Rais Samia Ameibeba Ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia Kimataifa

Rais Samia Ameibeba Ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia Kimataifa

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

RAIS SAMIA AMEIBEBA AJENDA YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KIMATAIFA

WhatsApp Image 2024-08-23 at 19.41.06.jpeg
Watu Takribani Bilioni 2.4 Duniani Hawatumii Nishati Safi ya Kupikia, Duniani kwasasa kuna Watu Zaidi ya Bilioni Saba (7)

Taasisi ya Mwanamke Initiative Foundation (MIF) katika Msimu wa Kizimkazi Festival tarehe 23 Agosti, 2024 iliandaa Mdahalo wa Nishati Safi ya Kupikia ambapo mgeni rasmi alikuwa ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Dotto Mashaka Biteko

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye ni kinara wa ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia nchini na Afrika bado anaendelea kuipeleka ajenda hiyo Kimataifa ili kuhakikisha watu wanapika katika mazingira salama kiafya na kimazingira.

"Matarajio yetu ifikapo mwaka 2034 asilimia 80 ya Watanzania wawe wanatumia nishati safi ya kupikia. Nimefarijika sana kuona utekelezaji wa lengo hili kwa vitendo, nimeona teknolojia mbalimbali katika mabanda ya maonesho hapo nje na niendelee kuhamasisha ubunifu wa teknolojia zinazowezesha wananchi kupata nishati safi kwa gharama nafuu" Dkt. Biteko

Aidha, Mhe. Wanu Hafidh Ameir akizungumza katika Kongamano la Nishati Safi ya kupikia Zanzibar amebainisha kuwa lengo ni kuhamasisha ubunifu katika teknolojia za Nishati Safi ya Kupikia.

WhatsApp Image 2024-08-23 at 19.40.22.jpeg

Mhe. Wanu Hafidh Ameir ambaye ni Mbunge na Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwanamke Initiatives Foundation (MIF) amewashukuru Benki ya Uwekezaji ya Tanzania (TIB) kwa kushirikiana na Wizara na Taasisi zote za Serikali kuwezesha Kongamano la Nishati Safi ya Kupikia lililofanyika katika Hoteli ya Kwanza, Kizimkazi Zanzibar.

Vilevile, Mhe. Wanu Hafidh Ameir amepongeza ubunifu kutoka ORXY ambao umekuja na ubunifu kwenye mitungi ya gesi (LPG) kwa kuweka mita inayopima gesi ambayo inarahisisha gharama za kujaza gesi na kuwa nafuu zaidi
WhatsApp Image 2024-08-23 at 19.41.56.jpeg
WhatsApp Image 2024-08-23 at 19.41.57(1).jpeg
WhatsApp Image 2024-08-23 at 19.41.58(1).jpeg

#KizimkaziFestival2024
#KizimkaziImeitika
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2024-08-23 at 19.40.24.jpeg
    WhatsApp Image 2024-08-23 at 19.40.24.jpeg
    395.8 KB · Views: 8
  • WhatsApp Image 2024-08-23 at 19.40.22(1).jpeg
    WhatsApp Image 2024-08-23 at 19.40.22(1).jpeg
    328.3 KB · Views: 8
Huku kwetu mtungi mdogo wa gesi Ni 23,000 mkubwa 57,000.
Kuni Ni bure.
 
hivi wewe na akili yako hiyo, hawa wananchi mnaowaita wanyonge, ni wangapi wanamudu kununua gesi ya kupikia maharage ambayo ndo chakula kikuuu
na sisi wapare tupike makande
wa huko Dar wenyewe ,daraja la wafanya kazi unakuta mtu ana gas lakini kuna jiko la mkaa kwa mavitu magumu. Why
sababu ni moja, gharama ya gasi ni kubwa
anyway endeleeni kujitekenya na kucheka wenyewe kuwafurahisha wazungu
 

RAIS SAMIA AMEIBEBA AJENDA YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KIMATAIFA

Watu Takribani Bilioni 2.4 Duniani Hawatumii Nishati Safi ya Kupikia, Duniani kwasasa kuna Watu Zaidi ya Bilioni Saba (7)

Taasisi ya Mwanamke Initiative Foundation (MIF) katika Msimu wa Kizimkazi Festival tarehe 23 Agosti, 2024 iliandaa Mdahalo wa Nishati Safi ya Kupikia ambapo mgeni rasmi alikuwa ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Dotto Mashaka Biteko

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye ni kinara wa ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia nchini na Afrika bado anaendelea kuipeleka ajenda hiyo Kimataifa ili kuhakikisha watu wanapika katika mazingira salama kiafya na kimazingira.

"Matarajio yetu ifikapo mwaka 2034 asilimia 80 ya Watanzania wawe wanatumia nishati safi ya kupikia. Nimefarijika sana kuona utekelezaji wa lengo hili kwa vitendo, nimeona teknolojia mbalimbali katika mabanda ya maonesho hapo nje na niendelee kuhamasisha ubunifu wa teknolojia zinazowezesha wananchi kupata nishati safi kwa gharama nafuu" Dkt. Biteko

Aidha, Mhe. Wanu Hafidh Ameir akizungumza katika Kongamano la Nishati Safi ya kupikia Zanzibar amebainisha kuwa lengo ni kuhamasisha ubunifu katika teknolojia za Nishati Safi ya Kupikia

Mhe. Wanu Hafidh Ameir ambaye ni Mbunge na Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwanamke Initiatives Foundation (MIF) amewashukuru Benki ya Uwekezaji ya Tanzania (TIB) kwa kushirikiana na Wizara na Taasisi zote za Serikali kuwezesha Kongamano la Nishati Safi ya Kupikia lililofanyika katika Hoteli ya Kwanza, Kizimkazi Zanzibar.

Vilevile, Mhe. Wanu Hafidh Ameir amepongeza ubunifu kutoka ORXY ambao umekuja na ubunifu kwenye mitungi ya gesi (LPG) kwa kuweka mita inayopima gesi ambayo inarahisisha gharama za kujaza gesi na kuwa nafuu zaidi

#KizimkaziFestival2024
#KizimkaziImeitika

Mkuu kubeba agenda ya nishati kuwahusu Mongolia huko, inatuhusu nini?
 

RAIS SAMIA AMEIBEBA AJENDA YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KIMATAIFA

View attachment 3077898
Watu Takribani Bilioni 2.4 Duniani Hawatumii Nishati Safi ya Kupikia, Duniani kwasasa kuna Watu Zaidi ya Bilioni Saba (7)

Taasisi ya Mwanamke Initiative Foundation (MIF) katika Msimu wa Kizimkazi Festival tarehe 23 Agosti, 2024 iliandaa Mdahalo wa Nishati Safi ya Kupikia ambapo mgeni rasmi alikuwa ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Dotto Mashaka Biteko

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye ni kinara wa ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia nchini na Afrika bado anaendelea kuipeleka ajenda hiyo Kimataifa ili kuhakikisha watu wanapika katika mazingira salama kiafya na kimazingira.

"Matarajio yetu ifikapo mwaka 2034 asilimia 80 ya Watanzania wawe wanatumia nishati safi ya kupikia. Nimefarijika sana kuona utekelezaji wa lengo hili kwa vitendo, nimeona teknolojia mbalimbali katika mabanda ya maonesho hapo nje na niendelee kuhamasisha ubunifu wa teknolojia zinazowezesha wananchi kupata nishati safi kwa gharama nafuu" Dkt. Biteko

Aidha, Mhe. Wanu Hafidh Ameir akizungumza katika Kongamano la Nishati Safi ya kupikia Zanzibar amebainisha kuwa lengo ni kuhamasisha ubunifu katika teknolojia za Nishati Safi ya Kupikia.


Mhe. Wanu Hafidh Ameir ambaye ni Mbunge na Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwanamke Initiatives Foundation (MIF) amewashukuru Benki ya Uwekezaji ya Tanzania (TIB) kwa kushirikiana na Wizara na Taasisi zote za Serikali kuwezesha Kongamano la Nishati Safi ya Kupikia lililofanyika katika Hoteli ya Kwanza, Kizimkazi Zanzibar.

Vilevile, Mhe. Wanu Hafidh Ameir amepongeza ubunifu kutoka ORXY ambao umekuja na ubunifu kwenye mitungi ya gesi (LPG) kwa kuweka mita inayopima gesi ambayo inarahisisha gharama za kujaza gesi na kuwa nafuu zaidi

#KizimkaziFestival2024
#KizimkaziImeitika
TANZANIA INAZIDI KUENDELEA KWA KASI, SASA UNAWEZA KUAGIZA GESI YA KUPIKIA HAPOHAPO ULIPO BILA KUANDOKA MTAANI KWAKO:

Gesi zote zipo: Oryx Gas, Taifa Gas, Manjis Gas, O-Gas, Total Gas, Mihan Gas, na Puma Gas: zote zinapatikana hapa:
 

RAIS SAMIA AMEIBEBA AJENDA YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KIMATAIFA

View attachment 3077898
Watu Takribani Bilioni 2.4 Duniani Hawatumii Nishati Safi ya Kupikia, Duniani kwasasa kuna Watu Zaidi ya Bilioni Saba (7)

Taasisi ya Mwanamke Initiative Foundation (MIF) katika Msimu wa Kizimkazi Festival tarehe 23 Agosti, 2024 iliandaa Mdahalo wa Nishati Safi ya Kupikia ambapo mgeni rasmi alikuwa ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Dotto Mashaka Biteko

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye ni kinara wa ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia nchini na Afrika bado anaendelea kuipeleka ajenda hiyo Kimataifa ili kuhakikisha watu wanapika katika mazingira salama kiafya na kimazingira.

"Matarajio yetu ifikapo mwaka 2034 asilimia 80 ya Watanzania wawe wanatumia nishati safi ya kupikia. Nimefarijika sana kuona utekelezaji wa lengo hili kwa vitendo, nimeona teknolojia mbalimbali katika mabanda ya maonesho hapo nje na niendelee kuhamasisha ubunifu wa teknolojia zinazowezesha wananchi kupata nishati safi kwa gharama nafuu" Dkt. Biteko

Aidha, Mhe. Wanu Hafidh Ameir akizungumza katika Kongamano la Nishati Safi ya kupikia Zanzibar amebainisha kuwa lengo ni kuhamasisha ubunifu katika teknolojia za Nishati Safi ya Kupikia.


Mhe. Wanu Hafidh Ameir ambaye ni Mbunge na Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwanamke Initiatives Foundation (MIF) amewashukuru Benki ya Uwekezaji ya Tanzania (TIB) kwa kushirikiana na Wizara na Taasisi zote za Serikali kuwezesha Kongamano la Nishati Safi ya Kupikia lililofanyika katika Hoteli ya Kwanza, Kizimkazi Zanzibar.

Vilevile, Mhe. Wanu Hafidh Ameir amepongeza ubunifu kutoka ORXY ambao umekuja na ubunifu kwenye mitungi ya gesi (LPG) kwa kuweka mita inayopima gesi ambayo inarahisisha gharama za kujaza gesi na kuwa nafuu zaidi

#KizimkaziFestival2024
#KizimkaziImeitika
Anafanya Kwa vitendo 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DGJIJ0ouSxw/?igsh=YXB3YTRrYWRra3Jx
 
Back
Top Bottom