Rais Samia amegusa mioyo ya Wamarekani - Balozi wa Marekani, Tanzania

Rais Samia amegusa mioyo ya Wamarekani - Balozi wa Marekani, Tanzania

benzemah

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
1,533
Reaction score
3,187
Marekani imeahidi kuendelea kuiunga mkono Tanzania katika kuimarisha uchumi na maendeleo ya wananchi kwa kutoa fedha na ujuzi pamoja na kuvutia uwekezaji kupitia ubia kati ya sekta ya umma na binafsi.

Ahadi hiyo imetolewa na Balozi mpya wa Marekani nchini Tanzania, Michael Battle alipokutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba, katika Ofisi Ndogo za wizara hiyo, Dares Salaam, alipofika kujitambulisha.

Battle amepongeza hatua mbalimbali zinazochukuliwa na serikali katika kusimamia na kukuza uchumi wa nchi na kuamua kuwekeza kiasi kikubwa cha fedha katika bajeti yake kwenye sekta za uzalishaji zinazogusa Maisha ya watu kikiwamo kilimo.

"Tunaahidi kuwa Marekani itaendelea kuiunga mkono serikali ya kiongozi shupavu ambaye si tu kwamba anapigania sana maisha ya Watanzania, lakini pia amekuwa mwanadiplomasia anayepigania maendeleo na utangamano wa Afrika,"alisema Balozi Battle.

Balozi Battle alisema Rais Samia Suluhu Hassan amegusa mioyo ya Wamarekani na viongozi wake ndiyo sababu za Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris kupanga ziara ya kuitembelea Tanzania, ambako viongozi hao wawili watafungua fursa zaidi za ushirikiano​
 
Marekani haijawahi kuacha kutoa misaada Tanzania haijalishi Rais aliepo.

Hii ni kutokana na sababu kwamba hakuna rais aliewahi kugusa ama kuhatarisha maisha ya wamarekani hapa Tanzania.
 
Marekani imeahidi kuendelea kuiunga mkono Tanzania katika kuimarisha uchumi na maendeleo ya wananchi kwa kutoa fedha na ujuzi pamoja na kuvutia uwekezaji kupitia ubia kati ya sekta ya umma na binafsi.

Ahadi hiyo imetolewa na Balozi mpya wa Marekani nchini Tanzania, Michael Battle alipokutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba, katika Ofisi Ndogo za wizara hiyo, Dares Salaam, alipofika kujitambulisha.

Battle amepongeza hatua mbalimbali zinazochukuliwa na serikali katika kusimamia na kukuza uchumi wa nchi na kuamua kuwekeza kiasi kikubwa cha fedha katika bajeti yake kwenye sekta za uzalishaji zinazogusa Maisha ya watu kikiwamo kilimo.

"Tunaahidi kuwa Marekani itaendelea kuiunga mkono serikali ya kiongozi shupavu ambaye si tu kwamba anapigania sana maisha ya Watanzania, lakini pia amekuwa mwanadiplomasia anayepigania maendeleo na utangamano wa Afrika,"alisema Balozi Battle.

Balozi Battle alisema Rais Samia Suluhu Hassan amegusa mioyo ya Wamarekani na viongozi wake ndiyo sababu za Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris kupanga ziara ya kuitembelea Tanzania, ambako viongozi hao wawili watafungua fursa zaidi za ushirikiano​
Jana Sisi Club Msasani kulikuwa na party 🎉 ya mashoga, kuna punga fulani linajiita Uncle Fah lilikuwa na birthday, Msasani nzima ikichafuka wingi wa Mashoga. Hako Sisi club ni Bar ya CCM Chama Cha Mashoga
 
Marekani imeahidi kuendelea kuiunga mkono Tanzania katika kuimarisha uchumi na maendeleo ya wananchi kwa kutoa fedha na ujuzi pamoja na kuvutia uwekezaji kupitia ubia kati ya sekta ya umma na binafsi.

Ahadi hiyo imetolewa na Balozi mpya wa Marekani nchini Tanzania, Michael Battle alipokutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba, katika Ofisi Ndogo za wizara hiyo, Dares Salaam, alipofika kujitambulisha.

Battle amepongeza hatua mbalimbali zinazochukuliwa na serikali katika kusimamia na kukuza uchumi wa nchi na kuamua kuwekeza kiasi kikubwa cha fedha katika bajeti yake kwenye sekta za uzalishaji zinazogusa Maisha ya watu kikiwamo kilimo.

"Tunaahidi kuwa Marekani itaendelea kuiunga mkono serikali ya kiongozi shupavu ambaye si tu kwamba anapigania sana maisha ya Watanzania, lakini pia amekuwa mwanadiplomasia anayepigania maendeleo na utangamano wa Afrika,"alisema Balozi Battle.

Balozi Battle alisema Rais Samia Suluhu Hassan amegusa mioyo ya Wamarekani na viongozi wake ndiyo sababu za Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris kupanga ziara ya kuitembelea Tanzania, ambako viongozi hao wawili watafungua fursa zaidi za ushirikiano​
Ukiona nchi fedhuli kama Marekani inakusifia ujue umekosea taifa lako mahala pakubwa sana,nabidi ujutie nafsi yako
 
Back
Top Bottom