Rais Samia amemteua Brigedia Jenerali Yohana Ochalla Mabongo kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Posta Tanzania (TPC)

Rais Samia amemteua Brigedia Jenerali Yohana Ochalla Mabongo kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Posta Tanzania (TPC)

Kwanza si kweli kuwa mwenye sifa ya kuwa CDF ni ofisa wa cheo cha brigedia jenerali. Huyo ni one star general, ndiye the most junior katika ujenerali. CDF ni four star general, na mara nyingi hupandishwa cheo hicho akitokea cheo cha Lt Gen ambaye ni three star general.
Asante kwa elimu Ralph Tyler
 
Back
Top Bottom