kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Hata Rais anashindwa kuongea na wapinzani kwakuwa wamenyambukanyambuka, hajui aongee na nani.
Je, ni kweli wapinzani mmenyambukanyambuka? Kumuona Mbowe pekee akiwa kwenye kurasa za mbele za magazeni ndio ukweli kuwa mmenyambukanyambuka?
Zitto, Mbatia, Lipumba, Rungwe na wapinzani wengine wapendekeze Njia mbadala na rahisi ya kupata tume huru ya uchaguzi inayokubalika kwa wapinzani kabla 2025, maana muda unakwenda kuelekea 2025.
Je, ni kweli wapinzani mmenyambukanyambuka? Kumuona Mbowe pekee akiwa kwenye kurasa za mbele za magazeni ndio ukweli kuwa mmenyambukanyambuka?
Zitto, Mbatia, Lipumba, Rungwe na wapinzani wengine wapendekeze Njia mbadala na rahisi ya kupata tume huru ya uchaguzi inayokubalika kwa wapinzani kabla 2025, maana muda unakwenda kuelekea 2025.