Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Siku ya Jumatatu, Januari 20, 2025 Rais Samia, alithibitisha kuwa mtu mmoja amekutwa na maambukizi ya virusi vya Marburg (MVD) katika Wilaya ya Biharamulo, mkoani Kagera. Leo imetoka taarifa kuwa mtu mmoja kati ya wawili waliobainika na ugonjwa wa Marburg aliyekuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Wilaya ya Biharamulo amefariki dunia.
Soma: WHO: Watu nane wamefariki Kagera kwa ungojwa unahisiwa kuwa ni Marburg
Huyu wa pili ametokea wapi au taarifa zinafichwa fichwa kama ambavyo awali iliripotiwa na Shirika la Afya Duniani (WHO)?
Soma, Pia:
Soma: WHO: Watu nane wamefariki Kagera kwa ungojwa unahisiwa kuwa ni Marburg
Huyu wa pili ametokea wapi au taarifa zinafichwa fichwa kama ambavyo awali iliripotiwa na Shirika la Afya Duniani (WHO)?