Si juzi mbowe katoka kusema chanjo ya corona ni lazima wakati huo yupo kiguu na njia kuisambaza corona.Watanzania fungueni macho sasa tunahitaji katiba mpya na muundo mpya utakaoweza kuendesha serikali yetu.
CCM wanatuchelewesha kufika tunakotaka kwenda, wanaogopa demokrasia na katiba mpya utafikiri nchi mali yao.
Mbowe et al; wakipewa Uhuru, wanaongea kupitiliza, ngoja wanyolewe mpaka 2025 tenaHabari za kukamatwa kwa Mwenyekiti wa Chadema Mbowe na watendaji wengine wa Chama huko Mwanza zinashangaza sana
Watanzania wanajiuliza Rais Samia anajaribu kuiga au kumuiga Magufuli?
Maswali yamekuwa mengi kwani hana leadership style ya kwake ya kufanya kazi?
Kwani zile ahadi alizotoa za kutonyanyasa na kudhulumu haki za watu ikiwepo kukamata watu kwa kuwaonea alikuwa anadanganya?
Kwani pamoja na kuvaa ushungi akionesha ni mcha Mungu, anawadanganya watu au anajidanganya mwenyewe au anajaribu kumdanganya Mungu?
Watanzania fungueni macho sasa tunahitaji katiba mpya na muundo mpya utakaoweza kuendesha serikali yetu.
CCM wanatuchelewesha kufika tunakotaka kwenda, wanaogopa demokrasia na katiba mpya utafikiri nchi mali yao.
Natoa wito Watanzania wote tuamke tuchukue nchi yetu iendeshwe tunavyotaka.
Elewa we ndugu,mtu aliefanya vizuri husifiwa,na mtu huyohuyo aliefanya vibaya hulaumiwa.Mlianza kumsifu hamkujuwa kwamba ametoka familia hiyo hiyo ya panya.
Hoja ya kijinga Sana hii.Si juzi mbowe katoka kusema chanjo ya corona ni lazima wakati huo yupo kiguu na njia kuisambaza corona.
Polisi wamemsaidia asiisambaze corona.
Ya kijinga kiaje bro? Mbowe anasaidiwa asiisambaze corona, ni juzi tu ametoka kumzika kaka yake.Hoja ya kijinga Sana hii.
Nyinyi ndio mtaji wa CCM.
Siasa ni mchezo mchafu wacha wachezeane baadae wataungana tu haoUbaya ni kwamba, Chadema mlikuwa mna mbeep mama.. saivi anaonyesha kwamba hapendi kuchezewa, mmeanza kulalamika, tulieni tuijenge nchi nyie wanavurugu
Msemaji wa kanda ofisi yako inapatikana wapAnakamata wapinzani ili kujisafisha kwa watu wa kanda ya ziwa ionekane anafuata nyayo za magufuli ila asichokijua ni kuwa watu wa kanda ya ziwa hawampendi tu hata afanyaje
Those are illusions - hamuwezi kuchukua nchi na ikaendeshwa mnavyo taka! Nipe mfano, ni nchi gani inayoendeshwa kama wananchi wote wanavyo taka?Habari za kukamatwa kwa Mwenyekiti wa Chadema Mbowe na watendaji wengine wa Chama huko Mwanza zinashangaza sana
Watanzania wanajiuliza Rais Samia anajaribu kuiga au kumuiga Magufuli?
Maswali yamekuwa mengi kwani hana leadership style ya kwake ya kufanya kazi?
Kwani zile ahadi alizotoa za kutonyanyasa na kudhulumu haki za watu ikiwepo kukamata watu kwa kuwaonea alikuwa anadanganya?
Kwani pamoja na kuvaa ushungi akionesha ni mcha Mungu, anawadanganya watu au anajidanganya mwenyewe au anajaribu kumdanganya Mungu?
Watanzania fungueni macho sasa tunahitaji katiba mpya na muundo mpya utakaoweza kuendesha serikali yetu.
CCM wanatuchelewesha kufika tunakotaka kwenda, wanaogopa demokrasia na katiba mpya utafikiri nchi mali yao.
Natoa wito Watanzania wote tuamke tuchukue nchi yetu iendeshwe tunavyotaka.
Kule kanda pendwa huyo mama yenu hapendwi huo ndio ukweliMsemaji wa kanda ofisi yako inapatikana wap
Nafikiri ndicho anachomaanisha kwa kauli yake tata “kazi iendelee”.Habari za kukamatwa kwa Mwenyekiti wa Chadema Mbowe na watendaji wengine wa Chama huko Mwanza zinashangaza sana
Watanzania wanajiuliza Rais Samia anajaribu kuiga au kumuiga Magufuli?
Maswali yamekuwa mengi kwani hana leadership style ya kwake ya kufanya kazi?
Kwani zile ahadi alizotoa za kutonyanyasa na kudhulumu haki za watu ikiwepo kukamata watu kwa kuwaonea alikuwa anadanganya?
Kwani pamoja na kuvaa ushungi akionesha ni mcha Mungu, anawadanganya watu au anajidanganya mwenyewe au anajaribu kumdanganya Mungu?
Watanzania fungueni macho sasa tunahitaji katiba mpya na muundo mpya utakaoweza kuendesha serikali yetu.
CCM wanatuchelewesha kufika tunakotaka kwenda, wanaogopa demokrasia na katiba mpya utafikiri nchi mali yao.
Natoa wito Watanzania wote tuamke tuchukue nchi yetu iendeshwe tunavyotaka.
Hivi Rais Samia ndio kamkamata Mbowe?Habari za kukamatwa kwa Mwenyekiti wa Chadema Mbowe na watendaji wengine wa Chama huko Mwanza zinashangaza sana
Watanzania wanajiuliza Rais Samia anajaribu kuiga au kumuiga Magufuli?
Maswali yamekuwa mengi kwani hana leadership style ya kwake ya kufanya kazi?
Kwani zile ahadi alizotoa za kutonyanyasa na kudhulumu haki za watu ikiwepo kukamata watu kwa kuwaonea alikuwa anadanganya?
Kwani pamoja na kuvaa ushungi akionesha ni mcha Mungu, anawadanganya watu au anajidanganya mwenyewe au anajaribu kumdanganya Mungu?
Watanzania fungueni macho sasa tunahitaji katiba mpya na muundo mpya utakaoweza kuendesha serikali yetu.
CCM wanatuchelewesha kufika tunakotaka kwenda, wanaogopa demokrasia na katiba mpya utafikiri nchi mali yao.
Natoa wito Watanzania wote tuamke tuchukue nchi yetu iendeshwe tunavyotaka.
Hawajakamatwa na mama, wamekamatwa na polisi, usipotoshe!! Yaani akihatarisha nchi aachwe tu nila kuhojiwa!!Habari za kukamatwa kwa Mwenyekiti wa Chadema Mbowe na watendaji wengine wa Chama huko Mwanza zinashangaza sana
Watanzania wanajiuliza Rais Samia anajaribu kuiga au kumuiga Magufuli?
Maswali yamekuwa mengi kwani hana leadership style ya kwake ya kufanya kazi?
Kwani zile ahadi alizotoa za kutonyanyasa na kudhulumu haki za watu ikiwepo kukamata watu kwa kuwaonea alikuwa anadanganya?
Kwani pamoja na kuvaa ushungi akionesha ni mcha Mungu, anawadanganya watu au anajidanganya mwenyewe au anajaribu kumdanganya Mungu?
Watanzania fungueni macho sasa tunahitaji katiba mpya na muundo mpya utakaoweza kuendesha serikali yetu.
CCM wanatuchelewesha kufika tunakotaka kwenda, wanaogopa demokrasia na katiba mpya utafikiri nchi mali yao.
Natoa wito Watanzania wote tuamke tuchukue nchi yetu iendeshwe tunavyotaka.