Ahyan
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 2,310
- 5,482
sasa hoja yako ni ipi kati ya hizi, mafuta ya ndege ama tiketi za mechi ya mpira wa miguu..?? afanye nini na nini asifanye..??? je hizo pesa zishawahi vuruga bajeti ya sekta ama wizara yoyote..???Okay, na mafuta ya ndege ya kumsarisha Hayati Le Mutuz nayo Mama Samia katoa mfukoni mwake?
Na yule mfanyakazi wa ofisi ya Vice President na mtoto wa Mabeho na marehemu wote mashuhuri Rais anatoa hela ya mafuta ya ndege mfukoni mwake!
wanatucheka sana hawa viongozi, wameshajua raia wenyewe nao viaziiiiiiiii... mtu anasema "kwani amesema kwamba hii ni priority" ? yani mpaka rais atamke kwamba hii ni priority yangu ndio tujue priority za huyu Mama ziko upside down...
asiposapoti utasikia masubiri hadi timu ishinde ndio msapoti... kuweni na fadhila hata kwa uchache na si kila mara kulialia na kulalama, hiyo ni alama ya umaskini na kujitia laana