Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba wa Taifa Nyerere, how come Mama wa Taifa awe huyo!!??Wakuu,
Kama bado hujaenda kujiandikisha kupiga kura tafadhali tazama picha hii ya Rais Samia na Nyerere kwa nyakati tofauti wakiwa kwenye foleni wanasubiri zamu zao zifike!
Sina mengi ya kusema nadhani picha inajieleza.
😀 😀
Pia soma: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Kama nimekuona kwenye foleni?Kondoo tutawaona, hawajifichi.
Ni kweli kabisaNyerere kachangia pakubwa sana kudumaza hii nchi.
Kuna mbunge alitoa hiyo hoja bungeni; na meza ziligongwa kweli kweli kidogo zitoboke. Labda walishapitishaSamia sio mama wa taifa
ni mama wa taifa la zanzibarSamia sio mama wa taifa
Hizi Siasa za Maigizo hizi...!Wakuu,
Kama bado hujaenda kujiandikisha kupiga kura tafadhali tazama picha hii ya Rais Samia na Nyerere kwa nyakati tofauti wakiwa kwenye foleni wanasubiri zamu zao zifike!
Sina mengi ya kusema nadhani picha inajieleza.
😀 😀
Pia soma: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
🤣We jamaa umejua kunichekesha
ata nyerere alikuwa mwanamaigizo isee hapo wamejaa usalamaWakuu,
Kama bado hujaenda kujiandikisha kupiga kura tafadhali tazama picha hii ya Rais Samia na Nyerere kwa nyakati tofauti wakiwa kwenye foleni wanasubiri zamu zao zifike!
Sina mengi ya kusema nadhani picha inajieleza.
😀 😀
Pia soma: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025