Rais Samia ampongeza Rais Mteule wa Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah, kufuatia ushindi wake wa kihistoria

Rais Samia ampongeza Rais Mteule wa Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah, kufuatia ushindi wake wa kihistoria

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Rais Samia ametoa pongezi za dhati kwa Rais Mteule wa Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah, kufuatia ushindi wake wa kihistoria katika uchaguzi mkuu wa Namibia wa mwaka 2024.
IMG_1230.jpeg

Kupitia ujumbe wake, Rais Samia amesema, "Kwa niaba ya Serikali na Wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, natuma pongezi za dhati kwa Mheshimiwa Netumbo Nandi-Ndaitwah kwa ushindi wako wa kihistoria."

Pia, Soma: Netumbo Nandi-Ndaitwah aweka Historia, awa Rais wa kwanza mwanamke wa Namibia
IMG_1231.jpeg

Aidha, Rais Samia ameongeza kuwa anatarajia kushirikiana na Rais huyo mteule katika kuimarisha uhusiano wa kidugu na wa kihistoria kati ya Tanzania na Namibia.
IMG_1229.jpeg
 
Mwanamke mwingine Africa

Kama wewe ulivyotafsiri

Maana walisema kila mtu kaja kutafuta hela mjini kumbe wengine tumekuja kujiongelesha na mateso
 
Yule Nabii Ndlovu alikuwa anasema:
"The Lord told me there would be two more female presidents in Africa after Ellen Johnson Sirleaf.
Already there has been one Samia Suluhu in Tanzania. The Lord told me there would be another ."
Halafu ilipotokea sintofahamau katika huo Uchaguzi juzi,akaweka prophecy reminder.
 
Rais Samia ametoa pongezi za dhati kwa Rais Mteule wa Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah, kufuatia ushindi wake wa kihistoria katika uchaguzi mkuu wa Namibia wa mwaka 2024.
View attachment 3168409
Kupitia ujumbe wake, Rais Samia amesema, "Kwa niaba ya Serikali na Wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, natuma pongezi za dhati kwa Mheshimiwa Netumbo Nandi-Ndaitwah kwa ushindi wako wa kihistoria."

Pia, Soma: Netumbo Nandi-Ndaitwah aweka Historia, awa Rais wa kwanza mwanamke wa Namibia
View attachment 3168411
Aidha, Rais Samia ameongeza kuwa anatarajia kushirikiana na Rais huyo mteule katika kuimarisha uhusiano wa kidugu na wa kihistoria kati ya Tanzania na Namibia.
View attachment 3168410
Sasa mashujaa wetu makocha wa wizi wa kura wanaweza kurudi na kupokelewa kwa kishindo na rais.
 
Sababu ya kuendelea kugombea hadi 2035 tayari imepatikana

Mbona jirani wa Namibia ameweza tena Kwa kupigiwa kura

Wale Vijana machachali waliojipanga kuchukua fomu 2025-2035, imekula kwao.
 
Rais Samia ametoa pongezi za dhati kwa Rais Mteule wa Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah, kufuatia ushindi wake wa kihistoria katika uchaguzi mkuu wa Namibia wa mwaka 2024.
View attachment 3168409
Kupitia ujumbe wake, Rais Samia amesema, "Kwa niaba ya Serikali na Wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, natuma pongezi za dhati kwa Mheshimiwa Netumbo Nandi-Ndaitwah kwa ushindi wako wa kihistoria."

Pia, Soma: Netumbo Nandi-Ndaitwah aweka Historia, awa Rais wa kwanza mwanamke wa Namibia
View attachment 3168411
Aidha, Rais Samia ameongeza kuwa anatarajia kushirikiana na Rais huyo mteule katika kuimarisha uhusiano wa kidugu na wa kihistoria kati ya Tanzania na Namibia.
View attachment 3168410
Afrika Sasa Ina Marais wanawake 2
 
Hakuna Cha wizi , wapinzani ndio walijichanganya. Kule huwa hakuna wizi. Wizi upo Msumbiji na Zimbabwe. Angola walishatoka huko.
Huko kote hakuna wezi, sisi ndio tunaowapelekea makocha wa wizi na matokeo huwa tunayanua kabla hata ya kumaliza kuhesabu kura.
Uchaguzi wa serikali za mitaa wizi ulinoga kiasi wakasahau kuweka kura zilizoharibika!
 
Rais Samia ametoa pongezi za dhati kwa Rais Mteule wa Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah, kufuatia ushindi wake wa kihistoria katika uchaguzi mkuu wa Namibia wa mwaka 2024.
View attachment 3168409
Kupitia ujumbe wake, Rais Samia amesema, "Kwa niaba ya Serikali na Wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, natuma pongezi za dhati kwa Mheshimiwa Netumbo Nandi-Ndaitwah kwa ushindi wako wa kihistoria."

Pia, Soma: Netumbo Nandi-Ndaitwah aweka Historia, awa Rais wa kwanza mwanamke wa Namibia
View attachment 3168411
Aidha, Rais Samia ameongeza kuwa anatarajia kushirikiana na Rais huyo mteule katika kuimarisha uhusiano wa kidugu na wa kihistoria kati ya Tanzania na Namibia.
View attachment 3168410
Bwana Mayalla you were a good customer and a friend of mine. Lakini siku hizi naona umegeuka chawa wa mama. Hiyo ni list of oresidents/acting presidents. Ujabali wake uko wapi?
Uchumivumeyumba corruption has rusen by over tenfold mauaji nacuteksjinkina kona. Jabali myfoot!
 
Back
Top Bottom