Rais Samia amelipia ticket 5000 za Mashabiki watakaokwenda kuishangilia Yanga fainali ya CAF, 28/5/2023

Ndg. Yangu hebu amka😆
naamkaje sasa, kwa hayo mawazo mgando yenu, kwamba yeye hapaswi kuwa shabiki na kufanya lolote katika mpira, mfano chukulia kwamba rais analipwa M 150 kwa mwezi (mimi sijui kama rais ana mshahara)...

tiketi 5000 kwa ghrama ya 10000 kila tiketi maana yake ni kiasi cha m50 tu ndio kitatumika (5000*10000), sasa kama ana mapenzi ya mpira na kaamua kutoa robo ya mshahara wake kuna tatizo..??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…