The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Rais wa Jamuhuri wa muunngano wa Tanzania Mh Dkt Samia Suluhu Hassani anatarajiwa kuzindua mradi wa maji wa Mwanga,Same,Korogwe wenye thamani ya zaidi ya Bilion 300 utakao wanufaisha wakazi wa wilaya ya Mwanga na Same Mkoani Kilimanjaro
Akizungumza March 4,2025 Mkuu wa Wilaya ya Mwanga Bi. Mwanahamisi Mankunda amewataka wananchi wa Wilaya ya Mwanga kujitokeza kwa wingi kuja kumpokea Rais Dkt Samia Suluhu Hassani katika uzinduzi wa mradi huo wa maji utakaoenda kumaliza kero za maji katika wilaya hiyo iliodumu kwa kipindi cha miaka mingi bila kupati maji hali iliyo kwamisha shughuli mbalimbali za maendleo katika wilaya
Wananchi zaidi ya laki moja na themanini hadi lakimbini (180000-200000) Watafaidika na matumizi ya maji kutoka katika mradi huo wa maji maeneo mbalimbali katika Wilaya ya Mwanga.
Akizungumza March 4,2025 Mkuu wa Wilaya ya Mwanga Bi. Mwanahamisi Mankunda amewataka wananchi wa Wilaya ya Mwanga kujitokeza kwa wingi kuja kumpokea Rais Dkt Samia Suluhu Hassani katika uzinduzi wa mradi huo wa maji utakaoenda kumaliza kero za maji katika wilaya hiyo iliodumu kwa kipindi cha miaka mingi bila kupati maji hali iliyo kwamisha shughuli mbalimbali za maendleo katika wilaya
Wananchi zaidi ya laki moja na themanini hadi lakimbini (180000-200000) Watafaidika na matumizi ya maji kutoka katika mradi huo wa maji maeneo mbalimbali katika Wilaya ya Mwanga.