Kama rais baada ya rais mpenda misifa kutwaliwaWadau nijulisheni,
Samia Suluhu Hassan alikuwa anaingia kwenye Kamati Kuu ya CCM kama makamu wa rais enzi za John Magufuli. Sasa hana umakamu wa rais uliokuwa unamuingiza humo.
Nasema hivyo kwa sababu CCM Rais ni moja kwa moja ni mwenyekiti.
Hivyo Rais anapohudhuria vikao vya CCM haingii kwa nafasi nyingine bali anaingia kama mwenyekiti wa CCM.
Sasa Rais Samia siyo mwenyekiti wa CCM wala siyo tena makamu wa Rais.
Je, anaingia vikao vya kamati kuu kama nani?
Kabla kikwete hajakabidhi kijiti Magufuli alikuwa anaingia kama nani?Wadau nijulisheni,
Samia Suluhu Hassan alikuwa anaingia kwenye Kamati Kuu ya CCM kama makamu wa rais enzi za John Magufuli. Sasa hana umakamu wa rais uliokuwa unamuingiza humo.
Nasema hivyo kwa sababu CCM Rais ni moja kwa moja ni mwenyekiti.
Hivyo Rais anapohudhuria vikao vya CCM haingii kwa nafasi nyingine bali anaingia kama mwenyekiti wa CCM.
Sasa Rais Samia siyo mwenyekiti wa CCM wala siyo tena makamu wa Rais.
Je, anaingia vikao vya kamati kuu kama nani?
Acha kuzunguka-zunguka. NDIYE M/Kiti ajae wa Chama chenu. Matarajio mengine mliyonayo kuhusu hili hayatatimia. Jiandaae tu kisaikolojia.Wadau nijulisheni,
Samia Suluhu Hassan alikuwa anaingia kwenye Kamati Kuu ya CCM kama makamu wa rais enzi za John Magufuli. Sasa hana umakamu wa rais uliokuwa unamuingiza humo.
Nasema hivyo kwa sababu CCM Rais ni moja kwa moja ni mwenyekiti.
Hivyo Rais anapohudhuria vikao vya CCM haingii kwa nafasi nyingine bali anaingia kama mwenyekiti wa CCM.
Sasa Rais Samia siyo mwenyekiti wa CCM wala siyo tena makamu wa Rais.
Je, anaingia vikao vya kamati kuu kama nani?
Kama nanikama nani?
Mkuu ikumbukwe kuwa SSH ni mjumbe wa KK ya CCM hata kabla hajawa makamu wa Rais. Kwa hiyo tofauti na kofia ya umakamu aliyoipata pia alikuwa na sifa ya kuingia kwenye KK.Wadau nijulisheni,
Samia Suluhu Hassan alikuwa anaingia kwenye Kamati Kuu ya CCM kama makamu wa rais enzi za John Magufuli. Sasa hana umakamu wa rais uliokuwa unamuingiza humo.
Nasema hivyo kwa sababu CCM Rais ni moja kwa moja ni mwenyekiti.
Hivyo Rais anapohudhuria vikao vya CCM haingii kwa nafasi nyingine bali anaingia kama mwenyekiti wa CCM.
Sasa Rais Samia siyo mwenyekiti wa CCM wala siyo tena makamu wa Rais.
Je, anaingia vikao vya kamati kuu kama nani?
Huyo ni nyumbu wa ufipani....nduguyo
Nawaheshimu sana watu mnaoandika na viambatisho 👍Naunga mkono hoja.
Katiba ya CCM inasema [emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1764895View attachment 1764897