Rais Samia amemteua Dk Abdul Rahman Shabani Mwanga kuwa Kamishina wa Madini

"Hili jambo la dini watu wanajadili ooh mwalimu ana ubaguzi katika teuzi zake nikalisikia nikafanya research yangu ndogo nikakuta wakatoliki tupo wawili mimi na nani mwingine?watu wakataja sir George kahama tena mwenzangu ameendelea ana kina mama wawili ni ujinga tu kujua dini ya mtu sisi dini yake inatuhusu nini? Mwalimu nyerere nimemnukuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…