MAKTABA :

15 Julai 2015
Rais Kikwete alipoendesha vikao vya uteuzi wa Mgombea Urais Tanzania Dodoma


View: https://m.youtube.com/watch?v=NlLkVU7V_cg
Rais Kikwete alipoendesha vikao vya uteuzi wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ukumbi wa Dodoma Convention Centre mjini Dodoma Julai 12-13, 2015...


Chama tawala Tanzania mbioni kupata mgombea 2015​

11 Julai, 2015
Rais Kikwete na viongozi wakuu wa CCM

Rais Kikwete na viongozi wakuu wa CCM
Wingu la kisiasa limetanda mjini Dodoma, Tanzania wakati chama tawala nchini humo CCM kikiwa katika utaratibu wa kuteua mgombea atakayewakilisha chama hicho katika uchaguzi mkuu wa rais Octoba 25.
Ripoti za hivi karibuni zinasema Halmashauri Kuu ya chama hicho, NEC, imemaliza kikao chake ambacho kilikuwa kinajadili majina matano ya wagombea waliopitishwa na kikao cha awali cha Kamati Kuu ya chama. Vyanzo vya kuaminika vya habari vinasema NEC imejadili majini ya wagombea hao watano – Bernard Membe, Asha Rose Migiro, John Pombe Magufuli, Amina Salum Ali na January Makmaba – bila kuongeza majina yoyote mengine kama ambayo ilikuwa invumishwa.
Baadaye leo usiku, majira ya saa mbili, NEC itatangaza majina ya mwisho matatu na kuyawasilisha kwa mkutano mkuu wa chama ambayo utaanza kikao chake saa tatu usiku kwa saa za Afrika Mashariki.
Bernard Memba akizungumza na Lowasa wakati wa mkutano wa chama cha CCM

Bernard Memba akizungumza na Lowasa wakati wa mkutano wa chama cha CCM

Hali ya taharuki ilizuka kote nchini na hasa mjini Dodoma baada ya Kamati Kuu kutangaza majina matano kati ya watu 32 waliokuwa wakiwania ugombea huo.
Macho zaidi yalikuwa kwa waziri mkuu wa zamani nchini humo Edward Lowassa ambaye aliokuwa anaonekana kama anaongoza katika mbio hizo kutokana na makundi ya watu waliokuwa wakimkaribisha katika mikutano yake ya kampeni za awali kote nchini.
Baadhi ya wajumbe wa Kamati Kuu ya chama walijitokeza mbele ya waandishi wa habari Ijumaa usiku na kusema kuwa hawauingi mkono maamuzi yaliyofikiwa na Kamati Kuu katika kupitisha majina hayo matano.
Wakati huo huo, mwanasiasa mmoja wa upinzani anasema mvutano ndani ya CCM utaongeza nafasi ya muungano wa upinzani kushinda uchaguzi mkuu. Tundu Lissu wa Chadema aliambia VOA kuwa muungano wa vyama vya upinzani, UKAWA, utatumia mpasuko unaojitokeza katika zoezi la kupata mgombea CCM kupata waungaji kutoka chama hicho tawala.
Mikoba yenye makabarasha kwa ajili ya mkutano mkuu wa CCM

Mikoba yenye makabarasha kwa ajili ya mkutano mkuu wa CCM

Alisema hivyo baada ya Kamati Kuu ya CCM kumwondoa waziri mkuu wa zamani Edward Lowassa kutoka kwenye orodha ya wanasiasa wanaotaka kuwania urais kupitia chama hicho.
Wapinzani wake wamekuwa wakimshutumu kwa kugawanya watu na kuhusishwa na ulaji rushwa. Lowassa anakanusha madai hayo.
Kamati Kuu ya CCM ikiongozwa na Rais Jakaya Kikwete anayeondoka madarakani aliondolewa katika majina matano ya wagombea wa awali iliyotangazwa Jumamosi asubuhi.
Wachambuzi wanasema kuondolewa kwa Lowassa huenda kukasababisha mpasuko katika chama hicho, na kuupa upinzani mwanya wa kushinda uchaguzi wa rais.
VoA Amerika

Hapa JK aliongoza mkutano huo kwa sababu hakuwa mgombea Bali yeye alikuwa anaachia kiti
 
Kile kikao, kikatiba,(ya CCM ya 1977 toleo la Disemba 2022, ibara ya 100, kifungu cha 5 c) hakikuwa cha kumpitisha mgombea urais.

Kile kikao kilikuwa cha kumchagua Makamu Mwenyekiti wa CCM.

Habari ya kupitisha jina la mgombea urais hata haikuwa kwenye ajenda, imelazimishwa tu, tena kwa kuvunja katiba ya CCM.
Lakin wajumbe si ndo hao hao. Wamepunguza gharama.

Ila wajumbe bana hawajui kabisa kuwa na mipanga ya kupiga hela. Wao wangesema wakutane may kupitisha wagombea urais walau wale fedha sasa watakula wa chiya.
 
Rais Samia alipopendekezwa kuwa mgombea wa urais 2025, kuna mjumbe alisimama na kuwambia yeye na mwinyi inabidi watoke nje ili wapigiwe kura, ambako Rais Samia alijibu hawezi kutoka nje, kama ni kumchana basi wamchane hapo hapo, jambo ambalo linakiuka katiba yao.

View attachment 3211139
Mbunge wa Mtera Livingstone Lusinde maarufu, Kibajaji akiwasilisha hoja ya kumtaka Samia na Mwinyi watoke ili wajumbe waamue

Yeye kuwa pale wakati anapigiwa kura ina maana ataona wote wanaomkubali na kumkataa ili baadaye alipize kisasi. Kwa mazingira hayo watu wakapiga unafki tu kukubali wote isipokuwa wachache kama Mpina walishindwa kabisa kujizuia hisia zao!

Pia, Soma: Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025

Kwa hicho kilichotokea ina maana Samia anatumia ushawishi wa watu fulani kufosi kuwa mgombea urais wakati wengi hawamtaki?

Kama mnakumbuka kulikuwa na kusita sita kumpitisha kutoka kwa Jakaya akiwataka wajumbe kufikiria kuhusu sheria na katiba yao inavyosema, lakini ikabrashiwa shwa shwaa kama haijasikika watu wakapishwa!

View attachment 3211140
Video Jakaya akigusia kuhusu kuzingatia sheria na kuuliza wanasheria kama wanachokifanya kipo sawa

Kuna uwezekano akatokea mwamba akachallenge maamuzi hayo kama ilivyokuwa kwa Lowassa 2015?

===

Maoni ya mdau
Hv jitu zima na mapumbu yako unajisikiaje kuandika uharo km huu? Km hujui siasa kafanye mambo mengine. Umeandika upuuzi tena kishamba. Samia alitoka mara 2, wakati wa kupiga kura na wakati wa kutangaza matokeo. Uwe unaona ht haya kuandika upumbavu km huu. Ht angekuwepo angejuaje ambaye hajampigia wakati karatasi ya kura inawekwa kwenye bahasha na kutumbukizwa kwenye sanduku. Katumie ht common sense we bwege.
 
Wanapomjadili yeye Samia alitakiwa atoke. Yeye ndio alikibadilisha kiwe cha kumjadili yeye, kupitisha wagombea wa urais wakati jukumu lake halikuwa hilo.

Angeweza kusema hiyo sio agenda ya mkutano huu.

Haruhusiwa kuendesha kikao wakati wanajadili jina lake. Anateuliwa mwenyekiti wa muda na kuongoza.

Weka ushahidi
We na we hopeles, hujui kama inategemea na agenda???? Ambigwiliti....

We huoni agenda ni ya kumsema yeye mwenyewe sasa hapo anaongozaje kikao??

Ambrigutini wee!!

Ule mkutano hauna nguvu ya kumjadili mwenyekiti,

Ndio maana haruhusiwi kutoka nje, maana yeye ndie ana uongoza mkutano.

mkutano ambao una nguvu ya kumtoa nje samia na kumjadili ni kikao cha sekretarieti ya maadili na kikao cha kamati kuu.

Ule mkutano wa kina kibajaj na wajumbe maelfu. Hauna nguvu ya kumtoa nje na kumjadili Samia.

Ccm wenye nguvu ya kumjadili Rais ni watu wachache sana kama 35 hivi, ambao ndio wanaitwa kamati Kuu
 
Wagombea urais mwezi January 2025, kabla ya kupewa fomu

1737647151897.jpeg
 
Back
Top Bottom