Rais Samia amefungua uchumi wa nchi

Rais Samia amefungua uchumi wa nchi

Joined
Nov 6, 2016
Posts
77
Reaction score
271
NAHESHIMU KAZI YANGU, NDIO INAYONIWEKA MJINI

Na Comrade Ally Maftah

Nimpongeze Dr Samia Suluhu Hasan, kwani upendo wake unatupa amani kubwa sisi wajasiliamali kuendelea na shughuli zetu, Dr Samia ametufungulia nchi, ametuondoa wasi wasi, ametupa uhuru wa kuwasiliana, mitandao na biashara, kazi yetu ni kutovunja sheria tu, na hili tunalifanya kumfurahisha.

Juzi siku ya sabasaba nilibahatika kuona upendo wake kwetu, ni bahati ya kumsalimia na akaitika kwa bashasha.

Niwashukuru sana viongozi wa Chama cha Mapinduzi kwa kuendelea kutenda haki na kusikiliza wananchi, sehemu ya viongozi wa Chama cha Mapinduzi tunapata muda wa kuzungumza kwa kubadilishana mawazo, CCM in hazina kubwa ya viongozi wenye upendo na maono.

Kipekee nimshukuru sana Mariam Lulida kwa kunishika mkono kila mara.

WITO WANGU
1. Uongozi wenye tija ni wa kuinuana kiuchumi, kifikra na kutatua changamoto
2. Tuwekeze kwenye mambo yahusuyo uzalishaji mali na chakula kwa kutumia mbinu za kisasa
3. Vijana tujikite kwenye utendaji badala ya malalamiko na manunguniko

Tuchape kazi, tujenge nchi, tumuunge mkono Rais Samia.

Ndimi Comrade Ally Maftah
JITU LA MIRABA

IMG-20240710-WA0107.jpg
 
Nyie wenye majina ya maftah si wa kuwaamini sana.
 
Naanza kuamini, mapinduzi na maendeleo huletwa na Wachache

Katika watu mil 60 tuko asilimia 25 tu wenye akili nzuri na uzalendo wa kweli
Asilimia 75 ni wapumbavu , machawa na wanafiki,

Siku 25% ikipata access ya kutawala ndo maendeleo yatakuja
 
NAHESHIMU KAZI YANGU, NDIO INAYONIWEKA MJINI

Na Comrade Ally Maftah

Nimpongeze Dr Samia Suluhu Hasan, kwani upendo wake unatupa amani kubwa sisi wajasiliamali kuendelea na shughuli zetu, Dr Samia ametufungulia nchi, ametuondoa wasi wasi, ametupa uhuru wa kuwasiliana, mitandao na biashara, kazi yetu ni kutovunja sheria tu, na hili tunalifanya kumfurahisha.

Juzi siku ya sabasaba nilibahatika kuona upendo wake kwetu, ni bahati ya kumsalimia na akaitika kwa bashasha.

Niwashukuru sana viongozi wa Chama cha Mapinduzi kwa kuendelea kutenda haki na kusikiliza wananchi, sehemu ya viongozi wa Chama cha Mapinduzi tunapata muda wa kuzungumza kwa kubadilishana mawazo, CCM in hazina kubwa ya viongozi wenye upendo na maono.

Kipekee nimshukuru sana Mariam Lulida kwa kunishika mkono kila mara.

WITO WANGU
1. Uongozi wenye tija ni wa kuinuana kiuchumi, kifikra na kutatua changamoto
2. Tuwekeze kwenye mambo yahusuyo uzalishaji mali na chakula kwa kutumia mbinu za kisasa
3. Vijana tujikite kwenye utendaji badala ya malalamiko na manunguniko

Tuchape kazi, tujenge nchi, tumuunge mkono Rais Samia.

Ndimi Comrade Ally Maftah
JITU LA MIRABA

Vijana gani wake Chawa? Unaongea nini wewe?
 
NAHESHIMU KAZI YANGU, NDIO INAYONIWEKA MJINI

Na Comrade Ally Maftah

Nimpongeze Dr Samia Suluhu Hasan, kwani upendo wake unatupa amani kubwa sisi wajasiliamali kuendelea na shughuli zetu, Dr Samia ametufungulia nchi, ametuondoa wasi wasi, ametupa uhuru wa kuwasiliana, mitandao na biashara, kazi yetu ni kutovunja sheria tu, na hili tunalifanya kumfurahisha.

Juzi siku ya sabasaba nilibahatika kuona upendo wake kwetu, ni bahati ya kumsalimia na akaitika kwa bashasha.

Niwashukuru sana viongozi wa Chama cha Mapinduzi kwa kuendelea kutenda haki na kusikiliza wananchi, sehemu ya viongozi wa Chama cha Mapinduzi tunapata muda wa kuzungumza kwa kubadilishana mawazo, CCM in hazina kubwa ya viongozi wenye upendo na maono.

Kipekee nimshukuru sana Mariam Lulida kwa kunishika mkono kila mara.

WITO WANGU
1. Uongozi wenye tija ni wa kuinuana kiuchumi, kifikra na kutatua changamoto
2. Tuwekeze kwenye mambo yahusuyo uzalishaji mali na chakula kwa kutumia mbinu za kisasa
3. Vijana tujikite kwenye utendaji badala ya malalamiko na manunguniko

Tuchape kazi, tujenge nchi, tumuunge mkono Rais Samia.

Ndimi Comrade Ally Maftah
JITU LA MIRABA

Nilipoona hii "CCM in hazina kubwa ya viongozi wenye upendo na maono" nikajua kumbe mwandishi ni 🚮🚮 takataka ya kijani! Mpambeni Mama yenu coz mnapata hela ya chama.
 
Alafu kaufungia wapi mbona kitaa hauonekani ?... Au Ukifunguka ni yeye kafanya Ukigoma ni wengine ?
 
NAHESHIMU KAZI YANGU, NDIO INAYONIWEKA MJINI

Na Comrade Ally Maftah

Nimpongeze Dr Samia Suluhu Hasan, kwani upendo wake unatupa amani kubwa sisi wajasiliamali kuendelea na shughuli zetu, Dr Samia ametufungulia nchi, ametuondoa wasi wasi, ametupa uhuru wa kuwasiliana, mitandao na biashara, kazi yetu ni kutovunja sheria tu, na hili tunalifanya kumfurahisha.

Juzi siku ya sabasaba nilibahatika kuona upendo wake kwetu, ni bahati ya kumsalimia na akaitika kwa bashasha.

Niwashukuru sana viongozi wa Chama cha Mapinduzi kwa kuendelea kutenda haki na kusikiliza wananchi, sehemu ya viongozi wa Chama cha Mapinduzi tunapata muda wa kuzungumza kwa kubadilishana mawazo, CCM in hazina kubwa ya viongozi wenye upendo na maono.

Kipekee nimshukuru sana Mariam Lulida kwa kunishika mkono kila mara.

WITO WANGU
1. Uongozi wenye tija ni wa kuinuana kiuchumi, kifikra na kutatua changamoto
2. Tuwekeze kwenye mambo yahusuyo uzalishaji mali na chakula kwa kutumia mbinu za kisasa
3. Vijana tujikite kwenye utendaji badala ya malalamiko na manunguniko

Tuchape kazi, tujenge nchi, tumuunge mkono Rais Samia.

Ndimi Comrade Ally Maftah
JITU LA MIRABA

Sa100 kaifunua uchi nchi siyo uchumi ...nchi ipo uchi wa mnyama tunaonekana wapumbavu
 
Back
Top Bottom