Rais Samia amelipia ticket 5000 za Mashabiki watakaokwenda kuishangilia Yanga fainali ya CAF, 28/5/2023

Rais Samia amelipia ticket 5000 za Mashabiki watakaokwenda kuishangilia Yanga fainali ya CAF, 28/5/2023

Okay, na mafuta ya ndege ya kumsarisha Hayati Le Mutuz nayo Mama Samia katoa mfukoni mwake?

Na yule mfanyakazi wa ofisi ya Vice President na mtoto wa Mabeho na marehemu wote mashuhuri Rais anatoa hela ya mafuta ya ndege mfukoni mwake!

wanatucheka sana hawa viongozi, wameshajua raia wenyewe nao viaziiiiiiiii... mtu anasema "kwani amesema kwamba hii ni priority" ? yani mpaka rais atamke kwamba hii ni priority yangu ndio tujue priority za huyu Mama ziko upside down...
sasa hoja yako ni ipi kati ya hizi, mafuta ya ndege ama tiketi za mechi ya mpira wa miguu..?? afanye nini na nini asifanye..??? je hizo pesa zishawahi vuruga bajeti ya sekta ama wizara yoyote..???
asiposapoti utasikia masubiri hadi timu ishinde ndio msapoti... kuweni na fadhila hata kwa uchache na si kila mara kulialia na kulalama, hiyo ni alama ya umaskini na kujitia laana
 
sasa hoja yako ni ipi kati ya hizi, mafuta ya ndege ama tiketi za mechi ya mpira wa miguu..?? afanye nini na nini asifanye..??? je hizo pesa zishawahi vuruga bajeti ya sekta ama wizara yoyote..???
asiposapoti utasikia masubiri hadi timu ishinde ndio msapoti... kuweni na fadhila hata kwa uchache na si kila mara kulialia na kulalama, hiyo ni alama ya umaskini na kujitia laana
Yaan waduwanzi kila sehemu mbwa hawa kila unalofanya hawaoni jema wanatia kichefuchefu, yaan bi mother anatoa support makenge yanaponda yanatia hasira kishenzi, eti Pesa anatoa wapi kwa idhini ya nani nyinyi mnauliza km wakina nani ? Yeye ndio kiongozi anajua jinsi ya kusimamia na kuiendesha Nchi hii bila kuingia hasara zisizo na sababu ndio maana karuhusu tickets 5000 watu walipiwe waende kuhamasisha timu ishindeee, Mikia wanakataa hawataki mwambieni MO anunue wachezaji Ile Pesa mliyopata sio mnaleta makasiriko ya kiduanzi hapa
 
Ni ufisadi wa kodi zetu
Unajua VAT ya mapato ya mechi kubwa let say 600m ni kiasi inayotokana na viigilio uwanjani?

mmekariri kodi kwny kununua unga tu hata kwny michezo kuna kodi inakusanywa na kwenda kufanyia mengine ya maendeleo
 
Wewe ushindwe siku moja moja kupeleka chipsi za elfu 10 kwa watoto nyumbani wafurahi kisa ndio umeanza ujenzi au ndio January mwezi wa ada ?

watu wa namna yenu furaha huwa adimu sana kwny familia zenu
STUPID
 
naamkaje sasa, kwa hayo mawazo mgando yenu, kwamba yeye hapaswi kuwa shabiki na kufanya lolote katika mpira, mfano chukulia kwamba rais analipwa M 150 kwa mwezi (mimi sijui kama rais ana mshahara)...

tiketi 5000 kwa ghrama ya 10000 kila tiketi maana yake ni kiasi cha m50 tu ndio kitatumika (5000*10000), sasa kama ana mapenzi ya mpira na kaamua kutoa robo ya mshahara wake kuna tatizo..??
Raisi ana uwezo wa kutumia hiyo pesa kutoka kwenye mshahara wake na malupulupu anayopata kila mwezi
 
Back
Top Bottom