Rais Samia anajaribu kuendesha nchi kama Hayati Dkt. Magufuli?

Rais Samia anajaribu kuendesha nchi kama Hayati Dkt. Magufuli?

Watanzania fungueni macho sasa tunahitaji katiba mpya na muundo mpya utakaoweza kuendesha serikali yetu.

CCM wanatuchelewesha kufika tunakotaka kwenda, wanaogopa demokrasia na katiba mpya utafikiri nchi mali yao.
Si juzi mbowe katoka kusema chanjo ya corona ni lazima wakati huo yupo kiguu na njia kuisambaza corona.

Polisi wamemsaidia asiisambaze corona.
 
Habari za kukamatwa kwa Mwenyekiti wa Chadema Mbowe na watendaji wengine wa Chama huko Mwanza zinashangaza sana
Watanzania wanajiuliza Rais Samia anajaribu kuiga au kumuiga Magufuli?

Maswali yamekuwa mengi kwani hana leadership style ya kwake ya kufanya kazi?

Kwani zile ahadi alizotoa za kutonyanyasa na kudhulumu haki za watu ikiwepo kukamata watu kwa kuwaonea alikuwa anadanganya?

Kwani pamoja na kuvaa ushungi akionesha ni mcha Mungu, anawadanganya watu au anajidanganya mwenyewe au anajaribu kumdanganya Mungu?

Watanzania fungueni macho sasa tunahitaji katiba mpya na muundo mpya utakaoweza kuendesha serikali yetu.

CCM wanatuchelewesha kufika tunakotaka kwenda, wanaogopa demokrasia na katiba mpya utafikiri nchi mali yao.

Natoa wito Watanzania wote tuamke tuchukue nchi yetu iendeshwe tunavyotaka.
Mbowe et al; wakipewa Uhuru, wanaongea kupitiliza, ngoja wanyolewe mpaka 2025 tena
 
Anakamata wapinzani ili kujisafisha kwa watu wa kanda ya ziwa ionekane anafuata nyayo za magufuli ila asichokijua ni kuwa watu wa kanda ya ziwa hawampendi tu hata afanyaje
Msemaji wa kanda ofisi yako inapatikana wap
 
Habari za kukamatwa kwa Mwenyekiti wa Chadema Mbowe na watendaji wengine wa Chama huko Mwanza zinashangaza sana
Watanzania wanajiuliza Rais Samia anajaribu kuiga au kumuiga Magufuli?

Maswali yamekuwa mengi kwani hana leadership style ya kwake ya kufanya kazi?

Kwani zile ahadi alizotoa za kutonyanyasa na kudhulumu haki za watu ikiwepo kukamata watu kwa kuwaonea alikuwa anadanganya?

Kwani pamoja na kuvaa ushungi akionesha ni mcha Mungu, anawadanganya watu au anajidanganya mwenyewe au anajaribu kumdanganya Mungu?

Watanzania fungueni macho sasa tunahitaji katiba mpya na muundo mpya utakaoweza kuendesha serikali yetu.

CCM wanatuchelewesha kufika tunakotaka kwenda, wanaogopa demokrasia na katiba mpya utafikiri nchi mali yao.

Natoa wito Watanzania wote tuamke tuchukue nchi yetu iendeshwe tunavyotaka.
Those are illusions - hamuwezi kuchukua nchi na ikaendeshwa mnavyo taka! Nipe mfano, ni nchi gani inayoendeshwa kama wananchi wote wanavyo taka?
 
Habari za kukamatwa kwa Mwenyekiti wa Chadema Mbowe na watendaji wengine wa Chama huko Mwanza zinashangaza sana
Watanzania wanajiuliza Rais Samia anajaribu kuiga au kumuiga Magufuli?

Maswali yamekuwa mengi kwani hana leadership style ya kwake ya kufanya kazi?

Kwani zile ahadi alizotoa za kutonyanyasa na kudhulumu haki za watu ikiwepo kukamata watu kwa kuwaonea alikuwa anadanganya?

Kwani pamoja na kuvaa ushungi akionesha ni mcha Mungu, anawadanganya watu au anajidanganya mwenyewe au anajaribu kumdanganya Mungu?

Watanzania fungueni macho sasa tunahitaji katiba mpya na muundo mpya utakaoweza kuendesha serikali yetu.

CCM wanatuchelewesha kufika tunakotaka kwenda, wanaogopa demokrasia na katiba mpya utafikiri nchi mali yao.

Natoa wito Watanzania wote tuamke tuchukue nchi yetu iendeshwe tunavyotaka.
Nafikiri ndicho anachomaanisha kwa kauli yake tata “kazi iendelee”.
 
Habari za kukamatwa kwa Mwenyekiti wa Chadema Mbowe na watendaji wengine wa Chama huko Mwanza zinashangaza sana
Watanzania wanajiuliza Rais Samia anajaribu kuiga au kumuiga Magufuli?

Maswali yamekuwa mengi kwani hana leadership style ya kwake ya kufanya kazi?

Kwani zile ahadi alizotoa za kutonyanyasa na kudhulumu haki za watu ikiwepo kukamata watu kwa kuwaonea alikuwa anadanganya?

Kwani pamoja na kuvaa ushungi akionesha ni mcha Mungu, anawadanganya watu au anajidanganya mwenyewe au anajaribu kumdanganya Mungu?

Watanzania fungueni macho sasa tunahitaji katiba mpya na muundo mpya utakaoweza kuendesha serikali yetu.

CCM wanatuchelewesha kufika tunakotaka kwenda, wanaogopa demokrasia na katiba mpya utafikiri nchi mali yao.

Natoa wito Watanzania wote tuamke tuchukue nchi yetu iendeshwe tunavyotaka.
Hivi Rais Samia ndio kamkamata Mbowe?

Kwani hii Nchi haina Vyombo? Haina Taasisi zinazofanya uchunguzi wa kisheria kwenye masuala ya Ugaidi na Usalama kwa ujumla?

Kama ameonewa si mkajenge hoja za Kisheria Mahakamani ili aachiwe?

Enyi Nyumbu, Je mmelogwa?
 
Habari za kukamatwa kwa Mwenyekiti wa Chadema Mbowe na watendaji wengine wa Chama huko Mwanza zinashangaza sana
Watanzania wanajiuliza Rais Samia anajaribu kuiga au kumuiga Magufuli?

Maswali yamekuwa mengi kwani hana leadership style ya kwake ya kufanya kazi?

Kwani zile ahadi alizotoa za kutonyanyasa na kudhulumu haki za watu ikiwepo kukamata watu kwa kuwaonea alikuwa anadanganya?

Kwani pamoja na kuvaa ushungi akionesha ni mcha Mungu, anawadanganya watu au anajidanganya mwenyewe au anajaribu kumdanganya Mungu?

Watanzania fungueni macho sasa tunahitaji katiba mpya na muundo mpya utakaoweza kuendesha serikali yetu.

CCM wanatuchelewesha kufika tunakotaka kwenda, wanaogopa demokrasia na katiba mpya utafikiri nchi mali yao.

Natoa wito Watanzania wote tuamke tuchukue nchi yetu iendeshwe tunavyotaka.
Hawajakamatwa na mama, wamekamatwa na polisi, usipotoshe!! Yaani akihatarisha nchi aachwe tu nila kuhojiwa!!
 
Back
Top Bottom