SautiYaMnyonge
JF-Expert Member
- May 13, 2018
- 439
- 742
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan kwa niaba ya wananchi wa Tanzania amemtumia pongezi Rais mteule wa Zambia Mheshimiwa Hakainde Hichilema na kumuahidi ushirikiano.
Naye Rais MTEULE Mheshimiwa Hakainde amezipokea pongezi hizo na kumshikuru Rais Samia huku akimuahidi kufanya kazi kwa ushirikiano wa karibu kwani nchi hizo mbili zina masuala muhimu yanayowaumganisha hivyo mahusiano yao yanapaswa kuwa imara zaidi.
Kazi Iendelee.
Naye Rais MTEULE Mheshimiwa Hakainde amezipokea pongezi hizo na kumshikuru Rais Samia huku akimuahidi kufanya kazi kwa ushirikiano wa karibu kwani nchi hizo mbili zina masuala muhimu yanayowaumganisha hivyo mahusiano yao yanapaswa kuwa imara zaidi.
Kazi Iendelee.