Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kulialia mzee wa legacyNgonjera nyiingi, kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza. Nikuulize tu, hela alizotenga bilion 100 za ruzuku ya mafuta nini kimemfaidisha mtumiaji wa mwisho? Nauli au bei za bidhaa zimeshuka? Mnapigwa danadana sana, bei ilitakiwa ifike 3500 nani aliipanga hiyo? Tuoneshe nchi ambazo mwezi wa 6 mafuta yamepanda bei tena [emoji16][emoji23][emoji16]
Hizi ni pumbaUngepunguza chuki kabla ya hoja yako wapi watu wanalia hali ngumu…?
Ndo nini hiyo legacy? Askari wa akina samia walikuwa na shabaha sana risasi zote zile wasingemkosa lissu.Acha kulialia mzee wa legacy
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wazee wa legacy aka Sukuma gang mkiambiwa ukweli mnakimbilia kusema njoo kitaa uone hali halisi, kwani sisi hatuishi huko kitaa bali tunatokea sayari nyingine kabisaUnajisemea wewe kwa sababu unalipwa kila ukipost. Umeshiba humjui mwenye njaa. Hujatembelea watu mitaani. Hakuna palipobadirika. Na kila kukicha heri ya jana. Tozo juu,Nauli juu,cementi juu,vyakula juu,pembejeo juu,kila kitu kiko juu. Unapandisha mafuta Tsh.1000. Unashusha Tsh.300. Halafu mnakuja kusifia anaupiga mwingi. Mwingi kwenda wapi? Nyuma?. Akina Mwiguru wanampotosha mama na matozo yasiyo na tija. Tozo zinaishia mifukoni
NB:- wewe ndio Steve yule chiz wa bongo movie,mpenda sifa?.
ID za kimkakatiUngepunguza chuki kabla ya hoja yako wapi watu wanalia hali ngumu…?
Hivi ni kweli kila anayempinga raisi ni mfuasi wa mwendazake?Wazee wa legacy aka Sukuma gang mkiambiwa ukweli mnakimbilia kusema njoo kitaa uone hali halisi, kwani sisi hatuishi huko kitaa bali tunatokea sayari nyingine kabisa
Itafika imepigwa na kuchakaa, yaani imechoka sana. johnthebaptist tafadhali njoo huku kuna mtu anafuta legacy ya bwana yuleHadi kufika 2025 ligacy ya marehemu sijui itakuwa na hali gani [emoji16][emoji23]
Huu sasa ni uongo ingekua kupanda kwa bei za bidhaa ni kupunguza ukata basi Zimbabwe na Sudan zingekuwa nchi zenye uchumi mkubwa dunianiPamoja na kupanda kwa nauli umesaidia revolving fund kwenye mzunguko hela inapatikana watu hawalii ukata.
Nakumbuka hii kauli ilitolewa kipindi cha mwendakuzimu, jamaa alikuwa muuaji hatari sana. Kumbe unakumbuja mkuu?Ndo nini hiyo legacy? Askari wa akina samia walikuwa na shabaha sana risasi zote zile wasingemkosa lissu.
Siyo kweli, lakini Sukuma gang wao walionyesha nia ya kumpinga Mama toka mwanzo, so wapo wanaompinga na wala siyo Sukuma gang wala wazee wa legacy.Hivi ni kweli kila anayempinga raisi ni mfuasi wa mwendazake?
ID za kimkakati
Ikiwa watu hawalii hali ngumu ilikuwaje raisi akatoa hotuba kuhusu kilio na kusema wanakuja na solution?
Huu sasa ni uongo ingekua kupanda kwa bei za bidhaa ni kupunguza ukata basi Zimbabwe na Sudan zingekuwa nchi zenye uchumi mkubwa duniani