Pre GE2025 Rais Samia ameichukua jumla jumla slogani ya Ahmed Ally ya "UBAYA UBWELA"?

Pre GE2025 Rais Samia ameichukua jumla jumla slogani ya Ahmed Ally ya "UBAYA UBWELA"?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Naona mama anapiga katafunua kali kali sana, yaani hii ndio "ubaya ubwela" kwa rangi zake, nadhani amepiga miksa na kurujuani ya Mzee Magoma, yaani hata aliyewaza kama Maharage, aliyeshiriki, anakula za uso. Hakopeshi, unapiga tukio, anakupiga tukio, ukiweka ugoko, anaweka jiwe, n'gadu kwa n'gadu.

Wanasiasa wajihadhari, watumishi wajihadhari. Usimchezee chatu, gongo usimtupie, utaukosa ushindi.

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

- News Alert: - Utenguzi wa Baadhi ya Viongozi wa TTCL, Posta na UCSAF
 
Ina maana hakuna taasisi ya kiserikali kutaja jina Nape, ole kwa anakaetaja anavunwa chap kama kifaranga kwa mwewe.
 
Mama kapaniki sana, hii ni dalili ya mfa maji. Mama akitoboa 2025 nitakunya Uwanja wa Mkapa (a.k.a Lupaso).
 
Naona mama anapiga katafunua kali kali sana, yaani hii ndio "ubaya ubwela" kwa rangi zake, nadhani amepiga miksa na kurujuani ya Mzee Magoma, yaani hata aliyewaza kama Maharage, aliyeshiriki, anakula za uso. Hakopeshi, unapiga tukio, anakupiga tukio, ukiweka ugoko, anaweka jiwe, n'gadu kwa n'gadu.

Wanasiasa wajihadhari, watumishi wajihadhari. Usimchezee chatu, gongo usimtupie, utaukosa ushindi
Slogan ya mbwiga mbwiguke
 
Mama kapaniki sana, hii ni dalili ya mfa maji. Mama akitoboa 2025 nitakunya Uwanja wa Mkapa (a.k.a Lupaso).
Bado una maumivu ya wale unaowapenda kutenguliwa. Kupunguza maumivu inabidi ukubaliane tu na hali ilivyo

Mama anajua anachofanya
 
Back
Top Bottom