Rais Samia ameletwa na Mungu. Harufu ya keki ya taifa tumeanza kuihisi katika pua zetu

Rais Samia ameletwa na Mungu. Harufu ya keki ya taifa tumeanza kuihisi katika pua zetu

Joined
Apr 13, 2019
Posts
57
Reaction score
55
Amani iwe juu yenu Watanzania wenzangu!

Nimeitafakari vya kutosha nchi yangu mpaka hapa ilipo. Hakuna awezae kuzuia kifo isipokua ni Mungu pekee, raisi wangu mama yetu ameingia madarakani kikatiba baada ya kufariki kwa aliyekuwa raisi wetu John. P. Magufuli, jambo hili linatosha kuthibitisha kwamba Mungu ameridhia nchi iongozwe na mama yetu. Na kila alifanyalo mama lina baraka za Mungu.

Faida za mama kushika hatamu;

1. Nchi imefunguka
Shughuli za kiuchumi baina ya nchi yetu na external world sasa ziko integrated, ni juu yetu sasa wananchi kuchakarika.

2. Hali ya kisiasa ni yenye kutia moyo
Mama amethibitisha kwa vitendo kuwa nchi hii ni yetu sote, siasa isiharibu udugu wetu. Raisi wa nchi anaweza kualikwa ktk mabaraza ya vyama vingine vya siasa na akahudhuria.

3. Raisi Samia ana maarifa mapana juu ya Dunia
Haitaji mkalimani kutafsiri nini kimesemwa na mataifa mengine kwani yeye binafsi ni fluent wa lugha za kigeni kama English, Arabic na Kiswahili. Hakuna ziara atakayo alikwa akaogopa kwenda kwa sababu za kimawasiliano.

4. Mtekelezaji wa miradi ya kimkakati
Miundo mbinu ya barabara na reli inaendelea kutekelezwa, wananchi tutasafiri salama katika kuusaka mkate wetu wa kila siku.

5. Huduma za kijamii kama elimu na afya
Shule zimeendelea kujengwa na madarasa kuongezwa, huku vituo vya afya na hospitali zimeendelea kujengwa nchi nzima naamini life expectancy ya mtanzania itaongezeka

6. Kiwango cha furaha miongoni mwa watanzania kimeongezeka
Tumeshuhudia hata wale waliokimbia nchi yetu kwa sababu hii au ile sasa hawana mashaka na baadhi yao wamerudi na wana nyuso za bashasha. Hii yote ni kwa sababu ya uongozi bora wa Mama yetu Samia.

Ndugu zangu watanzania tumtumie mama katika positive way ili kujiletea maendeleo.

Poleni sana kwa wale wataokwazika kwa hii thick thread ya 2023.

Please Jamii forum moderators, don't ban me for this fruitful thread.
 
Write your reply...Kiwango cha rushwa na ufisadi kimeongezeka kwa kwa kasi sna.huduma za uma kma hosp zimekuwa duni.hosp za uma bila rushwa hakuna huduma,saa zakazi hawapo.kwa ujumla tz inataka kurudi enzi ya mwinyi.uwajibikaji ni zero nch ilikuwa km haina rais kwakipindi kile cha mwnyi.dalili ile inarudi kwa kasi sana.
 
Corruption na matumizi mabaya ya ofisi za uma nk vilikuwepo vitu hivyo hata katika zama za mwalimu ukiipitia vizuri hotuba ya mwalimu Nyerere aliyoitoa mwezi march 1995 pale Kilimanjaro hotel utakiri hilo. Matatizo ya kimfumo hurekebishwa kwa katiba bora, na raisi Samia tayari umebarik mchakato kuanza.
 
Usisahau na kwamba ufisadi umeongezeka na mafisadi kama wewe yanakula keki.
 
Ingia ndani ya daladala yoyote mjini waombe abiria wakusikize Kwa dk 5, Kisha wasomee waraka huo Kisha uje utupe mrejesho.
 
Amani iwe juu yenu Watanzania wenzangu!

Nimeitafakari vya kutosha nchi yangu mpaka hapa ilipo. Hakuna awezae kuzuia kifo isipokua ni Mungu pekee, raisi wangu mama yetu ameingia madarakani kikatiba baada ya kufariki kwa aliyekuwa raisi wetu John. P. Magufuli, jambo hili linatosha kuthibitisha kwamba Mungu ameridhia nchi iongozwe na mama yetu. Na kila alifanyalo mama lina baraka za Mungu.

Faida za mama kushika hatamu;

1. Nchi imefunguka
Shughuli za kiuchumi baina ya nchi yetu na external world sasa ziko integrated, ni juu yetu sasa wananchi kuchakarika.

2. Hali ya kisiasa ni yenye kutia moyo
Mama amethibitisha kwa vitendo kuwa nchi hii ni yetu sote, siasa isiharibu udugu wetu. Raisi wa nchi anaweza kualikwa ktk mabaraza ya vyama vingine vya siasa na akahudhuria.

3. Raisi Samia ana maarifa mapana juu ya Dunia
Haitaji mkalimani kutafsiri nini kimesemwa na mataifa mengine kwani yeye binafsi ni fluent wa lugha za kigeni kama English, Arabic na Kiswahili. Hakuna ziara atakayo alikwa akaogopa kwenda kwa sababu za kimawasiliano.

4. Mtekelezaji wa miradi ya kimkakati
Miundo mbinu ya barabara na reli inaendelea kutekelezwa, wananchi tutasafiri salama katika kuusaka mkate wetu wa kila siku.

5. Huduma za kijamii kama elimu na afya
Shule zimeendelea kujengwa na madarasa kuongezwa, huku vituo vya afya na hospitali zimeendelea kujengwa nchi nzima naamini life expectancy ya mtanzania itaongezeka

6. Kiwango cha furaha miongoni mwa watanzania kimeongezeka
Tumeshuhudia hata wale waliokimbia nchi yetu kwa sababu hii au ile sasa hawana mashaka na baadhi yao wamerudi na wana nyuso za bashasha. Hii yote ni kwa sababu ya uongozi bora wa Mama yetu Samia.

Ndugu zangu watanzania tumtumie mama katika positive way ili kujiletea maendeleo.

Poleni sana kwa wale wataokwazika kwa hii thick thread ya 2023.

Please Jamii forum moderators, don't ban me for this fruitful thread.
Rabbish , nyie watu mna akili hovyo. Kwa vile ni wa dini yako, basi maovu yake huyaoni. STUPID
 
Amani iwe juu yenu Watanzania wenzangu!

Nimeitafakari vya kutosha nchi yangu mpaka hapa ilipo. Hakuna awezae kuzuia kifo isipokua ni Mungu pekee, raisi wangu mama yetu ameingia madarakani kikatiba baada ya kufariki kwa aliyekuwa raisi wetu John. P. Magufuli, jambo hili linatosha kuthibitisha kwamba Mungu ameridhia nchi iongozwe na mama yetu. Na kila alifanyalo mama lina baraka za Mungu.

Faida za mama kushika hatamu;

1. Nchi imefunguka
Shughuli za kiuchumi baina ya nchi yetu na external world sasa ziko integrated, ni juu yetu sasa wananchi kuchakarika.

2. Hali ya kisiasa ni yenye kutia moyo
Mama amethibitisha kwa vitendo kuwa nchi hii ni yetu sote, siasa isiharibu udugu wetu. Raisi wa nchi anaweza kualikwa ktk mabaraza ya vyama vingine vya siasa na akahudhuria.

3. Raisi Samia ana maarifa mapana juu ya Dunia
Haitaji mkalimani kutafsiri nini kimesemwa na mataifa mengine kwani yeye binafsi ni fluent wa lugha za kigeni kama English, Arabic na Kiswahili. Hakuna ziara atakayo alikwa akaogopa kwenda kwa sababu za kimawasiliano.

4. Mtekelezaji wa miradi ya kimkakati
Miundo mbinu ya barabara na reli inaendelea kutekelezwa, wananchi tutasafiri salama katika kuusaka mkate wetu wa kila siku.

5. Huduma za kijamii kama elimu na afya
Shule zimeendelea kujengwa na madarasa kuongezwa, huku vituo vya afya na hospitali zimeendelea kujengwa nchi nzima naamini life expectancy ya mtanzania itaongezeka

6. Kiwango cha furaha miongoni mwa watanzania kimeongezeka
Tumeshuhudia hata wale waliokimbia nchi yetu kwa sababu hii au ile sasa hawana mashaka na baadhi yao wamerudi na wana nyuso za bashasha. Hii yote ni kwa sababu ya uongozi bora wa Mama yetu Samia.

Ndugu zangu watanzania tumtumie mama katika positive way ili kujiletea maendeleo.

Poleni sana kwa wale wataokwazika kwa hii thick thread ya 2023.

Please Jamii forum moderators, don't ban me for this fruitful thread.
Hongera sana kwa mama Samia.
 
Back
Top Bottom