Katika awamu hii mpya ya sita chini ya Rais wetu, Mama Samia tunaona anatekeleza baadhi ya sera za mgombea Urais wa CHADEMA, Mh. Tundu Antipas Lissu. Mojawapo wa sea hizo ni nchi kurudisha diplomasia na nchi za nje na mashirikaya kimataifa kama World Bank IMF, WHO ambazo Mwendazake aliharibu.
Vilevile aligusia TRA kuacha kutoa kodi kwa nguvu na kufungia watu account zao, kuondolewa kwa vitambulisho vya maachinga ambavyo hatujamsikia mama akivisema kabisa tangu aingie madarakani, na kurudisha utawala wa haki na sheria, hizi ni baadhi ya sera Mh. Lissu alikuwa anagipia chapuo kipindi cha kampeni mwaka jana. Je, Rais wetuvanatekeleza sera za CHADEMA?
Nawasalimu kwa jina laJamhuri wa Muungano wa Tanzania.
Vilevile aligusia TRA kuacha kutoa kodi kwa nguvu na kufungia watu account zao, kuondolewa kwa vitambulisho vya maachinga ambavyo hatujamsikia mama akivisema kabisa tangu aingie madarakani, na kurudisha utawala wa haki na sheria, hizi ni baadhi ya sera Mh. Lissu alikuwa anagipia chapuo kipindi cha kampeni mwaka jana. Je, Rais wetuvanatekeleza sera za CHADEMA?
Nawasalimu kwa jina laJamhuri wa Muungano wa Tanzania.