Stroke JF-Expert Member Joined Feb 17, 2012 Posts 37,630 Reaction score 47,434 Oct 12, 2024 #41 masikini mnyenyekevu said: Baba wa Taifa Nyerere, how come Mama wa Taifa awe huyo!!?? Click to expand... Aisee kazi kweli kweli hapo unajiuliza walioana lini?? Kajiandikisheni kupiga kura na sio kuandamana mitandaoni tu. Kaandamaneni kwenye maboksi ya kura.
masikini mnyenyekevu said: Baba wa Taifa Nyerere, how come Mama wa Taifa awe huyo!!?? Click to expand... Aisee kazi kweli kweli hapo unajiuliza walioana lini?? Kajiandikisheni kupiga kura na sio kuandamana mitandaoni tu. Kaandamaneni kwenye maboksi ya kura.
M masikini mnyenyekevu Senior Member Joined Sep 17, 2024 Posts 120 Reaction score 133 Oct 12, 2024 #42 Stroke said: Aisee kazi kweli kweli hapo unajiuliza walioana lini?? Kajiandikisheni kupiga kura na sio kuandamana mitandaoni tu. Kaandamaneni kwenye maboksi ya kura. Click to expand... Siku nikiwa na imani ya kura yangu kuthaminiwa ndiyo siku nitakapojiandikisha na kupiga kura.
Stroke said: Aisee kazi kweli kweli hapo unajiuliza walioana lini?? Kajiandikisheni kupiga kura na sio kuandamana mitandaoni tu. Kaandamaneni kwenye maboksi ya kura. Click to expand... Siku nikiwa na imani ya kura yangu kuthaminiwa ndiyo siku nitakapojiandikisha na kupiga kura.
Lambardi Platinum Member Joined Feb 7, 2008 Posts 18,813 Reaction score 21,830 Oct 12, 2024 #43 Baada picha kupigwa kilichofuata.....kwenda kujiandikisha kuacha wale mazombie pale pale yeye akasepa....maigizo.com
Baada picha kupigwa kilichofuata.....kwenda kujiandikisha kuacha wale mazombie pale pale yeye akasepa....maigizo.com
Lambardi Platinum Member Joined Feb 7, 2008 Posts 18,813 Reaction score 21,830 Oct 12, 2024 #44 masikini mnyenyekevu said: Siku nikiwa na imani ya kura yangu kuthaminiwa ndiyo siku nitakapojiandikisha na kupiga kura. Click to expand... Ref CAG mstaafu Prof Assad
masikini mnyenyekevu said: Siku nikiwa na imani ya kura yangu kuthaminiwa ndiyo siku nitakapojiandikisha na kupiga kura. Click to expand... Ref CAG mstaafu Prof Assad
S Sappire JF-Expert Member Joined Mar 19, 2024 Posts 3,447 Reaction score 8,896 Oct 12, 2024 #45 Huyu bibi inaonekana ni alikuwa ni muigizaji