Rais Samia anatoa wapi takwimu za walipakodi?

Rais Samia anatoa wapi takwimu za walipakodi?

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
  1. Ninapoenda dukani kwa Shayo kununua sukari na dawa ya mbu nalipa kodi
  2. Ninapokata tiketi ya basi au treni nalipa kodi
  3. Ninaponunua LUKU nalipa kodi
  4. Ninaponunua wese la gari nalipa kodi
  5. Nikienda kutibiwa nalipa kodi.
Najiuliza takwimu ya walipakodi wa Tanzania kutozidi milioni mbili imetoka wapi?
Rais anajua anachokizungumza au ameambiwa bidhaa zote nchi nzima ni DUTY FREE?
 
  1. Ninapoenda dukani kwa Shayo kununua sukari na dawa ya mbu nalipa kodi
  2. Ninapokata tiketi ya basi au treni nalipa kodi
  3. Ninaponunua LUKU nalipa kodi
  4. Ninaponunua wese la gari nalipa kodi
  5. Nikienda kutibiwa nalipa kodi.
Najiuliza takwimu ya walipakodi wa Tanzania kutozidi milioni mbili imetoka wapi?
Rais anajua anachokizungumza au ameambiwa bidhaa zote nchi nzima ni DUTY FREE?
Tukisema kodi hatumaanishi consumption taxes kama VAT, hizo hata mtoto mdogo hulipa. Tunamaanisha income taxes/corporate taxes.

Na hata hiyo VAT techinically wewe hulipi kama unanunua kwa Mangi, threshold ya mauzo ya ulipajo wa VAT ni milioni 200 za kitanzania kwa bidhaa zilizoqualify VAT. Mangi analipa income tax tu ya biashara yake tena kwa makadirio.

Mlolongo wa VAT mara nyingi unaishia kwa maduka makubwa ya jumla katika nchi yetu au kwa manunuzi ya moja kwa moja kwenye kampuni kubwa kama mitandao ya simu.

Bado wananchi wengi hawana uelewa wa kodi na post yako inaonyesha hilo.

TLDR: Kuwa mnunuzi haimanishi wewe ni mlipa kodi
 
Tukisema kodi hatumaanishi consumption taxes kama VAT, hizo hata mtoto mdogo hulipa. Tunamaanisha income taxes/corporate taxes.

Na hata hiyo VAT techinically wewe hulipi kama unanunua kwa Mangi, threshold ya mauzo ya ulipajo wa VAT ni milioni 200 za kitanzania kwa bidhaa zilizoqualify VAT. Mangi analipa income tax tu ya biashara yake tena kwa makadirio.

Mlolongo wa VAT mara nyingi unaishia kwa maduka makubwa ya jumla katika nchi yetu au kwa manunuzi ya moja kwa moja kwenye kampuni kubwa kama mitandao ya simu.

Bado wananchi wengi hawana uelewa wa kodi na post yako inaonyesha hilo.

TLDR: Kuwa mnunuzi haimanishi wewe ni mlipa kodi
Ngoja nimuite mtaalamu wa maswala ya uchumi Mayor Quimby atuambie kama vat siyo kodi
TRA Tanzania wanamsemo wao wa ukiuza toa risiti na ukinunua dai risiti lipa kodi kwa maendeleo ya taifa
Kwa maneno haya ya tra ni wazi ukinunua kitu ukachukua risiti umelipa kodi
 
Ngoja nimuite mtaalamu wa maswala ya uchumi Mayor Quimby atuambie kama vat siyo kodi
TRA Tanzania wanamsemo wao wa ukiuza toa risiti na ukinunua dai risiti lipa kodi kwa maendeleo ya taifa
Kwa maneno haya ya tra ni wazi ukinunua kitu ukachukua risiti umelipa kodi
Najua ni ngumu kuelewa. Ukinunua kitu muuzaji ndio mlipa kodi sio mnunuzi, yeye ndio mwenye jukumu la KUKATA hiyo pesa uliompa na KUILIPA kwenda TRA. Yeye ndio MLIPA kodi “TAX PAYER.”

Kwenye income kama mshahara wewe ndio mlipa kodi kwa sababu Pesa ZAKO ndio zinakatwa kwenye Stahiki zako au faida kwenye biashara yako. Ukishanunua bidhaa ile pesa si yako ni ya mwenye duka.

Risiti ipo kuhakikisha TRA wanapata rekodi sahihi ya mauzo ya mwenye duka ili yeye alipe kodi. Mwenye duka asipopeleka VAT hiyo mwisho wa mwezi ataulizwa yeye kwa nini hajalipa kodi iliopaswa ikatwe kwenye mauzo YAKE.

TRA hawatakufuata ukinunua kitu na kupewa risiti kuuliza kwa nini mwenye duka hajapeleka VAT yako kwa sababu wewe si mlipa kodi ni mnunuzi.
 
Tukisema kodi hatumaanishi consumption taxes kama VAT, hizo hata mtoto mdogo hulipa. Tunamaanisha income taxes/corporate taxes.

Na hata hiyo VAT techinically wewe hulipi kama unanunua kwa Mangi, threshold ya mauzo ya ulipajo wa VAT ni milioni 200 za kitanzania kwa bidhaa zilizoqualify VAT. Mangi analipa income tax tu ya biashara yake tena kwa makadirio.

Mlolongo wa VAT mara nyingi unaishia kwa maduka makubwa ya jumla katika nchi yetu au kwa manunuzi ya moja kwa moja kwenye kampuni kubwa kama mitandao ya simu.

Bado wananchi wengi hawana uelewa wa kodi na post yako inaonyesha hilo.

TLDR: Kuwa mnunuzi haimanishi wewe ni mlipa kodi

Nadhani mlaji wa mwisho analipa sales tax .
 
  1. Ninapoenda dukani kwa Shayo kununua sukari na dawa ya mbu nalipa kodi
  2. Ninapokata tiketi ya basi au treni nalipa kodi
  3. Ninaponunua LUKU nalipa kodi
  4. Ninaponunua wese la gari nalipa kodi
  5. Nikienda kutibiwa nalipa kodi.
Najiuliza takwimu ya walipakodi wa Tanzania kutozidi milioni mbili imetoka wapi?
Rais anajua anachokizungumza au ameambiwa bidhaa zote nchi nzima ni DUTY FREE?
Una elimu ya mambo ya Kodi?
 
Mlipakodi ni yule anayepeleka 'maokoto' mamlaka za kodi na kukabidhiwa Certificate au kwa kifupi mwenye TIN
 
Naam, Kwa nchi ambazo kila mtu anafanya tax filings mwenyewe kama USA huwezi kukuta mtu ameweka sales tax (VAT) kama miongoni mwa kodi alizolipa. Kuwa mnunuzi haimaanishi wewe ni mlipa kodi
Mlipakodi ni yule anayepeleka 'maokoto' mamlaka za kodi na kukabidhiwa Certificate au kwa kifupi mwenye TIN
 
Ngoja nimuite mtaalamu wa maswala ya uchumi Mayor Quimby atuambie kama vat siyo kodi
TRA Tanzania wanamsemo wao wa ukiuza toa risiti na ukinunua dai risiti lipa kodi kwa maendeleo ya taifa
Kwa maneno haya ya tra ni wazi ukinunua kitu ukachukua risiti umelipa kodi
VAT ni kodi, ata vocha ya simu imewekewa VAT. Hiyo aikwepeki.

Kwa maelezo inaonekana anaufahamu wa mambo ya kodi sasa sijui anabishia vipi kitu ambacho kinaitwa Value Added Tax useme sio kodi.
 
Naam, Kwa nchi ambazo kila mtu anafanya tax filings mwenyewe kama USA huwezi kukuta mtu ameweka sales tax (VAT) kama miongoni mwa kodi alizolipa. Kuwa mnunuzi haimaanishi wewe ni mlipa kodi
Sasa atalipaje VAT kama huyo mtu ajasajilowa kama trader. Ukiwa trader utalipa VAT na Income tax

Huyo anaelipa income tax tu kwenye self assessment most likely yupo kwenye ajira ya contract. Kwa hivyo ni jukumu lake kulipa income tax shio shirika (na uwezi lipa VAT if it’s not trading business).

Kuna tofauti ya full time employee, shirika linajukumu la kulipa kodi zote na kukupa net.

Ukiwa contractor unalipwa gross (hiyo ni kama self employed), so lazima ufanye tax filing kulipa income tax.

Vinginevyo kama ni full time ungekatwa .PAYE (income tax) anyway not sure taratibu halisi za US, but that’s the principle.
 
Tukisema kodi hatumaanishi consumption taxes kama VAT, hizo hata mtoto mdogo hulipa. Tunamaanisha income taxes/corporate taxes.

Na hata hiyo VAT techinically wewe hulipi kama unanunua kwa Mangi, threshold ya mauzo ya ulipajo wa VAT ni milioni 200 za kitanzania kwa bidhaa zilizoqualify VAT. Mangi analipa income tax tu ya biashara yake tena kwa makadirio.

Mlolongo wa VAT mara nyingi unaishia kwa maduka makubwa ya jumla katika nchi yetu au kwa manunuzi ya moja kwa moja kwenye kampuni kubwa kama mitandao ya simu.

Bado wananchi wengi hawana uelewa wa kodi na post yako inaonyesha hilo.

TLDR: Kuwa mnunuzi haimanishi wewe ni mlipa kodi
Mkuu Umejibu vizuri.Ila swali ni Je ninapotumia Pesa Sichangii kodi?
 
  1. Ninapoenda dukani kwa Shayo kununua sukari na dawa ya mbu nalipa kodi
  2. Ninapokata tiketi ya basi au treni nalipa kodi
  3. Ninaponunua LUKU nalipa kodi
  4. Ninaponunua wese la gari nalipa kodi
  5. Nikienda kutibiwa nalipa kodi.
Najiuliza takwimu ya walipakodi wa Tanzania kutozidi milioni mbili imetoka wapi?
Rais anajua anachokizungumza au ameambiwa bidhaa zote nchi nzima ni DUTY FREE?
Yeye ndiyo mkwepa kodi no 1 maana mshahara wake haukatwi kodi wala hanunui chochote kila kitu anapewa bure kama ombaomba
 
Wafanyabiashara wanasajiliwa (hawa ndio walipa kodi) serikali inayowatambua rasmi.

Na kundi lingine ni wafanyakazi, hizi ndio takwimu za serikali.

Awaangali sana mtu mmoja mmoja kodi yako ya VAT anakusanya biashara kwa niaba yao. Bishara ndio anahesibika kama ‘taxable person’ sio consumer.
 
Tukisema kodi hatumaanishi consumption taxes kama VAT, hizo hata mtoto mdogo hulipa. Tunamaanisha income taxes/corporate taxes.

Na hata hiyo VAT techinically wewe hulipi kama unanunua kwa Mangi, threshold ya mauzo ya ulipajo wa VAT ni milioni 200 za kitanzania kwa bidhaa zilizoqualify VAT. Mangi analipa income tax tu ya biashara yake tena kwa makadirio.

Mlolongo wa VAT mara nyingi unaishia kwa maduka makubwa ya jumla katika nchi yetu au kwa manunuzi ya moja kwa moja kwenye kampuni kubwa kama mitandao ya simu.

Bado wananchi wengi hawana uelewa wa kodi na post yako inaonyesha hilo.

TLDR: Kuwa mnunuzi haimanishi wewe ni mlipa kodi
1. Unatuambia kuwa VAT sio kodi?
2. Mlaji/mtumiaji wa mwisho sio mlipa kodi?
Tafadhali tupe elimu tupate maarifa
 
  1. Ninapoenda dukani kwa Shayo kununua sukari na dawa ya mbu nalipa kodi
  2. Ninapokata tiketi ya basi au treni nalipa kodi
  3. Ninaponunua LUKU nalipa kodi
  4. Ninaponunua wese la gari nalipa kodi
  5. Nikienda kutibiwa nalipa kodi.
Najiuliza takwimu ya walipakodi wa Tanzania kutozidi milioni mbili imetoka wapi?
Rais anajua anachokizungumza au ameambiwa bidhaa zote nchi nzima ni DUTY FREE?
Dogo una elimu yoyote kuhusu Kodi?
 
Najua ni ngumu kuelewa. Ukinunua kitu muuzaji ndio mlipa kodi sio mnunuzi, yeye ndio mwenye jukumu la KUKATA hiyo pesa uliompa na KUILIPA kwenda TRA. Yeye ndio MLIPA kodi “TAX PAYER.”

Kwenye income kama mshahara wewe ndio mlipa kodi kwa sababu Pesa ZAKO ndio zinakatwa kwenye Stahiki zako au faida kwenye biashara yako. Ukishanunua bidhaa ile pesa si yako ni ya mwenye duka.

Risiti ipo kuhakikisha TRA wanapata rekodi sahihi ya mauzo ya mwenye duka ili yeye alipe kodi. Mwenye duka asipopeleka VAT hiyo mwisho wa mwezi ataulizwa yeye kwa nini hajalipa kodi iliopaswa ikatwe kwenye mauzo YAKE.

TRA hawatakufuata ukinunua kitu na kupewa risiti kuuliza kwa nini mwenye duka hajapeleka VAT yako kwa sababu wewe si mlipa kodi ni mnunuzi.
sasa mnona TRA wanawa taiti wanunuzi wachukue risiti wakati wanunuzi sio walipa kodi?
kwanini wasiwataiti wauza bidhaa(walipa kodi) sababu mimi risiti sina kazi nayo na ndo maana sheli watu hawachukui risiti kila siku nikipita shali naona lile pipa limejaa risiti.
 
sasa mnona TRA wanawa taiti wanunuzi wachukue risiti wakati wanunuzi sio walipa kodi?
kwanini wasiwataiti wauza bidhaa(walipa kodi) sababu mimi risiti sina kazi nayo na ndo maana sheli watu hawachukui risiti kila siku nikipita shali naona lile pipa limejaa risiti.
Unalazimishwa uchukue risit Ili TRA wajue mauzo ya mfanyabiashara Ili iwasaidie kwenye kulipa Kodi yake ya Cooperate tax na Kodi zingine
 
Back
Top Bottom