Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Haya wazee wa maji ya bendera njooni hapa mtudanganye tena, shida uongo wenu mnadanganyana, mpaka wenyewe kwa wenyewe haya sasa mbona hatuwaoni white house au Zuhura Yunus Kawa Kabudi.
Mama alikuwa hazitaki hizi njemba ndo maana alipoona tetesi za Lukuvi kuchukua form ya uspika ikabidi ateme nyongo eti Lukuvi ana kazi yake Ikulu [emoji23][emoji23][emoji23], mkuu wa Serikali anadanganya je vipi hawa subordinates.
Mara ooh Stiglers Gorge mwezi wa nne, Mara ooh treni ya umeme 2021,
daraja la Busisi yani sarakasi tupu.
Mama alikuwa hazitaki hizi njemba ndo maana alipoona tetesi za Lukuvi kuchukua form ya uspika ikabidi ateme nyongo eti Lukuvi ana kazi yake Ikulu [emoji23][emoji23][emoji23], mkuu wa Serikali anadanganya je vipi hawa subordinates.
Mara ooh Stiglers Gorge mwezi wa nne, Mara ooh treni ya umeme 2021,
daraja la Busisi yani sarakasi tupu.