Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
Mama yake anahusika vipi sasa katika swali alilouliza? Kuwa muungwana mkuu. Man Up bro.Huyu ni mwanaccm sio kuingia tu na atatoka akiwa mwenyekiti wa taifa wa ccm kama hutaki kamtafute mamako aingie na yeye
Naunga mkono hoja.Si kweli kuwa ccm rais huwa anakuwa mwemyekiti moja kwa moja, zipo taratibu ambazo hufuatwa na kumchagua mwenyekiti ambaye hutokea kuwa ni rais. Na kwa utaratibu huo huo wale viongozi wakuu wa 3 wa serikali ya muungano, wa 2 wa serikali znz na maspika wa bunge na blw huwa wajumbe wa kk kwa nyadhifa zao, jambo hili halina limit kwa makamu tuu. JPM alihudhuria KK pindi alipoteuliwa tuu kuwa mgombea wetu wa urais na aliendelea kuhudhuria vikao hivyo kama mjumbe mpaka alipochaguliwa na wajumbe kuwa mwenyekiti wa chama, imekuwa hivyo wakati wote na ndipo rais Samia alipopata uhalali hapo. Naye ndiye atakuwa mwenyekiti wetu hivi karibuni.
Huyo ni mwana CCM mwenzenu anamtusi mama wa mwenzakeMama yake anahusika vipi sasa katika swali alilouliza? Kuwa muungwana mkuu. Man Up bro.
Nyie ndio mnafanya siasa yote ionekane imejaa watu wa hovyo.
Mjibu aliyeuliza swali habari ya mzazi wake achana nayoHuyu ni mwanaccm sio kuingia tu na atatoka akiwa mwenyekiti wa taifa wa ccm kama hutaki kamtafute mamako aingie na yeye
Ha ha ha haHuyu ni mwanaccm sio kuingia tu na atatoka akiwa mwenyekiti wa taifa wa ccm kama hutaki kamtafute mamako aingie na yeye
Wadau nijulisheni,
Samia Suluhu Hassan alikuwa anaingia kwenye Kamati Kuu ya CCM kama makamu wa rais enzi za John Magufuli. Sasa hana umakamu wa rais uliokuwa unamuingiza humo.
Nasema hivyo kwa sababu CCM Rais ni moja kwa moja ni mwenyekiti.
Hivyo Rais anapohudhuria vikao vya CCM haingii kwa nafasi nyingine bali anaingia kama mwenyekiti wa CCM.
Sasa Rais Samia siyo mwenyekiti wa CCM wala siyo tena makamu wa Rais.
Je, anaingia vikao vya kamati kuu kama nani?
Hujatumia busara yako vizuri...Huyu ni mwanaccm sio kuingia tu na atatoka akiwa mwenyekiti wa taifa wa ccm kama hutaki kamtafute mamako aingie na yeye
Sio tu anaingia kama nani?Wadau nijulisheni,
Samia Suluhu Hassan alikuwa anaingia kwenye Kamati Kuu ya CCM kama makamu wa rais enzi za John Magufuli. Sasa hana umakamu wa rais uliokuwa unamuingiza humo.
Nasema hivyo kwa sababu CCM Rais ni moja kwa moja ni mwenyekiti.
Hivyo Rais anapohudhuria vikao vya CCM haingii kwa nafasi nyingine bali anaingia kama mwenyekiti wa CCM.
Sasa Rais Samia siyo mwenyekiti wa CCM wala siyo tena makamu wa Rais.
Je, anaingia vikao vya kamati kuu kama nani?
Kwani Magufuli baada ya kuwa rais alikuwa anaingia kwenye vikao vya kamati kuu kama nani maana bado Kikwete alibaki kuwa mwenyekiti?Wadau nijulisheni,
Samia Suluhu Hassan alikuwa anaingia kwenye Kamati Kuu ya CCM kama makamu wa rais enzi za John Magufuli. Sasa hana umakamu wa rais uliokuwa unamuingiza humo.
Nasema hivyo kwa sababu CCM Rais ni moja kwa moja ni mwenyekiti.
Hivyo Rais anapohudhuria vikao vya CCM haingii kwa nafasi nyingine bali anaingia kama mwenyekiti wa CCM.
Sasa Rais Samia siyo mwenyekiti wa CCM wala siyo tena makamu wa Rais.
Je, anaingia vikao vya kamati kuu kama nani?
Mnahangaika Sana, mngekubali Rasimu Ya Warioba yasingewakuta haya leoWadau nijulisheni,
Samia Suluhu Hassan alikuwa anaingia kwenye Kamati Kuu ya CCM kama makamu wa rais enzi za John Magufuli. Sasa hana umakamu wa rais uliokuwa unamuingiza humo.
Nasema hivyo kwa sababu CCM Rais ni moja kwa moja ni mwenyekiti.
Hivyo Rais anapohudhuria vikao vya CCM haingii kwa nafasi nyingine bali anaingia kama mwenyekiti wa CCM.
Sasa Rais Samia siyo mwenyekiti wa CCM wala siyo tena makamu wa Rais.
Je, anaingia vikao vya kamati kuu kama nani?
Mkuu punguza jazba, mwezi wa mfungo huu😁😁
Wewe mpumbavu, kwani mamako hawezi kuyafanya hayo unayowatuma mama wa wengine? Mbona imekuwa na majibu ya kipumbavu Sana ya kuwahusisha mama wa mtoa hoja huku mamako ukimtenga Kama kwamba ni zuzu asiyejua lolote zaidi ya kubeba mimba yako na kukuzaa! Huo ni uwomanizer na udhalilishaji wa mama wa wengine as if wa kwako ni Bora zaidi!Huyu ni mwanaccm sio kuingia tu na atatoka akiwa mwenyekiti wa taifa wa ccm kama hutaki kamtafute mamako aingie na yeye
Wamezishikiza kwa lile zezeta likasepa nazo kwenda ubeberuniHivi Akili zenu huwa mnazipeleka wapi?
..mataga mnatia sana.
Tutaelewana kabla ya 2025Wadau nijulisheni,
Samia Suluhu Hassan alikuwa anaingia kwenye Kamati Kuu ya CCM kama makamu wa rais enzi za John Magufuli. Sasa hana umakamu wa rais uliokuwa unamuingiza humo.
Nasema hivyo kwa sababu CCM Rais ni moja kwa moja ni mwenyekiti.
Hivyo Rais anapohudhuria vikao vya CCM haingii kwa nafasi nyingine bali anaingia kama mwenyekiti wa CCM.
Sasa Rais Samia siyo mwenyekiti wa CCM wala siyo tena makamu wa Rais.
Je, anaingia vikao vya kamati kuu kama nani?