Rais Samia anajaribu kuendesha nchi kama Hayati Dkt. Magufuli?

Rais Samia anajaribu kuendesha nchi kama Hayati Dkt. Magufuli?

rosemarie

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
6,887
Reaction score
3,420
Habari za kukamatwa kwa Mwenyekiti wa Chadema Mbowe na watendaji wengine wa Chama huko Mwanza zinashangaza sana
Watanzania wanajiuliza Rais Samia anajaribu kuiga au kumuiga Magufuli?

Maswali yamekuwa mengi kwani hana leadership style ya kwake ya kufanya kazi?

Kwani zile ahadi alizotoa za kutonyanyasa na kudhulumu haki za watu ikiwepo kukamata watu kwa kuwaonea alikuwa anadanganya?

Kwani pamoja na kuvaa ushungi akionesha ni mcha Mungu, anawadanganya watu au anajidanganya mwenyewe au anajaribu kumdanganya Mungu?

Watanzania fungueni macho sasa tunahitaji katiba mpya na muundo mpya utakaoweza kuendesha serikali yetu.

CCM wanatuchelewesha kufika tunakotaka kwenda, wanaogopa demokrasia na katiba mpya utafikiri nchi mali yao.

Natoa wito Watanzania wote tuamke tuchukue nchi yetu iendeshwe tunavyotaka.
 
Habari za kukamatwa kwa Mwenyekiti wa Chadema Mbowe na watendaji wengine wa Chama huko Mwanza zinashangaza sana
watanzania wanajiuliza hivi huyu mama anajaribu kuiga au kumuiga Magufuli??
maswali yamekuwa mengi kwani huyu Mama hana leadership style ya kwake ya kufanya kazi?
kwani huyu Mama zile ahadi alizotoa za kutonyanyasa na kudhulumu haki za watu ikiwepo kukamata watu kwa kuwaonea alikuwa anadanganya>??
kwani huyu Mama pamoja na kuvaa ushungi akionyesha ni mcha Mungu anawadanganya watu au anajidanganya mwenyewe au anajaribu kumdanganya Mungu??
watanzania fungueni macho sasa tunahitaji katiba mpya na muundo mpya utakaoweza kuendesha serikali yetu
ccm wanatuchelewesha kufika tunakotaka kwenda,wanaogopa demokrasia na katiba mpya utafikiri nchi mali yao
natoa wito watanzania wote tuamke tuchukue nchi yetu iendeshwe tunavyotaka
Kama kweli mwambie asiige kunya kwa tembo...
 
Kulikoni huko Mwanza,naona taarifa nusunusu
 
Tatizo ameacha kuwa yeye ili aje na leadership style inayomfit .....Hayati alivokuwa vile hakuiga mtu,ndivo alivokuwa..ngoja tushuhudie msamba wa mtu unavopasuka maana anaiga kunya kwa ndovu.
 
Mbona alishasema yeye na yule ni kitu kimoja..!!
 
Mama amerithi urais, akarithi na wasaidizi wa Magufuli, matokeo yake wanamshinikiza atawale kama Magufuli, kwani ndio salama ya wao kubaki na madaraka ya mbeleko. Ukweli ni kuwa ccm imeshazidiwa ushawishi kwa wananchi kisiasa na cdm, wanaccm wote ikiwemo Magufuli walilijua hilo, ndio maana ikabidi wazuie siasa wabaki wenyewe. Mwanzoni mama alitaka kusimamia haki, lakini wasaidizi wake wake na wanaccm wenzake wamemkumbusha ukweli kuwa ccm imeshazeeka, hivyo akiruhusu ushindani sawa ccm ndio itapoteza. Namna pekee ni kutumia mabavu kuilinda ccm ambapo ndio mlo wao unakotokea.
 
Bado kidogo tu.
FB_IMG_1626726002847.jpg
 
Habari za kukamatwa kwa Mwenyekiti wa Chadema Mbowe na watendaji wengine wa Chama huko Mwanza zinashangaza sana
watanzania wanajiuliza hivi huyu mama anajaribu kuiga au kumuiga Magufuli??
maswali yamekuwa mengi kwani huyu Mama hana leadership style ya kwake ya kufanya kazi?
kwani huyu Mama zile ahadi alizotoa za kutonyanyasa na kudhulumu haki za watu ikiwepo kukamata watu kwa kuwaonea alikuwa anadanganya>??
kwani huyu Mama pamoja na kuvaa ushungi akionyesha ni mcha Mungu anawadanganya watu au anajidanganya mwenyewe au anajaribu kumdanganya Mungu??
watanzania fungueni macho sasa tunahitaji katiba mpya na muundo mpya utakaoweza kuendesha serikali yetu
ccm wanatuchelewesha kufika tunakotaka kwenda,wanaogopa demokrasia na katiba mpya utafikiri nchi mali yao
natoa wito watanzania wote tuamke tuchukue nchi yetu iendeshwe tunavyotaka
Maza hana sauti, kama alishindwa kumshauri mzee akiwa kama makamu hawezi maana ni wazi nae ni muungwana wa mabaya yalitendeka hivyo hana budi kuyaenzi ,system ilivyo ni ngumu hamna kitakachobadilika
 
Kama kweli mwambie asiige kunya kwa tembo...
Habari za kukamatwa kwa Mwenyekiti wa Chadema Mbowe na watendaji wengine wa Chama huko Mwanza zinashangaza sana
Watanzania wanajiuliza Rais Samia anajaribu kuiga au kumuiga Magufuli?

Maswali yamekuwa mengi kwani hana leadership style ya kwake ya kufanya kazi?

Kwani zile ahadi alizotoa za kutonyanyasa na kudhulumu haki za watu ikiwepo kukamata watu kwa kuwaonea alikuwa anadanganya?

Kwani pamoja na kuvaa ushungi akionesha ni mcha Mungu, anawadanganya watu au anajidanganya mwenyewe au anajaribu kumdanganya Mungu?

Watanzania fungueni macho sasa tunahitaji katiba mpya na muundo mpya utakaoweza kuendesha serikali yetu.

CCM wanatuchelewesha kufika tunakotaka kwenda, wanaogopa demokrasia na katiba mpya utafikiri nchi mali yao.

Natoa wito Watanzania wote tuamke tuchukue nchi yetu iendeshwe tunavyotaka.
Ubaya ni kwamba, Chadema mlikuwa mna mbeep mama.. saivi anaonyesha kwamba hapendi kuchezewa, mmeanza kulalamika, tulieni tuijenge nchi nyie wanavurugu
 
Mama Samia ni kama anapoteza muda tu badala ashugulike na mambo ya uchumi yeye kawekeza kwenye siasa za hovyohovyo
 
Habari za kukamatwa kwa Mwenyekiti wa Chadema Mbowe na watendaji wengine wa Chama huko Mwanza zinashangaza sana
Watanzania wanajiuliza Rais Samia anajaribu kuiga au kumuiga Magufuli?

Maswali yamekuwa mengi kwani hana leadership style ya kwake ya kufanya kazi?

Kwani zile ahadi alizotoa za kutonyanyasa na kudhulumu haki za watu ikiwepo kukamata watu kwa kuwaonea alikuwa anadanganya?

Kwani pamoja na kuvaa ushungi akionesha ni mcha Mungu, anawadanganya watu au anajidanganya mwenyewe au anajaribu kumdanganya Mungu?

Watanzania fungueni macho sasa tunahitaji katiba mpya na muundo mpya utakaoweza kuendesha serikali yetu.

CCM wanatuchelewesha kufika tunakotaka kwenda, wanaogopa demokrasia na katiba mpya utafikiri nchi mali yao.

Natoa wito Watanzania wote tuamke tuchukue nchi yetu iendeshwe tunavyotaka.
Wakaidi wa Sheria na maelekezo ya serikali ni budi kufundishwa
 
Mama anaanza kujitia madoa bila sababu. Azingatie katiba ma sheria za nchi
 
Anakamata wapinzani ili kujisafisha kwa watu wa kanda ya ziwa ionekane anafuata nyayo za magufuli ila asichokijua ni kuwa watu wa kanda ya ziwa hawampendi tu hata afanyaje
 
Back
Top Bottom