KERO Rais Samia alivyokuja Geita tulipata maji, tangu kaondoka shida imerudi palepale

KERO Rais Samia alivyokuja Geita tulipata maji, tangu kaondoka shida imerudi palepale

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

KwetuKwanza

Member
Joined
Mar 13, 2023
Posts
82
Reaction score
150
Mimi Mkazi wa Geita kwa muda mrefu sasa mkoa wetu umekuwa na changamoto ya mgao wa maji.

Maji yamekuwa yakitoka mara moja kwa wiki. Hii ni kwa Mtaa wetu na maeneo mengine mengine.

Kila tukiuliza shida ni nini viongozi wetu wamekuwa wakitoa visingizio. Kila mara wamekuwa wakisema kuwa wapo kwenye mchakato wa kutengeneza mfumo na kutanua mtandao wa maji

Ajabu ni kwamba juzi hapa wakati Rais Samia alipotutembela Wanageita katika ziara yake maji yalikuwepo vizuri tu.

Maji yalikuwa yanatoka na tulipata maji karibu sehemu zote, maji yalikuwa yanamwagika, karibu sehumu zote maji yalikuwepo lakini baada ya Rais kuondoka na maji nayo yakaondoka hayakutoka tena.

Kiukweli kabisa tunapata shida. Imefikia hatua tunanunua maji dumu moja 500 au 1,000 mpaka 1500.

Sasa hiki wanachozungumza viongozi ni ukarabati na matengenezo gani yasiyoisha? Ninachojiuliza mimi na wenzangu ni kuwa Mamlaka ya maji na Usafi wa Mazingira Geita (GEUWASA) kwani shida ni nini?

Baadhi yenye changamoto ni Mtakuja Mwatulole, Nyankumbu, wale wanaopata nafuu wao wanapata maji ya bomba mara moja kwa wiki.

Pia, soma: √ - Tatizo la Maji kwa Mji wa Geita kuwa Historia kufikia Oktoba 2025
 
Na ile dhahabu yote ya mabilioni inayotoka hapo halafu hakuna maji? Kweli mtu mweusi ni zaidi ya mwehu hasaidiki
 
Mimi Mkazi wa Geita kwa muda mrefu sasa mkoa wetu umekuwa na changamoto ya mgao wa maji.

Maji yamekuwa yakitoka mara moja kwa wiki. Hii ni kwa Mtaa wetu na maeneo mengine mengine.

Kila tukiuliza shida ni nini viongozi wetu wamekuwa wakitoa visingizio. Kila mara wamekuwa wakisema kuwa wapo kwenye mchakato wa kutengeneza mfumo na kutanua mtandao wa maji

Ajabu ni kwamba juzi hapa wakati Rais Samia alipotutembela Wanageita katika ziara yake maji yalikuwepo vizuri tu.

Maji yalikuwa yanatoka na tulipata maji karibu sehemu zote, maji yalikuwa yanamwagika, karibu sehumu zote maji yalikuwepo lakini baada ya Rais kuondoka na maji nayo yakaondoka hayakutoka tena.

Kiukweli kabisa tunapata shida. Imefikia hatua tunanunua maji dumu moja 500 au 1,000 mpaka 1500.

Sasa hiki wanachozungumza viongozi ni ukarabati na matengenezo gani yasiyoisha? Ninachojiuliza mimi na wenzangu ni kuwa Mamlaka ya maji na Usafi wa Mazingira Geita (GEUWASA) kwani shida ni nini?

Baadhi yenye changamoto ni Mtakuja Mwatulole, Nyankumbu, wale wanaopata nafuu wao wanapata maji ya bomba mara moja kwa wiki.
Nyumbu hastahili zaidi. Mnavuna mnachopanda.
 
Mimi Mkazi wa Geita kwa muda mrefu sasa mkoa wetu umekuwa na changamoto ya mgao wa maji.

Maji yamekuwa yakitoka mara moja kwa wiki. Hii ni kwa Mtaa wetu na maeneo mengine mengine.

Kila tukiuliza shida ni nini viongozi wetu wamekuwa wakitoa visingizio. Kila mara wamekuwa wakisema kuwa wapo kwenye mchakato wa kutengeneza mfumo na kutanua mtandao wa maji

Ajabu ni kwamba juzi hapa wakati Rais Samia alipotutembela Wanageita katika ziara yake maji yalikuwepo vizuri tu.

Maji yalikuwa yanatoka na tulipata maji karibu sehemu zote, maji yalikuwa yanamwagika, karibu sehumu zote maji yalikuwepo lakini baada ya Rais kuondoka na maji nayo yakaondoka hayakutoka tena.

Kiukweli kabisa tunapata shida. Imefikia hatua tunanunua maji dumu moja 500 au 1,000 mpaka 1500.

Sasa hiki wanachozungumza viongozi ni ukarabati na matengenezo gani yasiyoisha? Ninachojiuliza mimi na wenzangu ni kuwa Mamlaka ya maji na Usafi wa Mazingira Geita (GEUWASA) kwani shida ni nini?

Baadhi yenye changamoto ni Mtakuja Mwatulole, Nyankumbu, wale wanaopata nafuu wao wanapata maji ya bomba mara moja kwa wiki.

Mitano tena 👋
 
Mimi Mkazi wa Geita kwa muda mrefu sasa mkoa wetu umekuwa na changamoto ya mgao wa maji.

Maji yamekuwa yakitoka mara moja kwa wiki. Hii ni kwa Mtaa wetu na maeneo mengine mengine.

Kila tukiuliza shida ni nini viongozi wetu wamekuwa wakitoa visingizio. Kila mara wamekuwa wakisema kuwa wapo kwenye mchakato wa kutengeneza mfumo na kutanua mtandao wa maji

Ajabu ni kwamba juzi hapa wakati Rais Samia alipotutembela Wanageita katika ziara yake maji yalikuwepo vizuri tu.

Maji yalikuwa yanatoka na tulipata maji karibu sehemu zote, maji yalikuwa yanamwagika, karibu sehumu zote maji yalikuwepo lakini baada ya Rais kuondoka na maji nayo yakaondoka hayakutoka tena.

Kiukweli kabisa tunapata shida. Imefikia hatua tunanunua maji dumu moja 500 au 1,000 mpaka 1500.

Sasa hiki wanachozungumza viongozi ni ukarabati na matengenezo gani yasiyoisha? Ninachojiuliza mimi na wenzangu ni kuwa Mamlaka ya maji na Usafi wa Mazingira Geita (GEUWASA) kwani shida ni nini?

Baadhi yenye changamoto ni Mtakuja Mwatulole, Nyankumbu, wale wanaopata nafuu wao wanapata maji ya bomba mara moja kwa wiki.
Serikali ya kihuni ikiongozwa na wahuni haiwezi kusimamia mambo hata siku moja.Habari ya maji kutoka viongozi wakubwa wanapopita na maji kukatika wanapoondoka ni kawaida kabisa kwa nchi hii wala sio Geita tu ni karibia nchi yote ni hivyo.
 
Mimi Mkazi wa Geita kwa muda mrefu sasa mkoa wetu umekuwa na changamoto ya mgao wa maji.

Maji yamekuwa yakitoka mara moja kwa wiki. Hii ni kwa Mtaa wetu na maeneo mengine mengine.

Kila tukiuliza shida ni nini viongozi wetu wamekuwa wakitoa visingizio. Kila mara wamekuwa wakisema kuwa wapo kwenye mchakato wa kutengeneza mfumo na kutanua mtandao wa maji

Ajabu ni kwamba juzi hapa wakati Rais Samia alipotutembela Wanageita katika ziara yake maji yalikuwepo vizuri tu.

Maji yalikuwa yanatoka na tulipata maji karibu sehemu zote, maji yalikuwa yanamwagika, karibu sehumu zote maji yalikuwepo lakini baada ya Rais kuondoka na maji nayo yakaondoka hayakutoka tena.

Kiukweli kabisa tunapata shida. Imefikia hatua tunanunua maji dumu moja 500 au 1,000 mpaka 1500.

Sasa hiki wanachozungumza viongozi ni ukarabati na matengenezo gani yasiyoisha? Ninachojiuliza mimi na wenzangu ni kuwa Mamlaka ya maji na Usafi wa Mazingira Geita (GEUWASA) kwani shida ni nini?

Baadhi yenye changamoto ni Mtakuja Mwatulole, Nyankumbu, wale wanaopata nafuu wao wanapata maji ya bomba mara moja kwa wiki.
Lahisi ni maji na maji ni lahisi.
 
Mimi Mkazi wa Geita kwa muda mrefu sasa mkoa wetu umekuwa na changamoto ya mgao wa maji.

Maji yamekuwa yakitoka mara moja kwa wiki. Hii ni kwa Mtaa wetu na maeneo mengine mengine.

Kila tukiuliza shida ni nini viongozi wetu wamekuwa wakitoa visingizio. Kila mara wamekuwa wakisema kuwa wapo kwenye mchakato wa kutengeneza mfumo na kutanua mtandao wa maji

Ajabu ni kwamba juzi hapa wakati Rais Samia alipotutembela Wanageita katika ziara yake maji yalikuwepo vizuri tu.

Maji yalikuwa yanatoka na tulipata maji karibu sehemu zote, maji yalikuwa yanamwagika, karibu sehumu zote maji yalikuwepo lakini baada ya Rais kuondoka na maji nayo yakaondoka hayakutoka tena.

Kiukweli kabisa tunapata shida. Imefikia hatua tunanunua maji dumu moja 500 au 1,000 mpaka 1500.

Sasa hiki wanachozungumza viongozi ni ukarabati na matengenezo gani yasiyoisha? Ninachojiuliza mimi na wenzangu ni kuwa Mamlaka ya maji na Usafi wa Mazingira Geita (GEUWASA) kwani shida ni nini?

Baadhi yenye changamoto ni Mtakuja Mwatulole, Nyankumbu, wale wanaopata nafuu wao wanapata maji ya bomba mara moja kwa wiki.

Pia, soma: √ - Tatizo la Maji kwa Mji wa Geita kuwa Historia kufikia Oktoba 2025
Tatizo la Maji kwa mji wa Geita kuondoshwa ifikapo mwezi Oktoba 2025.

Hali ya upatikanaji wa huduma ya maji kwa kwa mji wa Geita hivi sasa ni asilimia 75 (coverage) kwa wakazi wasiopungua 360,000. Mji wa Geita ni moja ya miji inayokuwa kwa kasi hasa kwa shughuli za kiuchumi na wananchi wengi wanajenga makazi maeneo ya milimani ukilinganisha na usawa wa miundombinu ya huduma ya maji ya inayohudumia na hivyo kusababisha baadhi ya wateja kupata maji kwa mgao.

Serikali inaendelea kutekeleza Mradi wa utanuzi wa Chujio la majiSafi eneo la Nyankaga kwa gharama ya kiasi cha Shilingi Bilioni 1.17 na utekelezaji wake umefika asilimia 95. Kukamilika kwa Mradi huo ni mwezi huu, Novemba 2024 na kutaongeza lita milioni 11 za maji kwa siku kutoka lita 8 kwa siku za hivi sasa.


Aidha Serikali, inaendelea kutekeleza Mradi mkubwa wa Maji ya Ziwa Viktoria kutoka Senga na kufikisha mjini Geita kwa gharama ya kiasi cha shilingi Bilioni 124. Mradi huu wa Maji unatekelezwa na kampuni ya AFCONS .

Mradi huu mkubwa utakuwa na uwezo wa kuzalisha lita Milioni 45 kwa siku na utanufaisha Kata zote 13 za Mji wa Geita na Vijiji 19 vya Halmashauri ya Wilaya Geita kwa asilimia 100. Kazi inafanyika kwa weledi na uhakika ambapo wananchi na wakazi wote wataanza kunufaika na kufurahia huduma ya mradi huo mwezi Oktoba, 2025.
 

Attachments

  • 1.jpeg
    1.jpeg
    369 KB · Views: 5
  • 2.jpeg
    2.jpeg
    274.7 KB · Views: 6
  • 3.jpeg
    3.jpeg
    214.3 KB · Views: 6
  • 4.jpeg
    4.jpeg
    104.2 KB · Views: 4
Katika sekta ambazo zina uhuni mkubwa sana ni hii ya maji, mimi nipo Dar, mbezi luis, mageti huu mwezi wa pili hakuna hata tone la maji lina
 
Back
Top Bottom