Rais Samia ameongea na wenzake kwa vitendo

Rais Samia ameongea na wenzake kwa vitendo

Bibititi1

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2014
Posts
464
Reaction score
218
MAMA NI MLEZI… .

Ndugu zangu acheni leo tuseme mazuri juu ya Mama yetu kipenzi na Mlezi wa Taifa hili Amri Jeshi Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan.

Mama mengi mazuri ametimiza ndani ya muda mfupi, Wengi tunajua Maisha yetu yalisimama wima kama maghorofa ya kariakoo. Mifuko yetu ilikuwa mitupu na matumbo yalikuwa yakiitika labekaa kwa njaa.. “tulikuwa tunatembea kwa kuinamisha kichwa chini hadi shingo ikapinda kama mforosadi”

Bongo Movie ilikuwa kilio, Bongo fleva kilio, Walimu kilio, Watumishi wa umma kilio…Nchi iliishi kwenye msiba wa ukata na ukosefu wa furaha maana matajiri nao waliishi kama mashetani. Jiji hili la Dar es salaam moshi wenye harufu ya kuudhi ulilelea hewani ukitamalaki kwenye majumba yetu kujiuliza kesho zamu ya nani kuishi kama shetani.

“Nitasema nitasema!” acheni niseme mimi, Asiposema Steve nani wa kusema wakati napata wazo la Mama Ongea na Mwanao nilijua itafika siku Mama atasimama na taifa hili kulifuta machozi kwenye kila nyanja kwenye kila sekta itakuwa ni furaha.

Leo tunaona kweli nchi inafuraha pia mwangaza unaonekana Mhe Rais Kuhudhuria tamasha la mwanamuziki wa Hip Hop tena mfuasi wa chama cha Upinzani na viongozi wote kwa pamoja wakajumuika wa pande zote mbili. Hili limeta umoja wa kitaifa tena kuwa sisi ni ndugu wa damu moja tofauti za nini. Mama ana show love to each other.!

Embu tumpongezeni Mama kwa haya machache ametoa ruzuku ya mafuta ya Petrol na Dizeli leo bei ilikuwa ifike elfu tatu na mia tano 3500 yaani ingepaa juu kama Paa lakini Mama kwa huruma zake na upendo wake kwa taifa hili ametoa ruzuku zaidi ya bilioni 100 imefika shilingi Elfu mbili na kenda kadhaa nchi imejinyima kwa ajili ya wananchi wake waliosema haiwezekani leo wamefunga midomo kama mabakuli ya pombe na wamenyanyua mabega juu yanakaribia kukutana na masikio.

Mwaka 2015 Tulimuamini Mama tukazunguka naye nchi nzima. Imani yetu Tulifahamu siku zote Mama ni Mama yeye hukusanya si mtawanyaji huwaleta watu karibu zaidi na Hiyo ndiyo maana ya kuijenga nchi miaka zaidi ya sita kaka yangu Mbowe alikuwa anaonekana kama mkimbizi alipoteza mashamba, Disko lake lile pale pamekuwa kituo cha Tax na kidogo angekuwa kilema. Ndugu yangu Sugu aliambiwa hotel yake amejenga kwenye chanzo cha maji utanzania ulifutika kabisa.

Furaha ilikata kona na kupotea kabisa si kwa watumishi wa Umma si kwa sekta binafsi, Furaha ilienda uhamishoni. Kwa mara ya kwanza tangu uhuru gridi y a Taifa ya umeme Inafika Kigoma kabla ya mwezi wa kumi mwaka huu wenzetu walikaa gizani muda ila Mama leo ametimiza. Unaambiwa sasa Kigoma tutakuwa tunakwenda asubuhi mchana tupo DAR hapa tunakula migebuka Treni ya umeme na umeme wa uhakika upo.

Wapo watakaosema eti steve usiseme hivyo! Tusiposema kuwa wafanyakazi wameongezewa mshahara ni kosa? Tusiseme wafanyakazi wameongezewa posho ni kosa, Tusizungumze wastaafu wamepata kikotoo kipya cha mafao. hawa watu makoo yao yaliwasaliti kwa muda mrefu wacha wafaidi matunda ya jasho lao.

Huyu ndiyo MAMA Tulimuomba aongee na wanae ametusikia anazungumza na sisi kwa vitendo amefanya Royal Tour kwa ajili ya kukuza utalii, Amelipa madeni makubwa ya Serikali zaidi ya Trilion 11, Ametoa mirabaha kwa kazi za wasanii, ameongeza bajeti kwenye miradi ya maji, barabara na afya kama haitoshi amejenga madarasa zaidi ya elfu 15,000 nchi nzima hakuna mwanafunzi aliyekosa kuingia darasani mwaka huu wa masomo. Nchi imefunguka wawekazaji kila kona juzi tumeona meli imetia nanga bandari ya Mtwara inabeba makaa ya mawe kutoka Ruvuma.

Wacheni nisemeee mie…. Mama ameongea na wanae kwa vitendo.
 
MAMA NI MLEZI… .

Ndugu zangu acheni leo tuseme mazuri juu ya Mama yetu kipenzi na Mlezi wa Taifa hili Amri Jeshi Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan.

Mama mengi mazuri ametimiza ndani ya muda mfupi, Wengi tunajua Maisha yetu yalisimama wima kama maghorofa ya kariakoo. Mifuko yetu ilikuwa mitupu na matumbo yalikuwa yakiitika labekaa kwa njaa.. “tulikuwa tunatembea kwa kuinamisha kichwa chini hadi shingo ikapinda kama mforosadi”

Bongo Movie ilikuwa kilio, Bongo fleva kilio, Walimu kilio, Watumishi wa umma kilio…Nchi iliishi kwenye msiba wa ukata na ukosefu wa furaha maana matajiri nao waliishi kama mashetani. Jiji hili la Dar es salaam moshi wenye harufu ya kuudhi ulilelea hewani ukitamalaki kwenye majumba yetu kujiuliza kesho zamu ya nani kuishi kama shetani.

“Nitasema nitasema!” acheni niseme mimi, Asiposema Steve nani wa kusema wakati napata wazo la Mama Ongea na Mwanao nilijua itafika siku Mama atasimama na taifa hili kulifuta machozi kwenye kila nyanja kwenye kila sekta itakuwa ni furaha.

Leo tunaona kweli nchi inafuraha pia mwangaza unaonekana Mhe Rais Kuhudhuria tamasha la mwanamuziki wa Hip Hop tena mfuasi wa chama cha Upinzani na viongozi wote kwa pamoja wakajumuika wa pande zote mbili. Hili limeta umoja wa kitaifa tena kuwa sisi ni ndugu wa damu moja tofauti za nini. Mama ana show love to each other.!

Embu tumpongezeni Mama kwa haya machache ametoa ruzuku ya mafuta ya Petrol na Dizeli leo bei ilikuwa ifike elfu tatu na mia tano 3500 yaani ingepaa juu kama Paa lakini Mama kwa huruma zake na upendo wake kwa taifa hili ametoa ruzuku zaidi ya bilioni 100 imefika shilingi Elfu mbili na kenda kadhaa nchi imejinyima kwa ajili ya wananchi wake waliosema haiwezekani leo wamefunga midomo kama mabakuli ya pombe na wamenyanyua mabega juu yanakaribia kukutana na masikio.

Mwaka 2015 Tulimuamini Mama tukazunguka naye nchi nzima. Imani yetu Tulifahamu siku zote Mama ni Mama yeye hukusanya si mtawanyaji huwaleta watu karibu zaidi na Hiyo ndiyo maana ya kuijenga nchi miaka zaidi ya sita kaka yangu Mbowe alikuwa anaonekana kama mkimbizi alipoteza mashamba, Disko lake lile pale pamekuwa kituo cha Tax na kidogo angekuwa kilema. Ndugu yangu Sugu aliambiwa hotel yake amejenga kwenye chanzo cha maji utanzania ulifutika kabisa.

Furaha ilikata kona na kupotea kabisa si kwa watumishi wa Umma si kwa sekta binafsi, Furaha ilienda uhamishoni. Kwa mara ya kwanza tangu uhuru gridi y a Taifa ya umeme Inafika Kigoma kabla ya mwezi wa kumi mwaka huu wenzetu walikaa gizani muda ila Mama leo ametimiza. Unaambiwa sasa Kigoma tutakuwa tunakwenda asubuhi mchana tupo DAR hapa tunakula migebuka Treni ya umeme na umeme wa uhakika upo.

Wapo watakaosema eti steve usiseme hivyo! Tusiposema kuwa wafanyakazi wameongezewa mshahara ni kosa? Tusiseme wafanyakazi wameongezewa posho ni kosa, Tusizungumze wastaafu wamepata kikotoo kipya cha mafao. hawa watu makoo yao yaliwasaliti kwa muda mrefu wacha wafaidi matunda ya jasho lao.

Huyu ndiyo MAMA Tulimuomba aongee na wanae ametusikia anazungumza na sisi kwa vitendo amefanya Royal Tour kwa ajili ya kukuza utalii, Amelipa madeni makubwa ya Serikali zaidi ya Trilion 11, Ametoa mirabaha kwa kazi za wasanii, ameongeza bajeti kwenye miradi ya maji, barabara na afya kama haitoshi amejenga madarasa zaidi ya elfu 15,000 nchi nzima hakuna mwanafunzi aliyekosa kuingia darasani mwaka huu wa masomo. Nchi imefunguka wawekazaji kila kona juzi tumeona meli imetia nanga bandari ya Mtwara inabeba makaa ya mawe kutoka Ruvuma.

Wacheni nisemeee mie…. Mama ameongea na wanae kwa vitendo.
Naunga mkono hoja 100%
 
MAMA NI MLEZI… .

Ndugu zangu acheni leo tuseme mazuri juu ya Mama yetu kipenzi na Mlezi wa Taifa hili Amri Jeshi Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan.

Mama mengi mazuri ametimiza ndani ya muda mfupi, Wengi tunajua Maisha yetu yalisimama wima kama maghorofa ya kariakoo. Mifuko yetu ilikuwa mitupu na matumbo yalikuwa yakiitika labekaa kwa njaa.. “tulikuwa tunatembea kwa kuinamisha kichwa chini hadi shingo ikapinda kama mforosadi”

Bongo Movie ilikuwa kilio, Bongo fleva kilio, Walimu kilio, Watumishi wa umma kilio…Nchi iliishi kwenye msiba wa ukata na ukosefu wa furaha maana matajiri nao waliishi kama mashetani. Jiji hili la Dar es salaam moshi wenye harufu ya kuudhi ulilelea hewani ukitamalaki kwenye majumba yetu kujiuliza kesho zamu ya nani kuishi kama shetani.

“Nitasema nitasema!” acheni niseme mimi, Asiposema Steve nani wa kusema wakati napata wazo la Mama Ongea na Mwanao nilijua itafika siku Mama atasimama na taifa hili kulifuta machozi kwenye kila nyanja kwenye kila sekta itakuwa ni furaha.

Leo tunaona kweli nchi inafuraha pia mwangaza unaonekana Mhe Rais Kuhudhuria tamasha la mwanamuziki wa Hip Hop tena mfuasi wa chama cha Upinzani na viongozi wote kwa pamoja wakajumuika wa pande zote mbili. Hili limeta umoja wa kitaifa tena kuwa sisi ni ndugu wa damu moja tofauti za nini. Mama ana show love to each other.!

Embu tumpongezeni Mama kwa haya machache ametoa ruzuku ya mafuta ya Petrol na Dizeli leo bei ilikuwa ifike elfu tatu na mia tano 3500 yaani ingepaa juu kama Paa lakini Mama kwa huruma zake na upendo wake kwa taifa hili ametoa ruzuku zaidi ya bilioni 100 imefika shilingi Elfu mbili na kenda kadhaa nchi imejinyima kwa ajili ya wananchi wake waliosema haiwezekani leo wamefunga midomo kama mabakuli ya pombe na wamenyanyua mabega juu yanakaribia kukutana na masikio.

Mwaka 2015 Tulimuamini Mama tukazunguka naye nchi nzima. Imani yetu Tulifahamu siku zote Mama ni Mama yeye hukusanya si mtawanyaji huwaleta watu karibu zaidi na Hiyo ndiyo maana ya kuijenga nchi miaka zaidi ya sita kaka yangu Mbowe alikuwa anaonekana kama mkimbizi alipoteza mashamba, Disko lake lile pale pamekuwa kituo cha Tax na kidogo angekuwa kilema. Ndugu yangu Sugu aliambiwa hotel yake amejenga kwenye chanzo cha maji utanzania ulifutika kabisa.

Furaha ilikata kona na kupotea kabisa si kwa watumishi wa Umma si kwa sekta binafsi, Furaha ilienda uhamishoni. Kwa mara ya kwanza tangu uhuru gridi y a Taifa ya umeme Inafika Kigoma kabla ya mwezi wa kumi mwaka huu wenzetu walikaa gizani muda ila Mama leo ametimiza. Unaambiwa sasa Kigoma tutakuwa tunakwenda asubuhi mchana tupo DAR hapa tunakula migebuka Treni ya umeme na umeme wa uhakika upo.

Wapo watakaosema eti steve usiseme hivyo! Tusiposema kuwa wafanyakazi wameongezewa mshahara ni kosa? Tusiseme wafanyakazi wameongezewa posho ni kosa, Tusizungumze wastaafu wamepata kikotoo kipya cha mafao. hawa watu makoo yao yaliwasaliti kwa muda mrefu wacha wafaidi matunda ya jasho lao.

Huyu ndiyo MAMA Tulimuomba aongee na wanae ametusikia anazungumza na sisi kwa vitendo amefanya Royal Tour kwa ajili ya kukuza utalii, Amelipa madeni makubwa ya Serikali zaidi ya Trilion 11, Ametoa mirabaha kwa kazi za wasanii, ameongeza bajeti kwenye miradi ya maji, barabara na afya kama haitoshi amejenga madarasa zaidi ya elfu 15,000 nchi nzima hakuna mwanafunzi aliyekosa kuingia darasani mwaka huu wa masomo. Nchi imefunguka wawekazaji kila kona juzi tumeona meli imetia nanga bandari ya Mtwara inabeba makaa ya mawe kutoka Ruvuma.

Wacheni nisemeee mie…. Mama ameongea na wanae kwa vitendo.
Ngonjera nyiingi, kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza. Nikuulize tu, hela alizotenga bilion 100 za ruzuku ya mafuta nini kimemfaidisha mtumiaji wa mwisho? Nauli au bei za bidhaa zimeshuka? Mnapigwa danadana sana, bei ilitakiwa ifike 3500 nani aliipanga hiyo? Tuoneshe nchi ambazo mwezi wa 6 mafuta yamepanda bei tena 😁😂😁
 
Unajisemea wewe kwa sababu unalipwa kila ukipost. Umeshiba humjui mwenye njaa. Hujatembelea watu mitaani. Hakuna palipobadirika. Na kila kukicha heri ya jana. Tozo juu,Nauli juu,cementi juu,vyakula juu,pembejeo juu,kila kitu kiko juu. Unapandisha mafuta Tsh.1000. Unashusha Tsh.300. Halafu mnakuja kusifia anaupiga mwingi. Mwingi kwenda wapi? Nyuma?. Akina Mwiguru wanampotosha mama na matozo yasiyo na tija. Tozo zinaishia mifukoni
NB:- wewe ndio Steve yule chiz wa bongo movie,mpenda sifa?.
 
MAMA NI MLEZI… .

Ndugu zangu acheni leo tuseme mazuri juu ya Mama yetu kipenzi na Mlezi wa Taifa hili Amri Jeshi Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan.

Mama mengi mazuri ametimiza ndani ya muda mfupi, Wengi tunajua Maisha yetu yalisimama wima kama maghorofa ya kariakoo. Mifuko yetu ilikuwa mitupu na matumbo yalikuwa yakiitika labekaa kwa njaa.. “tulikuwa tunatembea kwa kuinamisha kichwa chini hadi shingo ikapinda kama mforosadi”

Bongo Movie ilikuwa kilio, Bongo fleva kilio, Walimu kilio, Watumishi wa umma kilio…Nchi iliishi kwenye msiba wa ukata na ukosefu wa furaha maana matajiri nao waliishi kama mashetani. Jiji hili la Dar es salaam moshi wenye harufu ya kuudhi ulilelea hewani ukitamalaki kwenye majumba yetu kujiuliza kesho zamu ya nani kuishi kama shetani.

“Nitasema nitasema!” acheni niseme mimi, Asiposema Steve nani wa kusema wakati napata wazo la Mama Ongea na Mwanao nilijua itafika siku Mama atasimama na taifa hili kulifuta machozi kwenye kila nyanja kwenye kila sekta itakuwa ni furaha.

Leo tunaona kweli nchi inafuraha pia mwangaza unaonekana Mhe Rais Kuhudhuria tamasha la mwanamuziki wa Hip Hop tena mfuasi wa chama cha Upinzani na viongozi wote kwa pamoja wakajumuika wa pande zote mbili. Hili limeta umoja wa kitaifa tena kuwa sisi ni ndugu wa damu moja tofauti za nini. Mama ana show love to each other.!

Embu tumpongezeni Mama kwa haya machache ametoa ruzuku ya mafuta ya Petrol na Dizeli leo bei ilikuwa ifike elfu tatu na mia tano 3500 yaani ingepaa juu kama Paa lakini Mama kwa huruma zake na upendo wake kwa taifa hili ametoa ruzuku zaidi ya bilioni 100 imefika shilingi Elfu mbili na kenda kadhaa nchi imejinyima kwa ajili ya wananchi wake waliosema haiwezekani leo wamefunga midomo kama mabakuli ya pombe na wamenyanyua mabega juu yanakaribia kukutana na masikio.

Mwaka 2015 Tulimuamini Mama tukazunguka naye nchi nzima. Imani yetu Tulifahamu siku zote Mama ni Mama yeye hukusanya si mtawanyaji huwaleta watu karibu zaidi na Hiyo ndiyo maana ya kuijenga nchi miaka zaidi ya sita kaka yangu Mbowe alikuwa anaonekana kama mkimbizi alipoteza mashamba, Disko lake lile pale pamekuwa kituo cha Tax na kidogo angekuwa kilema. Ndugu yangu Sugu aliambiwa hotel yake amejenga kwenye chanzo cha maji utanzania ulifutika kabisa.

Furaha ilikata kona na kupotea kabisa si kwa watumishi wa Umma si kwa sekta binafsi, Furaha ilienda uhamishoni. Kwa mara ya kwanza tangu uhuru gridi y a Taifa ya umeme Inafika Kigoma kabla ya mwezi wa kumi mwaka huu wenzetu walikaa gizani muda ila Mama leo ametimiza. Unaambiwa sasa Kigoma tutakuwa tunakwenda asubuhi mchana tupo DAR hapa tunakula migebuka Treni ya umeme na umeme wa uhakika upo.

Wapo watakaosema eti steve usiseme hivyo! Tusiposema kuwa wafanyakazi wameongezewa mshahara ni kosa? Tusiseme wafanyakazi wameongezewa posho ni kosa, Tusizungumze wastaafu wamepata kikotoo kipya cha mafao. hawa watu makoo yao yaliwasaliti kwa muda mrefu wacha wafaidi matunda ya jasho lao.

Huyu ndiyo MAMA Tulimuomba aongee na wanae ametusikia anazungumza na sisi kwa vitendo amefanya Royal Tour kwa ajili ya kukuza utalii, Amelipa madeni makubwa ya Serikali zaidi ya Trilion 11, Ametoa mirabaha kwa kazi za wasanii, ameongeza bajeti kwenye miradi ya maji, barabara na afya kama haitoshi amejenga madarasa zaidi ya elfu 15,000 nchi nzima hakuna mwanafunzi aliyekosa kuingia darasani mwaka huu wa masomo. Nchi imefunguka wawekazaji kila kona juzi tumeona meli imetia nanga bandari ya Mtwara inabeba makaa ya mawe kutoka Ruvuma.

Wacheni nisemeee mie…. Mama ameongea na wanae kwa vitendo.
Sifa na utukufu ni kwako eeeh Yesu kristo.
 
Naunga mkono hoja 100%
Mmeamua kuwa wajinga, mnaambiwa mafuta yaalitakiwa kupanda kufika 3300 lakini hamjiulizi kwenye soko la dunia mafuta yamepanda Bei au yameshuka bei
 
MAMA NI MLEZI… .

Ndugu zangu acheni leo tuseme mazuri juu ya Mama yetu kipenzi na Mlezi wa Taifa hili Amri Jeshi Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan.

Mama mengi mazuri ametimiza ndani ya muda mfupi, Wengi tunajua Maisha yetu yalisimama wima kama maghorofa ya kariakoo. Mifuko yetu ilikuwa mitupu na matumbo yalikuwa yakiitika labekaa kwa njaa.. “tulikuwa tunatembea kwa kuinamisha kichwa chini hadi shingo ikapinda kama mforosadi”

Bongo Movie ilikuwa kilio, Bongo fleva kilio, Walimu kilio, Watumishi wa umma kilio…Nchi iliishi kwenye msiba wa ukata na ukosefu wa furaha maana matajiri nao waliishi kama mashetani. Jiji hili la Dar es salaam moshi wenye harufu ya kuudhi ulilelea hewani ukitamalaki kwenye majumba yetu kujiuliza kesho zamu ya nani kuishi kama shetani.

“Nitasema nitasema!” acheni niseme mimi, Asiposema Steve nani wa kusema wakati napata wazo la Mama Ongea na Mwanao nilijua itafika siku Mama atasimama na taifa hili kulifuta machozi kwenye kila nyanja kwenye kila sekta itakuwa ni furaha.

Leo tunaona kweli nchi inafuraha pia mwangaza unaonekana Mhe Rais Kuhudhuria tamasha la mwanamuziki wa Hip Hop tena mfuasi wa chama cha Upinzani na viongozi wote kwa pamoja wakajumuika wa pande zote mbili. Hili limeta umoja wa kitaifa tena kuwa sisi ni ndugu wa damu moja tofauti za nini. Mama ana show love to each other.!

Embu tumpongezeni Mama kwa haya machache ametoa ruzuku ya mafuta ya Petrol na Dizeli leo bei ilikuwa ifike elfu tatu na mia tano 3500 yaani ingepaa juu kama Paa lakini Mama kwa huruma zake na upendo wake kwa taifa hili ametoa ruzuku zaidi ya bilioni 100 imefika shilingi Elfu mbili na kenda kadhaa nchi imejinyima kwa ajili ya wananchi wake waliosema haiwezekani leo wamefunga midomo kama mabakuli ya pombe na wamenyanyua mabega juu yanakaribia kukutana na masikio.

Mwaka 2015 Tulimuamini Mama tukazunguka naye nchi nzima. Imani yetu Tulifahamu siku zote Mama ni Mama yeye hukusanya si mtawanyaji huwaleta watu karibu zaidi na Hiyo ndiyo maana ya kuijenga nchi miaka zaidi ya sita kaka yangu Mbowe alikuwa anaonekana kama mkimbizi alipoteza mashamba, Disko lake lile pale pamekuwa kituo cha Tax na kidogo angekuwa kilema. Ndugu yangu Sugu aliambiwa hotel yake amejenga kwenye chanzo cha maji utanzania ulifutika kabisa.

Furaha ilikata kona na kupotea kabisa si kwa watumishi wa Umma si kwa sekta binafsi, Furaha ilienda uhamishoni. Kwa mara ya kwanza tangu uhuru gridi y a Taifa ya umeme Inafika Kigoma kabla ya mwezi wa kumi mwaka huu wenzetu walikaa gizani muda ila Mama leo ametimiza. Unaambiwa sasa Kigoma tutakuwa tunakwenda asubuhi mchana tupo DAR hapa tunakula migebuka Treni ya umeme na umeme wa uhakika upo.

Wapo watakaosema eti steve usiseme hivyo! Tusiposema kuwa wafanyakazi wameongezewa mshahara ni kosa? Tusiseme wafanyakazi wameongezewa posho ni kosa, Tusizungumze wastaafu wamepata kikotoo kipya cha mafao. hawa watu makoo yao yaliwasaliti kwa muda mrefu wacha wafaidi matunda ya jasho lao.

Huyu ndiyo MAMA Tulimuomba aongee na wanae ametusikia anazungumza na sisi kwa vitendo amefanya Royal Tour kwa ajili ya kukuza utalii, Amelipa madeni makubwa ya Serikali zaidi ya Trilion 11, Ametoa mirabaha kwa kazi za wasanii, ameongeza bajeti kwenye miradi ya maji, barabara na afya kama haitoshi amejenga madarasa zaidi ya elfu 15,000 nchi nzima hakuna mwanafunzi aliyekosa kuingia darasani mwaka huu wa masomo. Nchi imefunguka wawekazaji kila kona juzi tumeona meli imetia nanga bandari ya Mtwara inabeba makaa ya mawe kutoka Ruvuma.

Wacheni nisemeee mie…. Mama ameongea na wanae kwa vitendo.
Ila hata anayewatuma nae akili Hana
Ewura wenyewe wanasema mafuta yangefika 3300, we uliyetumwa unasema yangefika 3500.
 
Mmeamua kuwa wajinga, mnaambiwa mafuta yaalitakiwa kupanda kufika 3300 lakini hamjiulizi kwenye soko la dunia mafuta yamepanda Bei au yameshuka bei
Hawana akili hao. Wanasikiliza ya kuambiwa bila kufanya tafiti, hivi kweli mnakaa kikao kuwa trh 1 june tutaangalia bei halafu muda unafika unakuja na ngonjera kuwa tumeshusha sana maana huu mwezi yalitakiwa kupanda tena 😂😂
 
MAMA NI MLEZI… .

Ndugu zangu acheni leo tuseme mazuri juu ya Mama yetu kipenzi na Mlezi wa Taifa hili Amri Jeshi Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan.

Mama mengi mazuri ametimiza ndani ya muda mfupi, Wengi tunajua Maisha yetu yalisimama wima kama maghorofa ya kariakoo. Mifuko yetu ilikuwa mitupu na matumbo yalikuwa yakiitika labekaa kwa njaa.. “tulikuwa tunatembea kwa kuinamisha kichwa chini hadi shingo ikapinda kama mforosadi”

Bongo Movie ilikuwa kilio, Bongo fleva kilio, Walimu kilio, Watumishi wa umma kilio…Nchi iliishi kwenye msiba wa ukata na ukosefu wa furaha maana matajiri nao waliishi kama mashetani. Jiji hili la Dar es salaam moshi wenye harufu ya kuudhi ulilelea hewani ukitamalaki kwenye majumba yetu kujiuliza kesho zamu ya nani kuishi kama shetani.

“Nitasema nitasema!” acheni niseme mimi, Asiposema Steve nani wa kusema wakati napata wazo la Mama Ongea na Mwanao nilijua itafika siku Mama atasimama na taifa hili kulifuta machozi kwenye kila nyanja kwenye kila sekta itakuwa ni furaha.

Leo tunaona kweli nchi inafuraha pia mwangaza unaonekana Mhe Rais Kuhudhuria tamasha la mwanamuziki wa Hip Hop tena mfuasi wa chama cha Upinzani na viongozi wote kwa pamoja wakajumuika wa pande zote mbili. Hili limeta umoja wa kitaifa tena kuwa sisi ni ndugu wa damu moja tofauti za nini. Mama ana show love to each other.!

Embu tumpongezeni Mama kwa haya machache ametoa ruzuku ya mafuta ya Petrol na Dizeli leo bei ilikuwa ifike elfu tatu na mia tano 3500 yaani ingepaa juu kama Paa lakini Mama kwa huruma zake na upendo wake kwa taifa hili ametoa ruzuku zaidi ya bilioni 100 imefika shilingi Elfu mbili na kenda kadhaa nchi imejinyima kwa ajili ya wananchi wake waliosema haiwezekani leo wamefunga midomo kama mabakuli ya pombe na wamenyanyua mabega juu yanakaribia kukutana na masikio.

Mwaka 2015 Tulimuamini Mama tukazunguka naye nchi nzima. Imani yetu Tulifahamu siku zote Mama ni Mama yeye hukusanya si mtawanyaji huwaleta watu karibu zaidi na Hiyo ndiyo maana ya kuijenga nchi miaka zaidi ya sita kaka yangu Mbowe alikuwa anaonekana kama mkimbizi alipoteza mashamba, Disko lake lile pale pamekuwa kituo cha Tax na kidogo angekuwa kilema. Ndugu yangu Sugu aliambiwa hotel yake amejenga kwenye chanzo cha maji utanzania ulifutika kabisa.

Furaha ilikata kona na kupotea kabisa si kwa watumishi wa Umma si kwa sekta binafsi, Furaha ilienda uhamishoni. Kwa mara ya kwanza tangu uhuru gridi y a Taifa ya umeme Inafika Kigoma kabla ya mwezi wa kumi mwaka huu wenzetu walikaa gizani muda ila Mama leo ametimiza. Unaambiwa sasa Kigoma tutakuwa tunakwenda asubuhi mchana tupo DAR hapa tunakula migebuka Treni ya umeme na umeme wa uhakika upo.

Wapo watakaosema eti steve usiseme hivyo! Tusiposema kuwa wafanyakazi wameongezewa mshahara ni kosa? Tusiseme wafanyakazi wameongezewa posho ni kosa, Tusizungumze wastaafu wamepata kikotoo kipya cha mafao. hawa watu makoo yao yaliwasaliti kwa muda mrefu wacha wafaidi matunda ya jasho lao.

Huyu ndiyo MAMA Tulimuomba aongee na wanae ametusikia anazungumza na sisi kwa vitendo amefanya Royal Tour kwa ajili ya kukuza utalii, Amelipa madeni makubwa ya Serikali zaidi ya Trilion 11, Ametoa mirabaha kwa kazi za wasanii, ameongeza bajeti kwenye miradi ya maji, barabara na afya kama haitoshi amejenga madarasa zaidi ya elfu 15,000 nchi nzima hakuna mwanafunzi aliyekosa kuingia darasani mwaka huu wa masomo. Nchi imefunguka wawekazaji kila kona juzi tumeona meli imetia nanga bandari ya Mtwara inabeba makaa ya mawe kutoka Ruvuma.

Wacheni nisemeee mie…. Mama ameongea na wanae kwa vitendo.
Hadi kufika 2025 ligacy ya marehemu sijui itakuwa na hali gani 😁😂
 
Huku membe, huku nape yaani kivuli chake kitawatoa roho. RIP JPM
 
Ngonjera nyiingi, kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza. Nikuulize tu, hela alizotenga bilion 100 za ruzuku ya mafuta nini kimemfaidisha mtumiaji wa mwisho? Nauli au bei za bidhaa zimeshuka? Mnapigwa danadana sana, bei ilitakiwa ifike 3500 nani aliipanga hiyo? Tuoneshe nchi ambazo mwezi wa 6 mafuta yamepanda bei tena [emoji16][emoji23][emoji16]

Pamoja na kupanda kwa nauli umesaidia revolving fund kwenye mzunguko hela inapatikana watu hawalii ukata.
 
Unajisemea wewe kwa sababu unalipwa kila ukipost. Umeshiba humjui mwenye njaa. Hujatembelea watu mitaani. Hakuna palipobadirika. Na kila kukicha heri ya jana. Tozo juu,Nauli juu,cementi juu,vyakula juu,pembejeo juu,kila kitu kiko juu. Unapandisha mafuta Tsh.1000. Unashusha Tsh.300. Halafu mnakuja kusifia anaupiga mwingi. Mwingi kwenda wapi? Nyuma?. Akina Mwiguru wanampotosha mama na matozo yasiyo na tija. Tozo zinaishia mifukoni
NB:- wewe ndio Steve yule chiz wa bongo movie,mpenda sifa?.

Ungepunguza chuki kabla ya hoja yako wapi watu wanalia hali ngumu…?
 
Pamoja na kupanda kwa nauli umesaidia revolving fund kwenye mzunguko hela inapatikana watu hawalii ukata.
Wapi huko wasipolia ukata? Pesa kuzunguka ni lazima maana hujitoshelezi peke yako. Ni lini pesa iliacha kuzunguka?
 
Back
Top Bottom